Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

JPM ni kama maji hutaki kuyatia kinywani mda ukifika utayaoga tu
 
Jiwe kila kitu kwake kilikuwa na utata kuanzia Elimu mpaka uraia wake. Watu kama wewe ndiyo watakuwa walipiga makofi
Wewe leta education background ya huyo msambaza chai wa maofisini aliyepata ngekewa ya urais.

Leta hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…