Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?


Jembe hilo Da RIP Mwamba tutakukumbuka Daima
 
hamuwezi kumfufua huyo choko wenu???
 
Hata siku moja utamsikia Warioba akikemea Rushwa ya waziwazi kwenye chaguzi za ccm,"you just can't bote the hand that feeds you"he knows
Labda kina Mizengo Pinda na Salim Ahmed Salim na Msuya na wengine lakini sio Joseph Sinde.

Sinde anaelewa pensheni yake haitoki CCM na CCM hawawezi kuikata na hivyo hajawahi kuwalamba miguu CCM. Na yule ni mweledi na msomi wa hali ya juu, akiwa na la kusema huwa anasema.

Na katika wastaafu wote toka Nyerere afe arguably Sinde is the only statesman retiree worth our tax shillings kwa saab yeye huwa anachangia mawazo ya kuwakema viongozi.
 
Wewe zungumzia hulka ya watu weusi na siyo CCM, ngoja nikusaidie.. chama kikuu cha upinzani kimechangisha raia mala Kwa mala mamilioni ya pesa, lakini hakinaga ofisi zinazoeleweka, wilaya ya Karatu ilikua ni ngome ya upinzani kuliko sehemu yoyote ile hapa nchini, Jimbo la Dr Slaa, ofisi imejengwa juzi miezi mitatu iliyo pita na ofisi yenyewe sasa, kesho nikipata muda ntaipiga picha niiweke hapa, wasanii wakubwa, elewa swala siyo chama ila ni hulka ya mTanzania ukiwemo na wewe hapo
 
Hivi kweli uzinduzi wa hili bwawa waziri wa wakati huo kabla yako ndugu Bernad Kalemani hana mchango kweli kwenye hii kazi?

Umeishia kutengeneza tu ngao twa kinafiki kutambua wazee wa kiswahili tu,mbona Baba yako umemsahau kumpa medani?

Kwa taarifa yako kazi aliyoifanya Dr Kalemani husogei hata kidogo, japo umepotezea mchango wake, watanzania tunajua hilo.

Iko siku yako wewe mnafiki, mlimpoteza mwamba ili mje kupongezana kwenye kazi alizoziacha? hata aibu hamna?
 

Unafiki gani kamkataa shetani wewe ulitakje?
 
Inafikirisha sana.
.walipewa tuzo watu ambao hata hawana mchango kabisa.

Ila wabongo wapole sana.
 
JPM alikuwa Rais na alikuwa na kila kitu watu wote walimfata kumuomba msamaha nikuulize ulimuona Makamba akienda kuomba msamaha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…