Kwanini January Makamba unakataa kutambua nguvu na juhudi za hayati Magufuli kwenye JNPP?

Huu uzi ni sehemu ya kampeni dhidi ya Makamba na nia zake za baadae. Inatumika nguvu kubwa kujaribu kumpaka madoa aonekane hafai kwa cheo kikubwa kuliko uwaziri.
 
Aliyewaibia kura chadema 2015 akampa JPM kwenye mfumo wa NEC ni nani kama sio huyo Makamba
Na ndio mana walipogombana jamaa aligoma kuomba msamaha
Makamba sio nappe Mzee uchaguzi ujao anawaibia tena kura na kumpa Samia hahaha
Kinana , Nape na January walishiriki kikamilifu kupitia ile ofisi ya Masaki
 
Mbona na huyo dhalim wenu alikuwa na kipara vilevile? Sukuma Gang mna ushamba mwingi sana lakini ndiyo tumeshawajua ushetani wenu hamtakaa mpate nafasi tena ya kuongoza nchi hii.
Shetani anamjua shetani mwenzake. Ugay pekee ndio unaouweza mengi makubwa kwako.
 
Pole mkuu , tangu ulivyozimia na mfuko wa Sangara mkononi nilikuhurumia sana !

 
Tusidanganyane huu mradi Ni haribifu na haukustahiki wakati huu, ambapo tuna gesi ya kutosha miaka 50 ijayo, LAKINI KAMA KUNA MTU ANAYESTAHIKI YA UJENZI WA HILI BWAWA WA KWANZA NI HAYATI MAGUFULI AKIFUATIWA NA MAMA SAMIA ALIYEUSIMAMIA KUUMALIZIA PERIOD
 
Kama Mungu aishivyo ntaomba huyu WAZIRI TAPELI, MWIZI & MSHIRIKIN asiwe raisi
 
Papatueni tu nyie ccm nadhani munaona maumivu ya kutolewa kwenye mfumo
 
Look at how he was very disorganized, uratibu ulikuwa hovyo, too poor he is too much of himself, he should have delegated the entire exercise. He knew nothing of what he was doing. Pure disjointed docket CS hovyo.
 
Mkuu chuki waliyonayo ukoo wa mlamba asali dhidi ya mwendazake ni chuki ya kishetani, mtu hayupo duniani lakini bado wanazidi kumnanga kila wapatapo nafasi, kama alivyo baba mlamba asali ndivyo alivyo na mwanae mlamba asali.
 
Mwigulu nchemba
January makamba
Na nape wanatakiwa wasirudi bungeni uchaguzi ujao sema majimbo wanayoongoza watu wake ni bendera fuata upepo hawana mbele wala nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…