Kwanini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wake wa Rais?

Kwanini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wake wa Rais?

Sikuhizi Hana professional arrogance
Hivi ukimsema Mwandosya alikuwa na professional arrogance, Mwakyembe je, aliyetamba kuwa na degree nne!

Halafu kulikuwa na Tuntemeke Sanga bwana, ambae alikuwa na degree saba sijui, akamwambia Nyerere hakuona kazi ya kupewa na serikali hapa Tanzania, labda awe raisi! Alifungiwa kijijini kwao hadi Nyerere alipong'atuka!
 
Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi kuwa Mwenyekiti wa EWURA.

Lakini hatupaswi kushangaa. Uteuzi wa Prof. umetukumbusha pia kwamba wakati Mkapa akikabiliwa na sakata la ununuzi wa rada toka Uingereza, ni Prof. Mwandosya alipewa jukumu la kuliweka sawa jambo hilo, hadi kukawa na joke kwamba Prof. Mwandosya alim-charm yule mwanamke wa Uingereza aliyekuwa akitutuhumu vikali hadi akabadilika na kusema "it wa a very wise decision by Tanzania to buy the radar!"

Na pia kwa mlio na ufahamu, wakati uhusiano kati ya Kiwete na Kagame umeharibika sana hadi Kagame kutishia kumpiga Kikwete ni Prof. Mwandosya alitumwa Rwanda kwenda kuweka mambo sawa.

Na labda niwaambie siri nyingine, wakati Kikwete anaona anashambuliwa kila kona kwa kuwa raisi dhaifu, ni Prof. Mwandosya aliitwa ofisi ya Raisi kama waziri asie na wizara maalum na kuwa mshauri wa karibu wa Kikwete. Matokeo tukayaona, ghafla Kikwete akaanza kuonekana kuwa na busara sana nchini na nje ya nchi. Ilifikia hatua watu wakasema unajua Kikwete aliwahi kugombea uraisi, bila kutambua kuwa kulikuwa na busara za Prof. Mwandosya nyuma ya utendaji wa Kikwete katika sehemu kubwa ya awamu ya mwisho ya uraisi wake.

Na hivi, ni Watanzania wangapi wanatambua kuwa dira ya maendeleo aliyotumia Raisi Mkapa kutukwamua kiuchumi (TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025) ni matokeo ya kazi ya Prof. Mwandosya baada ya kuambiwa na Raisi Mkapa asimamie utayarishaji wake? Najua wengi hawakujua hili kwa sababu ilipokamilika iliandikwa imeandaliwa chini ya Planning Commission, bila kueleza iliandaliwa chini ya usimamizi wa Prof. Mwandosya

Na tunaomfahamu Prof. Mwandosya, tunajua kwamba katika nyanja za kimataifa, alikuwa kinara wa majadiliano ya mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi ulioitwa Kyoto Protocol, kiasi kwamba alisifiwa sana juu ya uwezo wake wa kuchambua mambo na Raisi Clinton wa Marekani, pamoja na Al Gore. Wakati huo Prof. Mwandosya alikuwa msemaji wa kundi la G77 & China, lakini hakuwa na madaraka yoyote serikalini Tanzania, jambo ambalo lilimfanya Raisi Clinton wa Marekani amshangae sana Mkapa kutomtumia ipasayo Prof. Mwandosya katika serikali yake - na ndipo Prof Mwandosya "alipoamriwa" na Mkapa akagombee ubunge.

Ndio maana imesemwa kwamba katika mambo ambayo hutakaa umdanganye Prof. Mwandosya ni mambo ya mikataba. Hapo kina Prof. Kabudi na degree za sheria zao weka kando kabisa!

Na wakati fulani Prof. Mwandosya akiwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, kulikuwa na mbinu za nchi ya Misri kubadilisha makubaliano ya matumizi ya mto Nile ili kuinufaisha zaidi Misri. Ilibaki kidogo sana nchi za Mto Nile kutia sahihi mkataba huo mpya pale ambapo Prof. Mwandosya aliibuka tena na kuziamsha nchi nyingine juu ya vipengele kwenye makubaliano hayo mapya ambavyo vingezikandamiza. Kwa sababu ya uchambuzi wake huo, nchi zote za Mto Nile ziliwagomea Misri kuweka sahihi makubaliano hayo mapya. Hadi leo Misri hawataki kabisa kusikia habari za Prof. Mwandosya kwa kuwa wanamuona kuwa mtu aliewanyang'anya tonge mdomoni!

Na labda pia wengi waligundua kwamba mara tu baada ya Prof. Mwandosya kuteuliwa kuwa Mweyekiti wa EWURA, bei ya mafuta ilishuka kiasi tofauti na matarajio ya wengi, na wengi wamekuwa wakijiuliza kama ilikuwa ni utendaji wake kama Mwenyekiti wa EWURA uliosababisha kutoa ahueni kwenye bei za mafuta nchini.

Sasa kuna mengi juu ya Prof. Mwandosya naweza kusema hapa, lakini acha haya yatoshe kwa sasa ili kuweka backdrop ya swali langu. Kwa nini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi?

Swali langu pia linaendana na maoni ndani ya humu JF juu ya uteuzi wa Dr. Mpango kama Makamu wa Raisi. Kwa ujumla wengi wa wana JF hawaridhishwi kabisa na Dr. Mpango kuwa Makamu wa Raisi, hasa ukizingatia matukio ya hivi karibuni yaliyomhusu Dr. Mpango.

Sasa je, Kikwete hakukumbuka kwamba angalau Makamu wa Raisi wa Samia awe mmojawapo wa wagombea wa uraisi wa awamu ya Magufuli? Maana kama Prof. Mwandosya angekuwa Raisi badala ya Magufuli, hadi leo hii angekuwa ni raisi katika awamu yake ya mwisho. Je, inawezekana pia Kikwete hakumpendekeza Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi kutokana na ile issue ya "majina ya mfukoni"?

Kwa tunaomfahamu Prof. Mwandosya, ukiachia mbali porojo za humu JF, kama angekuwa ndio Makamu wa Raisi chini ya Raisi Samia, Tanzania tungeenda mbali sana na uongozi wa Raisi Samia ungeonekana ni bora na ungemfanya maarufu kwa scale ile ya Nyerere - mama wa Taifa! Na naweza kudiriki kusema inawezekana kabisa, Kikwete alitambua wazi kama Prof. Mwandosya angekuwa Makamu wa Raisi wa Samia, basi Kikwete angekuwa na influence kidogo sana kwa Samia, au asingekuwa na influence yeyote!

Kwa hiyo naweza kusema kwamba katika hili ni wazi ubinafsi ulizidi maslahi ya nchi. Raisi Samia alipigwa chenga katika kuteua Makamu wa Raisi. Prof. Mwandosya angemfaa sana na tusingekuwa na habari za kulishwa samaki waliooshwa kwenye maji ya maiti!
Mwandosya na ujeuri wake, kiburi na Kujifanya ana akili nani amuweke?

Yule ni Mr.Haambiliki angemsumbua Rais..
 
Hivi ukimsema Mwandosya alikuwa na professional arrogance, Mwakyembe je, aliyetamba kuwa na degree nne!

Halafu kulikuwa na Tuntemeke Sanga bwana, ambae alikuwa na degree ngapi sijui, akamwambia Nyerere hakuona kazi ya kupewa na serikali hapa Tanzania, labda awe raisi!
Wote walipigwa chini na Proffessional arrogance zao walipogombea nafasi kuanzia Mwandoshya alipigwa chini alipogombea uraisi,Mwakyembe na Tumtemeke Sanga wote walipigwa chini walipogombea ubunge kwao na walipigwa chini na watu wa Elimu ya chini sana
 
Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi kuwa Mwenyekiti wa EWURA.

Lakini hatupaswi kushangaa. Uteuzi wa Prof. umetukumbusha pia kwamba wakati Mkapa akikabiliwa na sakata la ununuzi wa rada toka Uingereza, ni Prof. Mwandosya alipewa jukumu la kuliweka sawa jambo hilo, hadi kukawa na joke kwamba Prof. Mwandosya alim-charm yule mwanamke wa Uingereza aliyekuwa akitutuhumu vikali hadi akabadilika na kusema "it wa a very wise decision by Tanzania to buy the radar!"

Na pia kwa mlio na ufahamu, wakati uhusiano kati ya Kiwete na Kagame umeharibika sana hadi Kagame kutishia kumpiga Kikwete ni Prof. Mwandosya alitumwa Rwanda kwenda kuweka mambo sawa.

Na labda niwaambie siri nyingine, wakati Kikwete anaona anashambuliwa kila kona kwa kuwa raisi dhaifu, ni Prof. Mwandosya aliitwa ofisi ya Raisi kama waziri asie na wizara maalum na kuwa mshauri wa karibu wa Kikwete. Matokeo tukayaona, ghafla Kikwete akaanza kuonekana kuwa na busara sana nchini na nje ya nchi. Ilifikia hatua watu wakasema unajua Kikwete aliwahi kugombea uraisi angegombea awamu ijayo maana busara zimekuja mwishini mwa awamu yake, bila kutambua kuwa kulikuwa na busara za Prof. Mwandosya nyuma ya utendaji wa Kikwete katika sehemu kubwa ya awamu ya mwisho ya uraisi wake.

Na hivi, ni Watanzania wangapi wanatambua kuwa dira ya maendeleo aliyotumia Raisi Mkapa kutukwamua kiuchumi (TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025) ni matokeo ya kazi ya Prof. Mwandosya baada ya kuambiwa na Raisi Mkapa asimamie utayarishaji wake? Najua wengi hawakujua hili kwa sababu ilipokamilika iliandikwa imeandaliwa chini ya Planning Commission, bila kueleza iliandaliwa chini ya usimamizi wa Prof. Mwandosya

Na tunaomfahamu Prof. Mwandosya, tunajua kwamba katika nyanja za kimataifa, alikuwa kinara wa majadiliano ya mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi ulioitwa Kyoto Protocol, kiasi kwamba alisifiwa sana juu ya uwezo wake wa kuchambua mambo na Raisi Clinton wa Marekani, pamoja na Al Gore. Wakati huo Prof. Mwandosya alikuwa msemaji wa kundi la G77 & China, lakini hakuwa na madaraka yoyote serikalini Tanzania, jambo ambalo lilimfanya Raisi Clinton wa Marekani amshangae sana Mkapa kutomtumia ipasayo Prof. Mwandosya katika serikali yake - na ndipo Prof Mwandosya "alipoamriwa" na Mkapa akagombee ubunge.

Ndio maana imesemwa kwamba katika mambo ambayo hutakaa umdanganye Prof. Mwandosya ni mambo ya mikataba. Hapo kina Prof. Kabudi na degree za sheria zao weka kando kabisa!

Na wakati fulani Prof. Mwandosya akiwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, kulikuwa na mbinu za nchi ya Misri kubadilisha makubaliano ya matumizi ya mto Nile ili kuinufaisha zaidi Misri. Ilibaki kidogo sana nchi za Mto Nile kutia sahihi mkataba huo mpya pale ambapo Prof. Mwandosya aliibuka tena na kuziamsha nchi nyingine juu ya vipengele kwenye makubaliano hayo mapya ambavyo vingezikandamiza. Kwa sababu ya uchambuzi wake huo, nchi zote za Mto Nile ziliwagomea Misri kuweka sahihi makubaliano hayo mapya. Hadi leo Misri hawataki kabisa kusikia habari za Prof. Mwandosya kwa kuwa wanamuona kuwa mtu aliewanyang'anya tonge mdomoni!

Na labda pia wengi waligundua kwamba mara tu baada ya Prof. Mwandosya kuteuliwa kuwa Mweyekiti wa EWURA, bei ya mafuta ilishuka kiasi tofauti na matarajio ya wengi, na wengi wamekuwa wakijiuliza kama ilikuwa ni utendaji wake kama Mwenyekiti wa EWURA uliosababisha kutoa ahueni kwenye bei za mafuta nchini.

Sasa kuna mengi juu ya Prof. Mwandosya naweza kusema hapa, lakini acha haya yatoshe kwa sasa ili kuweka backdrop ya swali langu. Kwa nini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi?

Swali langu pia linaendana na maoni ndani ya humu JF juu ya uteuzi wa Dr. Mpango kama Makamu wa Raisi. Kwa ujumla wengi wa wana JF hawaridhishwi kabisa na Dr. Mpango kuwa Makamu wa Raisi, hasa ukizingatia matukio ya hivi karibuni yaliyomhusu Dr. Mpango.

Sasa je, Kikwete hakukumbuka kwamba angalau Makamu wa Raisi wa Samia awe mmojawapo wa wagombea wa uraisi wa awamu ya Magufuli? Maana kama Prof. Mwandosya angekuwa Raisi badala ya Magufuli, hadi leo hii angekuwa ni raisi katika awamu yake ya mwisho. Je, inawezekana pia Kikwete hakumpendekeza Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi kutokana na ile issue ya "majina ya mfukoni"?

Kwa tunaomfahamu Prof. Mwandosya, ukiachia mbali porojo za humu JF, kama angekuwa ndio Makamu wa Raisi chini ya Raisi Samia, Tanzania tungeenda mbali sana na uongozi wa Raisi Samia ungeonekana ni bora na ungemfanya maarufu kwa scale ile ya Nyerere - mama wa Taifa! Na naweza kudiriki kusema inawezekana kabisa, Kikwete alitambua wazi kama Prof. Mwandosya angekuwa Makamu wa Raisi wa Samia, basi Kikwete angekuwa na influence kidogo sana kwa Samia, au asingekuwa na influence yeyote!

Kwa hiyo naweza kusema kwamba katika hili ni wazi ubinafsi ulizidi maslahi ya nchi. Raisi Samia alipigwa chenga katika kuteua Makamu wa Raisi. Prof. Mwandosya angemfaa sana na tusingekuwa na habari za kulishwa samaki waliooshwa kwenye maji ya maiti!
Kwa hiyo umeamua kuja hapo kujipigia debe? Wazee wengine ni shida tupu!!! Mbona hajabadilisha chochote cha maana huko kwao Busiokelo ambako alijichimbia muda mrefu huku akijihusisha kumubagaa hayati JPM kupitia mitandao ya kijamii?
Kwa hiyo mnatak kumwuua makamu wa rais aliyepo ili nafasi hiyo apewe yeye? Inaonesha wewe una nia OVU
 
Kwa hiyo umeamua kuja hapo kujipigia debe? Wazee wengine ni shida tupu!!! Mbona hajabadilisha chochote cha maana huko kwao Busiokelo ambako alijichimbia muda mrefu huku akijihusisha kumubagaa hayati JPM kupitia mitandao ya kijamii?
Kwa hiyo mnatak kumwuua makamu wa rais aliyepo ili nafasi hiyo apewe yeye? Inaonesha wewe una nia OVU
Kwa point kama hizi ndio unajiita Intelligence Justice? Badilisha uwe Idiotic justice
 
Wote walipigwa chini na Proffessional arrogance zao walipogombea nafasi kuanzia Mwandoshya alipigwa chini alipogombea uraisi,Mwakyembe na Tumtemeke Sanga wote walipigwa chini walipogombea ubunge kwao na walipigwa chini na watu wa Elimu ya chini sana
Halafu utakuta vilaza wa shule ndio wanatoa maamuzi ya kupiga chini vipanga wa shule.

Ule msemo kwamba waliokuwa vilaza darasani ndio wanaongoza nchi na kuwaamulia mambo na kuwapangia mishahara waliokuwa vipanga wa darasani ni kweli kabisa. Tumekuwa na awamu raisi na diploma ya ualimu anawafukuza kazi maprofessor eti wa kuwa hawako serious na kazi, kina Msukuma wanawatungia sheria watu na degree zao hadi saba wakati hawajui hata kuongea sentensi moja ya kiingereza, yeeewiii!!!
 
Mwandosya na ujeuri wake, kiburi na Kujifanya ana akili nani amuweke?

Yule ni Mr.Haambiliki angemsumbua Rais..
Na alipokuwa Waziri asiye na Wizara Maalum akimsaidia Kikwetealimsumbua kwa jambo gani?

Unajua watu wasio na uwezo mkubwa kichwani siku zote wanawaona wenye uwezo mkubwa kichwani wana kiburi.

Inaitwa intelligence inferiority complex. Ni ugonjwa mbaya sana. Tukiwa shule ukiwa kipanga unapewa majina ya utani nk na wale walio na inferior intelligence. Hukuona hilo, au wewe ulikuwa kwenye kundi la kutoa majina kwa vipanga?

Sasa kwa tunaomfahamu Mwandosya, hajifanyi ana akili, bali ana akili kwelikweli.
 
Na alipokuwa Waziri asiye na Wizara Maalum akimsaidia Kikwetealimsumbua kwa jambo gani?

Unajua watu wasio na uwezo mkubwa kichwani siku zote wanawaona wenye uwezo mkubwa kichwani wana kiburi.

Inaitwa intelligence inferiority complex. Ni ugonjwa mbaya sana. Tukiwa shule ukiwa kipanga unapewa majina ya utani nk na wale walio na inferior intelligence. Hukuona hilo, au wewe ulikuwa kwenye kundi la kutoa majina kwa vipanga?
Ndio maana alipuuzwa kwa kupewa hiyo Wizara isiyo na bajeti
 
Ndio maana alipuuzwa kwa kupewa hiyo Wizara isiyo na bajeti
Wale wote wasio na akili hawaelewi maana ya kuwa Waziri Usie na Wizara Maalum. Hicho cheo ni sawa na Waziri Mkuu asiye rasmi juu ya Waziri Mkuu aliye rasmi. Ndio maana Ofisi ya Mwandosya kama Waziri Asiye na Wizara Maalum ikawa Ofisi ya Raisi, wala sio Ofisi ya Makamu wa Raisi au Waziri Mkuu. Bajeti yake inakuwa kwenye bajeti ya Ofisi ya Raisi Lakini huwezi kujua hilo
 
Wale wote wasio na akili hawaelewi maana ya kuwa Waziri Usie na Wizara Maalum. Hicho cheo ni sawa na Waziri Mkuu asiye rasmi juu ya Waziri Mkuu aliye rasmi. Ndio maana Ofisi ya Mwandosya kama Waziri Asiye na Wizara Maalum ikawa Ofisi ya Raisi, wala sio Ofisi ya Makamu wa Raisi au Waziri Mkuu. Bajeti yake inakuwa kwenye bajeti ya Ofisi ya Raisi Lakini huwezi kujua hilo
Porojo za kujifariji
 
Porojo za kujifariji
Kaulize ujione usivyojua haya mambo bali unaropoka tu, hana bajeti. Kama hana bajeti alitendaje kazi kwa niaba ya raisi?

Kwa taarifa yako, hata Waziri Mkuu anakuwa wa pili kujdili uteuzi wa mawaziri, baada ya raisi kujadiliana na waziri asiye na wizara maalum. Hata waziri mkuu anakuwa hana mamlaka juu ya waziri asiye na wizara maalum
 
Kaulize ujione usivyojua haya mambo bali unaropoka tu, hana bajeti. Kama hana bajeti alitendaje kazi kwa niaba ya raisi?

Kwa taarifa yako, hata Waziri Mkuu anakuwa wa pili kujdili uteuzi wa mawaziri, baada ya raisi kujadiliana na waziri asiye na wizara maalum. Hata waziri mkuu anakuwa hana mamlaka juu ya waziri asiye na wizara maalum
Wapi alitenda kwa niaba ya Rais? Porojo za kujifariji kwa kuwa Chawa na mnoko.
 
Mkuu ni vigumu sana kwa Samia, kutoka Zanzibar, kuendesha nchi bila kuwa na mshauri wa karibu wa bara. Akina Mwigulu Nchemba, Ndugai nk wangemla nyama mbichi. Lazima Samia ajenge ngome yake kwa kuisimamisha juu ya mtu wa bara ambae si tishio kwake, na Samia ana historia na Kikwete. Kwa hiyo Kikwete ana role kubwa sana katika uraisi wa Samia. Na bila Kikwete watu kama kina January, Nape na Kikwete Jnr huo uwaziri huenda wasingeupata. In fact, January alienda mbali hata ku-demand wizara anayotaka na kutofanya kazi na wateule wa Magufuli. Katika normal circumstances January angeweza kuwa waziri, lakini sio wa wizara nyeti ya Nishati, sana sana Mambo ya Nchi za Nje. Bila KIkwete January asingethubutu kuwa that bold, japo baba yake ali influence kiasi. Lakini elewa pia nguvu ya Makamba Snr inapitia pia kwa Kikwete.

Na naweza hata kudiriki kusema Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi kwa kuwa kama Prof. Mwandosya angekuwa makamu wa Raisi nguvu ya Kikwete kwa Samia ingeuwa ndogo sana, au haipo kabisa!
Hizi ni fikra zako mkuu, hao viongozi wote wanaishi pamoja huko juu na wanajuana vyema nani ni nani na anajua nini, mi siamini kama kikwete anamshauri mama samia, hao wote ni viongozi wa ccm na lao ni moja, kama nchi ikiharibika tatizo ni ccm sio viongozi waliopewa nafasi unaeza kuta rais mshauri wake mkuu ni katibu wa chama sio mawaziri wala makamu wa rais

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Wale wote wasio na akili hawaelewi maana ya kuwa Waziri Usie na Wizara Maalum. Hicho cheo ni sawa na Waziri Mkuu asiye rasmi juu ya Waziri Mkuu aliye rasmi. Ndio maana Ofisi ya Mwandosya kama Waziri Asiye na Wizara Maalum ikawa Ofisi ya Raisi, wala sio Ofisi ya Makamu wa Raisi au Waziri Mkuu. Bajeti yake inakuwa kwenye bajeti ya Ofisi ya Raisi Lakini huwezi kujua hilo
Hebu onesha alichokifanya hadi unampigia debe wewe unayejiita 'Kisanishi'
 
Hizi ni fikra zako mkuu, hao viongozi wote wanaishi pamoja huko juu na wanajuana vyema nani ni nani na anajua nini, mi siamini kama kikwete anamshauri mama samia, hao wote ni viongozi wa ccm na lao ni moja, kama nchi ikiharibika tatizo ni ccm sio viongozi waliopewa nafasi unaeza kuta rais mshauri wake mkuu ni katibu wa chama sio mawaziri wala makamu wa rais

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Haya, endelea kuishi kwa imani, acha reality ikupite
 
Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi kuwa Mwenyekiti wa EWURA.

Lakini hatupaswi kushangaa. Uteuzi wa Prof. umetukumbusha pia kwamba wakati Mkapa akikabiliwa na sakata la ununuzi wa rada toka Uingereza, ni Prof. Mwandosya alipewa jukumu la kuliweka sawa jambo hilo, hadi kukawa na joke kwamba Prof. Mwandosya alim-charm yule mwanamke wa Uingereza aliyekuwa akitutuhumu vikali hadi akabadilika na kusema "it wa a very wise decision by Tanzania to buy the radar!"

Na pia kwa mlio na ufahamu, wakati uhusiano kati ya Kiwete na Kagame umeharibika sana hadi Kagame kutishia kumpiga Kikwete ni Prof. Mwandosya alitumwa Rwanda kwenda kuweka mambo sawa.

Na labda niwaambie siri nyingine, wakati Kikwete anaona anashambuliwa kila kona kwa kuwa raisi dhaifu, ni Prof. Mwandosya aliitwa ofisi ya Raisi kama waziri asie na wizara maalum na kuwa mshauri wa karibu wa Kikwete. Matokeo tukayaona, ghafla Kikwete akaanza kuonekana kuwa na busara sana nchini na nje ya nchi. Ilifikia hatua watu wakasema unajua Kikwete aliwahi kugombea uraisi angegombea awamu ijayo maana busara zimekuja mwishini mwa awamu yake, bila kutambua kuwa kulikuwa na busara za Prof. Mwandosya nyuma ya utendaji wa Kikwete katika sehemu kubwa ya awamu ya mwisho ya uraisi wake.

Na hivi, ni Watanzania wangapi wanatambua kuwa dira ya maendeleo aliyotumia Raisi Mkapa kutukwamua kiuchumi (TANZANIA DEVELOPMENT VISION 2025) ni matokeo ya kazi ya Prof. Mwandosya baada ya kuambiwa na Raisi Mkapa asimamie utayarishaji wake? Najua wengi hawakujua hili kwa sababu ilipokamilika iliandikwa imeandaliwa chini ya Planning Commission, bila kueleza iliandaliwa chini ya usimamizi wa Prof. Mwandosya

Na tunaomfahamu Prof. Mwandosya, tunajua kwamba katika nyanja za kimataifa, alikuwa kinara wa majadiliano ya mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi ulioitwa Kyoto Protocol, kiasi kwamba alisifiwa sana juu ya uwezo wake wa kuchambua mambo na Raisi Clinton wa Marekani, pamoja na Al Gore. Wakati huo Prof. Mwandosya alikuwa msemaji wa kundi la G77 & China, lakini hakuwa na madaraka yoyote serikalini Tanzania, jambo ambalo lilimfanya Raisi Clinton wa Marekani amshangae sana Mkapa kutomtumia ipasayo Prof. Mwandosya katika serikali yake - na ndipo Prof Mwandosya "alipoamriwa" na Mkapa akagombee ubunge.

Ndio maana imesemwa kwamba katika mambo ambayo hutakaa umdanganye Prof. Mwandosya ni mambo ya mikataba. Hapo kina Prof. Kabudi na degree za sheria zao weka kando kabisa!

Na wakati fulani Prof. Mwandosya akiwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji, kulikuwa na mbinu za nchi ya Misri kubadilisha makubaliano ya matumizi ya mto Nile ili kuinufaisha zaidi Misri. Ilibaki kidogo sana nchi za Mto Nile kutia sahihi mkataba huo mpya pale ambapo Prof. Mwandosya aliibuka tena na kuziamsha nchi nyingine juu ya vipengele kwenye makubaliano hayo mapya ambavyo vingezikandamiza. Kwa sababu ya uchambuzi wake huo, nchi zote za Mto Nile ziliwagomea Misri kuweka sahihi makubaliano hayo mapya. Hadi leo Misri hawataki kabisa kusikia habari za Prof. Mwandosya kwa kuwa wanamuona kuwa mtu aliewanyang'anya tonge mdomoni!

Na labda pia wengi waligundua kwamba mara tu baada ya Prof. Mwandosya kuteuliwa kuwa Mweyekiti wa EWURA, bei ya mafuta ilishuka kiasi tofauti na matarajio ya wengi, na wengi wamekuwa wakijiuliza kama ilikuwa ni utendaji wake kama Mwenyekiti wa EWURA uliosababisha kutoa ahueni kwenye bei za mafuta nchini.

Sasa kuna mengi juu ya Prof. Mwandosya naweza kusema hapa, lakini acha haya yatoshe kwa sasa ili kuweka backdrop ya swali langu. Kwa nini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi?

Swali langu pia linaendana na maoni ndani ya humu JF juu ya uteuzi wa Dr. Mpango kama Makamu wa Raisi. Kwa ujumla wengi wa wana JF hawaridhishwi kabisa na Dr. Mpango kuwa Makamu wa Raisi, hasa ukizingatia matukio ya hivi karibuni yaliyomhusu Dr. Mpango.

Sasa je, Kikwete hakukumbuka kwamba angalau Makamu wa Raisi wa Samia awe mmojawapo wa wagombea wa uraisi wa awamu ya Magufuli? Maana kama Prof. Mwandosya angekuwa Raisi badala ya Magufuli, hadi leo hii angekuwa ni raisi katika awamu yake ya mwisho. Je, inawezekana pia Kikwete hakumpendekeza Prof. Mwandosya kuwa Makamu wa Raisi kutokana na ile issue ya "majina ya mfukoni"?

Kwa tunaomfahamu Prof. Mwandosya, ukiachia mbali porojo za humu JF, kama angekuwa ndio Makamu wa Raisi chini ya Raisi Samia, Tanzania tungeenda mbali sana na uongozi wa Raisi Samia ungeonekana ni bora na ungemfanya maarufu kwa scale ile ya Nyerere - mama wa Taifa! Na naweza kudiriki kusema inawezekana kabisa, Kikwete alitambua wazi kama Prof. Mwandosya angekuwa Makamu wa Raisi wa Samia, basi Kikwete angekuwa na influence kidogo sana kwa Samia, au asingekuwa na influence yeyote!

Kwa hiyo naweza kusema kwamba katika hili ni wazi ubinafsi ulizidi maslahi ya nchi. Raisi Samia alipigwa chenga katika kuteua Makamu wa Raisi. Prof. Mwandosya angemfaa sana na tusingekuwa na habari za kulishwa samaki waliooshwa kwenye maji ya maiti!
Wanyakyusa wako blessed sana and very wise. Ukigombna na mnyakyusa basi jua wewe ndio mkorofi
 
Wanyakyusa wako blessed sana and very wise. Ukigombna na mnyakyusa basi jua wewe ndio mkorofi

🤣🤣
..kila kabila / jamii ina watu wema na watu wa hovyo-hovyo.

..sasa hapo unapowataja Wanyakyusa kwa upole, umemsahau Jimmy Ngonya " Gobarchev" kiongozi wa Simba aliyeshindikana kwa kiburi chake?
 
Back
Top Bottom