Kwanini kila anayeondoka CHADEMA anamtaja Mbowe?

Wa TZA tunajua mwenye NGO take no Braza Mbowe,
Miele ele Chao kujiunga na NGo ya mtu!
 
ccm

wanabadirishana uongozi maana kuna hazina kubwa ya viongozi safi sasa chadema hawana mtu mwingine wakimtoa mbowe wengine wote vilaza ndiyo maana ya kubaki na mbowe miaka yote wengine hawajitambui
Wala usipate taabu. Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.
 
Akili kisoda CCM ni taasisi Mbowe ni mtu
Au mbowe kwenu ndio Chama
Wala usipate taabu, huu mchezo hauhitaji hasira. Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.
 
Wa TZA tunajua mwenye NGO take no Braza Mbowe,
Miele ele Chao kujiunga na NGo ya mtu!
Wala usipate taabu. Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.
 
Sasa kama chama kina watu wote hawajitambui Kuna chama hapo? 😂
Wala usipate taabu. Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.
 
Kumbe hujui historia ya CHADEMA wewe,

Mbowe alitoka mwenyekiti wa BAVICHA kisha Mwenyekiti wa CHAMA,
sasa tukisema ni mkt miaka 30 tunakosea wapi?
Kumbe umefunguwa hii ID jana kwa ajiri ya Mbowe?

Njoo na ID yako halafu utaelimishwa Mbowe alikuwa katibu mkuu wa chama.
 
Wala usipate taabu. Waulizeni kuwa vyama visivyoongozwa na Mbowe vimepiga hatua gani? Wakijibu vema, nami nitaungana nao Kumpinga.
Wanaodhani kujenga chama ni kazi rahisi wamuulize Zitto Kabwe.

ACT inasikika Zanzibar kwa nguvu za Maalim Seif, kwa bara ACT ipo Kigoma tu.
 
Wanaodhani kujenga chama ni kazi rahisi wamuulize Zitto Kabwe.

ACT inasikika Zanzibar kwa nguvu za Maalim Seif, kwa bara ACT ipo Kigoma tu.
Zitto sio mwenyekiti acha kumfananisha Zitto na wanasiasa wa ajabu ajabu
 
Eti kwamba toka chadema kimeanza hakijawahi kuwa na mwenyekiti mwingine zaidi ya mbowe?! Hapana siyo kweli
 
Kwa sababu mbowe ndiyo anakopa mijihela ya nchi huko
Nje,mikopo yote hii ni mbowe

Ova
 
Mbowe kauwa upinzani Tanzania
Mzee wa maslahi.
Mzee wa gia ya angani
Mtu safi hawezi kaa chadema.
Ccm hatuwataki na upinzani unahujumiwa na Mbowe.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…