Najiuliza mnoo,hii mentality tulirithishwa na nani? Yaan kila mtu ndoto pekee ni kujenga..eti reason ni kodi ya nyumba..mtu hawazi kukuza uchumi wakeWabongo wanapenda sana kujenga, kwao kujenga ndo mafanikio...kuna ndugu yangu majuzi ananishauri nijenge hata chumba na sebule, nikajisemea huyu mzima kweli ..sina kitega uchumi chochote cha maana naanzaje kujenga?
Majuzi zaidi ya 20m nimewekeza kwenye buashara ila ndo hivyo hata kiwanja sina [emoji3].
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Unataka kumjua mtu ambaye ata jina analotumia ni feki? Unataka kujua investment nilizofanya nitakuaminishi vipi wakati hunijui rudi kwenye mada husika tuendelee kujadiliana kama ni sawa au sio sawaKuna biashara yoyote unayofanya? Na km unabiashara mpaka sahizi umefikia wapi? Je unakiwanja,umejenga? Je una gari? Ukinijibu hili nitakuja ku comment
Hata akiambiwa atasema chai.Unataka kumjua mtu ambaye ata jina analotumia ni feki? Unataka kujua investment nilizofanya nitakuaminishi vipi wakati hunijui rudi kwenye mada husika tuendelee kujadiliana kama ni sawa au sio sawa
Mimi nadhani mleta mada ana akili na tabia za kikubwa kuliko wewe uliyekuja kumshambulia moja kwa moja badala ya kujadili hoja zake.[emoji23] Kumbe tunahangaika kujadili na kitoto kisichojua maisha... Uchumi Mkubwa ni upi huo??? Unakula bure unalala bure unakunya bure, basi ukiona wanaume wanajenga nyumba unadhan ni kazi rahisi ambayo na wewe uliyetoka shule juzi umeahidiwa kutafutiwa kazi utaweza kujenga ukishika mamilioni...
Mafanikio makubw ya wabongo ni kujenga, matokeo yake wanazika pesa kwa kujenga vitu visivyoeleweka.Wabongo wanapenda sana kujenga, kwao kujenga ndo mafanikio...kuna ndugu yangu majuzi ananishauri nijenge hata chumba na sebule, nikajisemea huyu mzima kweli ..sina kitega uchumi chochote cha maana naanzaje kujenga?
Majuzi zaidi ya 20m nimewekeza kwenye buashara ila ndo hivyo hata kiwanja sina [emoji3].
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Ukiwekeza sehemu salama na ukajikita katika kuukuza uchumi wako huku ukijipunguzia stress za matumizi ya pesa (kama kujenga kwa kudunduliza), basi mambo hayawezi kuwa mabaya.Hata kama unafanya biashara jiwekee mikakati ya kujenga nyumba ya ndoto zako mapema.
Kimikiki ardhi ni jambo lingine tofauti na kuamsha ujenzi ambo hauumudu, mtu unakuta anajenga nyumba kwa miaka 20 ikiisha tayari ilishatoka kwenye form na imezeeka.Hata kama unafanya biashara kumiliki ardhi na kujenga ni muhimu sana. Wajanja wote kwenye biashara wako mstari wa mbele kumiliki ardhi na kujenga.
Nakuunga mkono. Wengi hawatakuelewa.Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Na siku mkeo atakapopigwa pu*mb na kashikaji fulani humohumo kwenye kachumba kako kamoja, ndio utajua kuwa watu hawatakiwi kujenga kwa kuogopa kupigiwa wake zao.Siku mkeo atakapopigwa Pu**mbu na mwenye nyumba wako,
Ndy siku utakayojuwa umuhimu wa kukaa kwenye nyumba yako hata kiwe chumba kimoja.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Sasa nyumba ya kuishi unawezaje kuiita asset?Risk ya biashara hapa kwetu ni kubwa kuliko kujenga nyumba..
biashara hazitabiriki hapa nchini so bora ujenge tu ujue pesa umeizika..
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Unataka waishi maisha ya kiaje?.Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Tunajenga sababu sekta ya makazi ya kupanga kwa tz bado haijaweza kutoa utulivu kwa mpangaji na akawa na amani,yaani inshort hii sekta kwa tz imekaa kihuni haikupi guarantee ya maisha yako,mwnye nyumba anaweza akakutoa muda wowote anaotaka yeye,masharti mengi hayapo kisheria,huwez kukatia bima nyumba ya kupanga kwamba ukiyumba kiuchumi ulipiwe kodi,pindi ukifa au ukiugua au ukiyumba kiuchumi familia yKo ni rahisi sana kudhalilika ndani ya muda mfupi,ndo maana kila mtu mwnye future na maisha yakw kwanza anatafuta utulivu wa makazi ili aweze kufocus kujijenga kiuchumi,mm naamini huwez kutulia kujijenga kiuchumi kama huna makazi ya uhakika,kipato changu kwa kwanza kwanza nilitumia ktk kujenga kwanza ndo nikahamishia nguvu ktk biashara,japokuwa biashara zina ups n down lkn kidogo unakuwa na utulivu wa nafsi jioni ukirudi kwako naukiiona familia yako inaishi kwa amani wakipanga mipango yao pasipo kuhofia kutolewa nyumbani etcImekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale
Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia ufanyaji kazi bado wa kusubiri hela advance kwa mteja hafikirii kabisa kuwa na store kubwa utakayotoa faida kubwa zaidi kwa haraka zaidi kutokana na uzoefu wake.
Unakutana na dereva yeye miaka na miaka anaendesha gari za watu anakuja na habari njema amejenga ni vyema lakini kwanini asikilie kumiliki gari yake.
Unakutana na kijana kinyozi ana uzoefu wa miaka saba anakuambia nimejenga vyumba vitatu nataka nihamie kwangu ni jambo jema lakini hafikirii kama pesa hizo kama angetumia kufungua barbershop kubwa ambayo ingempa faida maradufu
Sasa mtu mwenye uwezo wa kupanga sehemu ambayo kuna majirani wapiga mziki na muingiliano wa watu, hapa si unazungumiza kodi ya 50K-60K ?ni vizuri kua na sehemu yako ya kupumzisha mwili na akili unapotoka kwenye mizunguko ya kutafuta riziki,sio unarudi home unaanza kupambana na majirani wapunguze sauti za redio ili upumzike 😀
Kaburini anaenda yoyote yule, bila kujali chochote.au ku-loss na kuwa kaburini pia