Kwanini madhehebu ya Mashahidi wa Jehova na Wasabato wanachukiwa sana na madhehebu mengine ya Kikristo na Uislamu?

Kwanini madhehebu ya Mashahidi wa Jehova na Wasabato wanachukiwa sana na madhehebu mengine ya Kikristo na Uislamu?

🤣🤣🤣 bora sisi. Kuishi na majini na kuyaita mema kuna uzima hapo?
Screenshot_20230306-132913.png



Kama unaamini tu kwamba Kuna majini basi hauna akili 🤣🤣🤣.

Jiangalie mlivyokuwa washirikina na wengi wenu washamba
 
mimi najua hili uwe mkiristo ukubali kuwa yesu ni mungu hiyo ndio imani kuu ya wakirito wote,lakini bora ya wasabato kuliko waloma na walokole nilenda mara tarime nikafikia kwa mzee wa kikuriya msabato uwezi hona kichuli pale wala nyamafu wala kiti moto pia ni wasafi sana wasabato mm kama muisilam nawakubali sana waabato wa tarime wakina mulla
Malwa===marwa, mulla==mura.
 
🤣🤣🤣 bora sisi. Kuishi na majini na kuyaita mema kuna uzima hapo?
Majini yapo makanisani ndio maana kila kukicha mnapiga kelele pepo toka,,, kungekuwa hamna majini mule msingekuwa mnapiga kelele pepo toka,,, basi umsikie mchungaji hapo hasa awe wa kinyakyusa afu anavyoitoa hiyo pepo toka, ukikaa mbele lazima ulowe mate!!!
 
Majini yapo makanisani ndio maana kila kukicha mnapiga kelele pepo toka,,, kungekuwa hamna majini mule msingekuwa mnapiga kelele pepo toka,,, basi umsikie mchungaji hapo hasa awe wa kinyakyusa afu anavyoitoa hiyo pepo toka, ukikaa mbele lazima ulowe mate!!!
Wanayokuja nayo
Wanakuwa wamerushiwa na nyie mnaoyaabudu
 
hukuona uisilamu na anakula nguluwe kunywa pombe kuzini hafungi ramadhani shoga haswali swala 5 kama ni mwanake anajiuza au kawekwa kimada hao wote ni mkafiri tu jina lisikutishe
Sasa Ni kwanini hua hamuweki nguvu kwenye kukomboa makafir walio kwenye Imani yenu. badala yake mnarukia watu ambao hata hawajui uwislam Ni kitu gani? Mimi siku nikiona dini iliyo weza kuwafanya waumini wake wote duniani kuwa watu wema nitajiunga nayo siku hiyo hiyo.
 
Yaani Wasabato na Mashahidi wa Jehova wanachukiwa sana hapa duniani.

Mashahidi wa Jehova wanasali siku ya Jumanne na Wasabato wanasali siku ya Jumamosi.

Mashahidi wa Jehova wako tayari kufa lakini usiwaongezee damu, kwao damu ni Big issue
We ni mnafiki sana,, sasa uislam unaingiaje kwenye mambo yenu hayo,,,
 
Hata kanisani kile kinachotoa moto kama kiji chungu kina ubani na udi kama hujui😂😂

Kafiri mkubwa
Bora mimi sijufungi mishungi huku ndani nanuka uzinzi! Wanafiki wakubwa magaidi eti mnatumwa na muumba ebo!
 
Mimi ni Muisilamu sijawahi kuwachukia Mashahidi wa Yehova.
 
Bora mimi sijufungi mishungi huku ndani nanuka uzinzi! Wanafiki wakubwa magaidi eti mnatumwa na muumba ebo!
Kujistiri ni jambo jingine na kufanya dhambi ni jingine punguza chuki kwamba wanaofunga ushungi ndo wanafanya dhambi tu?.

Sikia we unavaaa nusu uchi unazini kila unapopita kwa kutamanisha watu miguu yenyewe kama kware then kuonyesha ebu jaribu kujistiri unaonekana mpumbavu.

Eti bora mm! Toa ujinga wako hapa
 
Back
Top Bottom