Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
www.jw.orgMbona hao mashahidi hata siwafahamu wapo kwel hapa tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
www.jw.orgMbona hao mashahidi hata siwafahamu wapo kwel hapa tz
Nimelielewa ndio maana nikaulizahujaelewa swali lake
Hakuna chuki ni tofauti tu za kimitazamo, mfano hao mashahidi wa Yehova wameona sio sahihi Yesu kuwa Mungu, hao wasabato kama unavyo jua siku hiyo ni muhimu kwao, maana ipo kimaandiko, kwahiyo wana hoja nzito lazima wapuuzi wawachukie badala ya kujifunza nini wanaaminiYaani Wasabato na Mashahidi wa Jehova wanachukiwa sana hapa duniani.
Mashahidi wa Jehova wanasali siku ya Jumanne na Wasabato wanasali siku ya Jumamosi.
Mashahidi wa Jehova wako tayari kufa lakini usiwaongezee damu, kwao damu ni Big issue
🙏Mkuu kafiri ni mpingaji, hawa ni watu walio kuwa wanampinga mtume na kumfanyia vitimbi ili imani isiwafikie watu, kwahiyo wala sio jina baya wala sio tusi ni uelewa mbovu tu ,, mbona hata wapagani linatumika sana kwa wakristo
Eti hawali nguruwe .vichekesho kweliSidhani kama waislam wana shida na wasabato, kwanza wote hawali nguruwe, so ukimwambia muislam mimi sili nguruwe anakuona ndugu yake.
Hata hivyo, chuki za kiimani ni za nini, kwa faida ya nani?
Hatuwaiti magaidi, mnafanya vitendo vya mauaji eti in defense of religion, mnataka muitwaje? Hilo jina limewakaa kwasababu ya matendo yenu. Nitajie mkristo anaejivika mabomu kwenda kulipua kadamnasi.Lini? Mbona unakurupa nyie na sisi nan wanafundishwa chuki kuita wenzao magaid, mara majini
Wapi wanasema watu wnaua au uliona hapa Tanzania.Uzuri hata tukibishana, bado tunajua nani atavuka nguo. Urehemiwe tu na Muumba wangu ambae hanifundishi kuua ili nikalale na mabikra 72 mbinguni, excessively pathetic!
Uzuri mi huwa nawachukulia kama hamnazo.Wapi wanasema watu wnaua au uliona hapa Tanzania.
Acha ujinga wa kufuatilia nchi za watu Wana mapigano ya maslahi yao binafsi sio dini kaaa kwa kutulia.
Ukileta vurugu unapigwa !
Endelea na ukafiri wako
Hamnazo ni wale wanaolishwa majani na wachungaji.Uzuri mi huwa nawachukulia kama hamnazo.
Yaani Wasabato na Mashahidi wa Jehova wanachukiwa sana hapa duniani.
Mashahidi wa Jehova wanasali siku ya Jumanne na Wasabato wanasali siku ya Jumamosi.
Mashahidi wa Jehova wako tayari kufa lakini usiwaongezee damu, kwao damu ni Big issuDim
Dini(religion)ni njia aliyotemgeneza mtu Ili kumfikia Mungu,ila nyingi zimejaa mambo ya kijinga sana,watu wanaenda kanisani kuomba "Mungu wa Israel"awape mvua!wakati Israel yenyewe,watu ha wa endi kuomba Mungu awape mvua,wanaomba Mungu awape akili na busara,na uwezo wa akili,then wanaenda shule,wanapiga sayansi na tekinolojia,wanayatawala mazingira yao ya jangwani kwa kuchimba visima,na kuendesha skimu za umwagiliaji wa mazao,hawana mito mingi ya kufsnya hydroplant,wanavuna nguvu za jua,na nuclia kuzalisha umeme.Yaani Wasabato na Mashahidi wa Jehova wanachukiwa sana hapa duniani.
Mashahidi wa Jehova wanasali siku ya Jumanne na Wasabato wanasali siku ya Jumamosi.
Mashahidi wa Jehova wako tayari kufa lakini usiwaongezee damu, kwao damu ni Big issue
Jehovah witnesses sio wakristo
Ukristo ni kuamini Mungu Baba mwana na Roho mtakatifu kinyume chake sio ukristo
Kusanyiko la NICEA mwaka 325...Hiyo ni kulingana na biblia au nini
Weka na mstari tuone
😂😂🤣Kusanyiko la NICEA mwaka 325...
Yale ni makanisa ya freemason na sio Ya KristoWana makanisa yao Morocco na Mabibo kama unataka kuoa wake wengi, jiunge na lile kanisa. Kitabu chao kitakatifu kinaitwa The Book Of Mormons