Sio maneno ya wakatoliki bali ni Yesu mwenyewe. ni Wakristo wote wanaamini hili,wasioamini hili fundisho sio dhehebu la Kikristo.Kwani wakatoliki wanaamini yesu ni mungu??
๐คฃ๐คฃ๐คฃ bora sisi. Kuishi na majini na kuyaita mema kuna uzima hapo?Hamnazo ni wale wanaolishwa majani na wachungaji.
Yaani kuitwa kondoo tu ni kwamba akili hazipo sio kosa lako
๐คฃ๐คฃ๐คฃ bora sisi. Kuishi na majini na kuyaita mema kuna uzima hapo?
Malwa===marwa, mulla==mura.mimi najua hili uwe mkiristo ukubali kuwa yesu ni mungu hiyo ndio imani kuu ya wakirito wote,lakini bora ya wasabato kuliko waloma na walokole nilenda mara tarime nikafikia kwa mzee wa kikuriya msabato uwezi hona kichuli pale wala nyamafu wala kiti moto pia ni wasafi sana wasabato mm kama muisilam nawakubali sana waabato wa tarime wakina mulla
Majini yapo makanisani ndio maana kila kukicha mnapiga kelele pepo toka,,, kungekuwa hamna majini mule msingekuwa mnapiga kelele pepo toka,,, basi umsikie mchungaji hapo hasa awe wa kinyakyusa afu anavyoitoa hiyo pepo toka, ukikaa mbele lazima ulowe mate!!!๐คฃ๐คฃ๐คฃ bora sisi. Kuishi na majini na kuyaita mema kuna uzima hapo?
Na inachukiwa kwa sababu moja tu. ugaidi basi!dunia hii hakanu anae piga vita ukirisito usiwe muongo dini iayo chukiwa ni 1 tu uisilamu basi
Wanayokuja nayoMajini yapo makanisani ndio maana kila kukicha mnapiga kelele pepo toka,,, kungekuwa hamna majini mule msingekuwa mnapiga kelele pepo toka,,, basi umsikie mchungaji hapo hasa awe wa kinyakyusa afu anavyoitoa hiyo pepo toka, ukikaa mbele lazima ulowe mate!!!
Sijaona link hapo ila wafuga majini mna kazi sana. Waislam kwa shirki hamjambo๐๐ผView attachment 2539185
Kama unaamini tu kwamba Kuna majini basi hauna akili ๐คฃ๐คฃ๐คฃ.
Jiangalie mlivyokuwa washirikina na wengi wenu washamba
Sasa Ni kwanini hua hamuweki nguvu kwenye kukomboa makafir walio kwenye Imani yenu. badala yake mnarukia watu ambao hata hawajui uwislam Ni kitu gani? Mimi siku nikiona dini iliyo weza kuwafanya waumini wake wote duniani kuwa watu wema nitajiunga nayo siku hiyo hiyo.hukuona uisilamu na anakula nguluwe kunywa pombe kuzini hafungi ramadhani shoga haswali swala 5 kama ni mwanake anajiuza au kawekwa kimada hao wote ni mkafiri tu jina lisikutishe
Reread my comment.Kwa hiyo hizo verse hazipo kwenye Quran nimezitunga tu ?
Unajua shirki wewe una Miungu mitatu then hujui kama wewe ndo mshirikina namba mojaSijaona link hapo ila wafuga majini mna kazi sana. Waislam kwa shirki hamjambo๐๐ผ
Naona unajiongelea mwenyewe muabudu majiniUnajua shirki wewe una Miungu mitatu then hujui kama wewe ndo mshirikina namba moja
๐๐๐Nyie Miungu mitatu washirikina wakubwa mnampa binadamu sifa ya kuwa Mungu kama sio ujingaNaona unajiongelea mwenyewe muabudu majini
Geuza mada ila muache kufuga majini yenu hayo na kuyafurahisha na udi sijui ubani๐๐๐Nyie Miungu mitatu washirikina wakubwa mnampa binadamu sifa ya kuwa Mungu kama sio ujinga
Hata kanisani kile kinachotoa moto kama kiji chungu kina ubani na udi kama hujui๐๐Geuza mada ila muache kufuga majini yenu hayo na kuyafurahisha na udi sijui ubani
Yaani Wasabato na Mashahidi wa Jehova wanachukiwa sana hapa duniani.
Mashahidi wa Jehova wanasali siku ya Jumanne na Wasabato wanasali siku ya Jumamosi.
Mashahidi wa Jehova wako tayari kufa lakini usiwaongezee damu, kwao damu ni Big issue
We ni mnafiki sana,, sasa uislam unaingiaje kwenye mambo yenu hayo,,,Yaani Wasabato na Mashahidi wa Jehova wanachukiwa sana hapa duniani.
Mashahidi wa Jehova wanasali siku ya Jumanne na Wasabato wanasali siku ya Jumamosi.
Mashahidi wa Jehova wako tayari kufa lakini usiwaongezee damu, kwao damu ni Big issue
Bora mimi sijufungi mishungi huku ndani nanuka uzinzi! Wanafiki wakubwa magaidi eti mnatumwa na muumba ebo!Hata kanisani kile kinachotoa moto kama kiji chungu kina ubani na udi kama hujui๐๐
Kafiri mkubwa
Kujistiri ni jambo jingine na kufanya dhambi ni jingine punguza chuki kwamba wanaofunga ushungi ndo wanafanya dhambi tu?.Bora mimi sijufungi mishungi huku ndani nanuka uzinzi! Wanafiki wakubwa magaidi eti mnatumwa na muumba ebo!