bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kwa wasio na hela waende wapi kureflesh mindNaunga mkono na miguu hoja ya Recreational centers.
Hali ya maisha ya watu wa Dar inaziitaji sana hizo kusaidia kupambana na Tatizo la maradhi ya akili/fahamu.
Maajabu ni kwamba wanatumia Bar Kama mbadala wake.
Wapindua nchi wakishika mji mkuu basi umekwisha.Jeshi linatakiwa liondoke maeneo ya mjini yabaki kujengwa majengo ya kiraia. Kama upo umuhimu, basi mjini yabaki maeneo machache na madogo tu kwa ajili yao. Nashangaa jiji kama Dar wamejaza mi-kambi mi-kukubwa ya jeshi. Ya kazi gani?
Tukivamiwa tusubiri kambi kubwa waje au sio? Kuweka mji kati ni ili kufikisha huduma kwa usawa wa umbali kwa wananchi woteMazee mbona una mikakati na mawazo ya kizamani sana? Yale mawazo ya eti kuweka mji mkuu katikakati ya nchi kwa sababu za kiusalama! Hivi tukiwa na kambi moja ndogo tu na nyingine zikahamishiwa pembezoni mwa jiji je? Nikuambie? Kambi kuwa ndani ya jiji kama ilivyo sasa ni hatari zaidi kuliko kuwa nje.
Anhaa nimekupata mkuu, ni ile njia ya kushoto pale mataa ukitokea mwananchi??Maji chumvi ipo tabata kisukulu. Sio mbali kutokea ubungo external EPZ ama TFDA
Anhaa nimekupata mkuu, ni ile njia ya kushoto pale mataa ukitokea mwananchi??
Ukitaka tu ubaya uliza hizo fremu anafaidika nani au kodi zake zinaenda wapiZimamoto pia pale fire wameona isiwe tabu nao wamefungua fremu barabarani kabisa
Poapoa man, shukranNdio pale mataa ya external ukikunja kushoto mbele ya london lounge
Vita ya Idd Amin ilianzia bar baada ya askari wa Uganda na Tanzania kugombea Binti muuza bar.😁Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Ndipo uwezo wa kufikiri ulipoishia tuachanane nayo hayo.Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Yaani tena wale jamaa ndo uwa najiuliza wanaelewa nini wanafanya bora zile frem pale wangeweka bidhaa zao za kuzuia moto ili wananchi na wanafunzi watembelee na kujionea ila wao wameona afadhali waweke barbershop kabisa...dah..Zimamoto pia pale fire wameona isiwe tabu nao wamefungua fremu barabarani kabisa
Kuna watu ndani ya jeshi walipaswa kuliona hili kwenye mtazamo wa kiintelejensia zaidi.Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Unajua mambo ya kijeshi? Hujui kuwa ulinzi wa bandari unakuwa ndani kabisa baharini? Huyo adui akifika bandarini hujui anakuwa tayari ameshateka hata kambi za jeshi zilizopo karibu? Kufikisha huduma kwa wananchi kunarahisishwa miundo mbinu ya mawasiano mizuri. Nimetembea nchi nyingi na huu ujinga wa kusema kuweka makao makuu katikati ya nchi ni kuwafikia wananchi kwa urahisi sikuona kwa sababu wanachojali ni usafiri wa haraka na uhakika.Tukivamiwa tusubiri kambi kubwa waje au sio? Kuweka mji kati ni ili kufikisha huduma kwa usawa wa umbali kwa wananchi wote
Jaribu kusoma tena nilichosema.Wapindua nchi wakishika mji mkuu basi umekwisha.
Asante sana kwa ufafanuzi huu[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Hapana mkuu ni majeshi mawili yanayojitegemea na yanatofautiana majukumu kulingana na sheria iliyotumika kuyaunda...
Nadhani hiki ndio nijuacho mkuu Watu8Suma wapo chini ya JKT, na JKT ni kamandi ya JWTZ kama walivyo Navy na Airforce.
Siyo kweli.Ubungo external jeshi limewapa ubungo manispaa sehemu ya eneo lake. Ubungo manispaa ndio wamepima viwanja na kuuza kwa wananchi. Ambao wamejenga ma fremu
Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame.
Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi.
Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu?
Jeshi letu lina maeneo potential sana, mazuri ambayo wangeweza kualika wawekezaji wakubwa wa kujenga shopping centres ama malls, recreational centers, na uwekezaji mkubwa kuliko huu wa bar na frame.
Je jeshi letu limekosa washauri wazuri wa uwekezaji wa ndani ama hata wa nje hadi kuwekeza kwenye bar na frame?
Hapo mwisho najua umeishi eneo hilo,nini kinaendelea hapo?External sehemu gani kuna fremu za jeshi?
Lugalo ni eneo la jeshi waliamua vile.
External fremu long time ziko vle ni za watu binafsi. Uongezekaji mwingine like baada ya shule yaa makamba au zile bar. Ni kutokana na ile njia kuwa na muingiliani na tabata, makoka na kimara. That's only shit. Nothing sijui jeshi.