Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Tutajie tajiri mweusi saudia
 
China anasaidia sana nchi zinazoendelea kupitia the belt and road initiative
Mkuu hii 👆 ndoige , miaka 60 tokea uhuru tunashindwa kujenga barabara ,madaraja flyovers,

Ss tunaweza kujenga mashina ya chama vya Siasa.

Mashina ya Simba na Yanga yamezagaa hapa Dar, mpaka MTU unajiuliza hawa watu wanawaza nini kichwani maana kwaajili ya jamii Yao wenyewe
 
Mzungu anamzidi muarabu au muafrika kwa roho mbaya? Acha chuki ustadh mana naona unajipendelea ustadh kubali kataa wazungu ndio race bora hapa duniani
 
Arabs and Chinese ni wabaguzi sana. Saudi Arabia ni marufuku kusali hadharani kama wewe sio Muislam..
 
Siongelei sisi kwa maana sisi weusi ni masikini wa mwisho hapa duniani. Ninazungumzia race tajiri yaani wazungu, wachina na waarabu..
 
Ila nyie watu wapumbavu sana.

Ni laana mimi kuzaliwa katika race hii sometimes huwa nafikiri hivyo maana wamejaa watu wajinga wajinga tu.
Ngozi nyeusi imejaa wajinga wengi sana mkuu. Tazama Msumbuji au Rwanda ya mwaka 1994..
 
Ni majuto ya ukoloni, ndo maana wanajitahid kulipa fadhira kwa style hiyo
 
Wanatak kulazimisha mambo katika resi za wenzao ambayo wao hawjawahi na hawewezi kabisa kuyafanya,sasa mtu analazimisha china kuwe na waziri mmakonde wakati kwake hakuna hata mwenyekiti wa Kijiji mchina ,mambo ya ajabu kabisa aya
Taja mchina aliye adopt mtoto Haiti mwaka 2010..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…