Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Kwanini matajiri wa China na Arab hawaasili (Adoption) watoto weusi kama Wazungu? Daah, God bless America

Then why mtu mweusi Tajiri awe anapokezana msaudia na Dangote? Weusi Wa Saudia wana hela karibia wote wana contribution kubwa kwenye Uchumi ni MA CEO wa makampuni yao na wanashika nafasi kubwa kubwa , ila weusi USA wenye hela wachache wengi wamejaa jela na sehemu za watu masikini that's a fact.
Tutajie tajiri mweusi saudia
 
China anasaidia sana nchi zinazoendelea kupitia the belt and road initiative
Mkuu hii 👆 ndoige , miaka 60 tokea uhuru tunashindwa kujenga barabara ,madaraja flyovers,

Ss tunaweza kujenga mashina ya chama vya Siasa.

Mashina ya Simba na Yanga yamezagaa hapa Dar, mpaka MTU unajiuliza hawa watu wanawaza nini kichwani maana kwaajili ya jamii Yao wenyewe
 
Sio issue hiyo. Unaweza kunitajia waziri mweusi huko Ujerumani, uswis, Denmark, Hungary, urusi, Japan, Argentina, nk? Usiangalie China na uarabuni tu ukakengeuka.

Marekani watu weusi waliingia kitambo sana, tena wazungu si asili yao huko. Ufaransa walikuwa ba policy yao inaitwa assimilation. Halafu angalia Afrika.... Kuna waarabu wengi tu wamezaliana na blacks. Hata Chinese na wahindi vilevile.

Acha inferiority na kutukuza wazungu. Kwanza wazungu ndio wana roho mbaya kuliko race zote huwezi amini.
Mzungu anamzidi muarabu au muafrika kwa roho mbaya? Acha chuki ustadh mana naona unajipendelea ustadh kubali kataa wazungu ndio race bora hapa duniani
 
Then why mtu mweusi Tajiri awe anapokezana msaudia na Dangote? Weusi Wa Saudia wana hela karibia wote wana contribution kubwa kwenye Uchumi ni MA CEO wa makampuni yao na wanashika nafasi kubwa kubwa , ila weusi USA wenye hela wachache wengi wamejaa jela na sehemu za watu masikini that's a fact.
Arabs and Chinese ni wabaguzi sana. Saudi Arabia ni marufuku kusali hadharani kama wewe sio Muislam..
 
Ni uamuzi tu hatuwadai chochote. Sisi wenyewe bado wahindi waliozaliwa hapa tunawaita magabachori bashe mpaka leo anaitwa msomali halafu unataka mwafrika awe kiongozi kwa wachina na waarabu.
Ni nchi za ulaya na marekani zinazokubali hayo. Hata hapa tz ni vigumu umkute mwarabu tena aliyehamia yuko jeshini.
Siongelei sisi kwa maana sisi weusi ni masikini wa mwisho hapa duniani. Ninazungumzia race tajiri yaani wazungu, wachina na waarabu..
 
Ila nyie watu wapumbavu sana.

Ni laana mimi kuzaliwa katika race hii sometimes huwa nafikiri hivyo maana wamejaa watu wajinga wajinga tu.
Ngozi nyeusi imejaa wajinga wengi sana mkuu. Tazama Msumbuji au Rwanda ya mwaka 1994..
 
(1) Balotelli alifanyiwa adoption na wazungu.

(2) Baada ya kimbunga na maafa kule Haiti, wazungu walichukua idadi kubwa sana ya watoto kuwapeleka Ulaya na Marekani kama watoto wao.

(3) Ni mtu gani mweusi aliwahi kuwa kiongozi wa kisiasa China au nchi yoyote ya Kiarabu??

Siku hizi nimekuwa mvivu sana wa kuandika, ila all in all, GOD BLESS AMERICA.

~ SIPENDI SIASA ~
Ni majuto ya ukoloni, ndo maana wanajitahid kulipa fadhira kwa style hiyo
 
Wanatak kulazimisha mambo katika resi za wenzao ambayo wao hawjawahi na hawewezi kabisa kuyafanya,sasa mtu analazimisha china kuwe na waziri mmakonde wakati kwake hakuna hata mwenyekiti wa Kijiji mchina ,mambo ya ajabu kabisa aya
Taja mchina aliye adopt mtoto Haiti mwaka 2010..
 
Back
Top Bottom