raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hamna ni muundo tu mbona zipo nyingine kama pale ananasif zimekaa poa watu wana gombania zile za morocco nazo π₯π₯π₯Yale ya watumishi πππ , anko magu alivyoingia aliyapiga stop kuendelea.
Halafu kama ulivyosema , wabongo wengi mfumo wa apartments hizo huwa wanaona kama hostel au kota π
Kama kunduchi huko hatari napoThread ya watoto wa mjini sio sisi tulioingia dar kikwete anaingia madarakani
Either ways, Ila Dar kuna sehemu unapita hadi unajiuliza hivi hawa waliojenga ni watanzania hawa hawa naopishana nao kuna wale watu wa nje ndio wanashusha haya matusi
Zile za ananasif siyo mchezoHamna ni muundo tu mbona zipo nyingine kama pale ananasif zimekaa poa watu wana gombania zile za morocco nazo [emoji91][emoji91][emoji91]
Hivi na goba wizi umeisha maana nilimtembelea mtu kama mwaka na nusu uliopita. alikuwa analalamika sanaKama kunduchi huko hatari napo
Watu wana madude huko way back
Afadhali kunduchi ya sshv imechangamka zamani huko kulikuwa na uvamizi sana majumbani
Ova
Sana mkuuSi unajuwa mabaharia kwa mastori haziishagi [emoji1]
Ila tulipotoka mbali aise,hata hawa watoto waliyozaliwa miaka ya 90,2000
Hawawezi kuelewa
Ova
Sasa morocco zile mkijengewa mtaweza kuzimudu ππ sio mtajiwe 400m muanze kulia kuwa wanyonge nchi hii hamna hakiHamna ni muundo tu mbona zipo nyingine kama pale ananasif zimekaa poa watu wana gombania zile za morocco nazo π₯π₯π₯
Lyumba alikuwa anaishi mikocheni avacado
Ova
Utakuwa umepunguaHivi na goba wizi umeisha maana nilimtembelea mtu kama mwaka na nusu uliopita. alikuwa analalamika sana
Ili mradi tu iwe ni bei inayo akisi gharama halisiSasa morocco zile mkijengewa mtaweza kuzimudu ππ sio mtajiwe 400m muanze kulia kuwa wanyonge nchi hii hamna haki
Basi hata ile ya Avocado alitaka ibetuana mbezi beach alikuwa na nyumba umenisahau ile iliyozua taharuki...ambayo ilikuwa haiuziki...?
Moroco pale wamenunua sana wahindi na waarabu...Ili mradi tu iwe ni bei inayo akisi gharama halisi
Zile sijawahi kuingia ila sidhani kama sehemu za kupumzikia zitakosekanaMoroco pale wamenunua sana wahindi na waarabu...
WSwahili siyo sana
Hivi kwenye zile flats za moroco ndani kuna viwanja vya michezo au sehemu kupumzika
Ova
Hoteli iko ndyZile sijawahi kuingia ila sidhani kama sehemu za kupumzikia zitakosekana
Siku wana zitambulisha walisema kuna hoteli imechukua baadhi ya floor
Dar hii kila sehemu ni harufu tu za ajabu ajabu hadi pua hazi hisi tenaHoteli iko ndy
Sema dah huu mtaa wa ursino,regent wachina walipowekeza unanuka sana
Mauchaf yao
Ova
View attachment 2845061
Hii ya ursino ni kibokoDar hii kila sehemu ni harufu tu za ajabu ajabu hadi pua hazi hisi tena
Mchina ni mwafrika aliye changamka hana viwango kabisaHii ya ursino ni kiboko
Mazagazaga ya wachina
Hapo wachina sahv huo mtaa
Umekuwa kama wao
Ila wachina wachaf
Ova
oy nitafutie kiwanja cha mil10 maskini mimi huko mbezi kama kweli maskini wanaishi huko..Maskin wengi wanaishi mbezi beach saivi
Wakati enzi hizo ilikuwa Sehemu ya madon
Basi hata ile ya Avocado alitaka ibetua
Mke akampiga pini
Mikocheni avocado mitaa fulani tulivu
Ova
Alikuwa na mzongo wa mawazodakika za mwisho alidata vibaya...aliza kila kitu na mbaya zaidi hata msiba wake haukuwa officially...alizikwa kama mtu wa kawaida...!