Kaka nadhani game ya Simba ikiisha ntakuja kukufafanulia Kwa kina ,ila Kwa kifupi kuwa CDF haimaanishi lazima uwe 4star general ,Kuna nchi zingine CDF ama. Cheo cha luteni jenerali au meja jenerali ,hii inatokana na ukuaji wa jeshi husika hasa idadi ya askari
Tanzania mkuu wetu wa majeshi wa kwanza alikuwa na cheo cha brigedia jenerali wakati anaapishwa na kutumikia madaraka yKe Hadi anastaafu alikuwa meja jenerali,aliyefata twalipo alikuwa CDF na cheo cha luteni jenerali 3 star general,ila baada ya hapo waliofata wte walikuwa 4star general kwani jeshi lilijitosheleza kiidadi ya askari na mengine katika kuwa na jenerali full..
Mwaka 2002 sarakikya alipandishwa cheo kuwa 4 star general Kwa heshima yeye alikuwa ndo wa kwanza ,kumbuka kijeshi cheo kupanda au kushuka inaweza tokea ukiwa umekufa au umestaafu
Kisiwa cha Comoro mwaka 2007 mkuu wake wa majeshi alikuwa na cheo cha kanali,
Gambia wakati yahya jamej anapinduliwa mkuu wake wa majeshi alikuwa na cheo cha luteni jenerali
Marekani wakuu wa kamandi kwao ni 4 star general na pia marekani ina 4 star general 42 na ndo idadi yao inasema wAsizidi hapo ila pia ikiwa pungufu ni sawa , so haya yanatokana na ukubwa wa jeshi linavyozidi kustawi na mengineyo
Nimejibu haraka kwakuwa nataka niwai mpira na siti nzuri