Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

Ndoto za Abunuwasi hizo Yaan wewe Mange aitishie Serikali?ni vile tu hawajaamua mbona kitukanio chake wamekifungia.
 
Fatma amejibu vizuri sanaa,Ukitaka content za ngono utanipa ta?Ukitaka hata hapa JF utazipata tuu.
 
Si X pekee, hata vikundi vya kwaya makanisani navyo huharibu vijana.
 
Wenye kuupromoti Ushoga ni CCM wenyewe na kile kitengo chao cha kupakazia Ushoga wapinzani wao !

Kila wanayemuogopa kwa hoja zake huwa anapakaziwa kuwa ni shoga !
Vijana wadogo wakisikia hizo habari wanaona kumbe Ushoga ni kitu cha kawaida tu kwa mtu yeyote kuufanya 🙄
Wanakuwa interested na hayo mambo 🙄
CCM wanaiharibu Nchi na Jamii kutoka kila angle kwa sababu ya Ulafi wa madaraka 😳🙄
 
🤣🤣🤣 you get what you search/view
 
Hili swali zuri sana.
Ni sawa na watu kusema ooh telegram kumejaa watu wanajiuza, kuna watu wanataman wawaone hao wanaojiuza telegram ila hawawaoni maana ni hadi usearch, sometimes uwe na connection ama ulipie kabisa kupewa link..

Ko unakuja kuona kwamba ni mtu mwenyewe kwa tamaa zake kasearch makitu ya ajabu, nafsi yake ikianza kumsuta kua anafanya dhambi basi anawatupia lawama wengine na sio yeye.
Umeangalia porn mwenyewe, umejichukulia sheria mkononi mwenyewe, kwenye kujuta unaanza kuilaumu telegram au X.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…