Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Wapo ambao hawajasikia ingawa wengi wamesikia na kukaza fuvu. Shetani anamfahamu Kristo.Kwahio in your statement kuna watu hawajasikia hizi habari ? Shetani hakumjua huyu Kristo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo ambao hawajasikia ingawa wengi wamesikia na kukaza fuvu. Shetani anamfahamu Kristo.Kwahio in your statement kuna watu hawajasikia hizi habari ? Shetani hakumjua huyu Kristo ?
Okay sawaWengine hatujaguswa. So hoja yako ni ya uongo
Sijakuelewa concept kwamba ukiumba kitu au kitu kikiwa chako una mandate ya kukifanya utakavyo hata ku-inflict pain ?!!!haina feeling sababu technology yetu ndio ilipoishia kwa sasa, with Ai na tech kukua tunaelekea huko, sasa hivi sio siri tena DNA zetu zina binary like language, sisi tupo programed sio na herufi mbili kama Binary ila herufi 4 ama 3 etc watu wa Biology wanajua zaidi. so concept ni ile ile.
Creating something to inflict pain in my book is better not to create it in the first place...., kwahio kama ninafuga kuku na kuwalisha ili niwagombanishe kwenye kamari ni bora nisingewafuga as far as they are concerned....hio ni concept tu nakupa haimaanishi Akili ya creator ni kama yetu,
Hakiexist mpaka kithibitishwe na kuondolewa kwenye nadharia. Mfano, kuna nadharia kuwa kuna samaki aina ya nguva n.kUnamaanisha nini ukisema nadharia? Kitu kikiwa nadharia kina exist au la?
Twende Logically....Wapo ambao hawajasikia ingawa wengi wamesikia na kukaza fuvu. Shetani anamfahamu Kristo.
Unajua vitu vinavyoitwa cell, organs, tissue, body systems n.k ?Swali lako ni rahisi sana. Kama unadhani lifeforce inatokana na pace maker basi nenda kachukue maiti uiwekee pace maker uone kama itaanza kuishi.
NB: Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili (na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency!
Naam nifundishwe with consistency sio leo jtatu naambiwa hili kesho lile, keshokutwa jingine tena mwisho wa siku tunachanganyana na sio kufundishana tena bali ni kuona vipi previous statement zinaweza kuwa justified, na ikishindikana jibu ni akili yetu Yeye muumba muweza Yote anajua atendalo.... (Hii fimbo ilitumika sana kipindi fulani kuwa-nyoosha watumwa ili waendelee kuridhika na kuwatumikia mabwana)Wewe unaomba ufundishwe halafu hapohapo unaomba ufundishweje!!!😏, wewe ni mwanafunzi gani??!!
Haya mambo nimekueleza kule mwanzoni, ulikuwa unasoma ili ubishane bila kuelewa?? Nilikuambia shetani alikuwa kwenye spirit world ambayo ni perfect na alifanya dhambi bila kuwa influenced na chochote hivyo hana fursa ya kusamehewa.Twende Logically....
Statement; Hakuna ambaye amemfahamu Kristo na Hakuguswa
Swali: Shetani Hakumfahamu
Jibu: Ndio
Swali: Kwahio aliguswa ? Au ni kipi anakijua sisi tusichokijua.... Au Statement yako ni null and void ? Au kuguswa kunamaanisha nini hasa....
Basi kama unasema mawazo sio halisia in their own form itakuwa heri ubakie kwenye five senses halafu sisi tutaendelea kuamini kwenye uwepo wa vitu beyond the tangible world. Fainali inakuja mara baada ya kuuacha mwili na kuingia upande wa pili. Kila mtu atajibu mwenyewe.Hakiexist mpaka kithibitishwe na kuondolewa kwenye nadharia. Mfano, kuna nadharia kuwa kuna samaki aina ya nguva n.k
Halafu pia kwanini Mungu hadi sasa hajaamua kumsinyasinya shetani ili tuishi kama alivyokusudia??Hili suala tulijadili kwa Logic!
Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia.
Okay unaweza kusema kwamba Shetani hajarepent (kuomba msamaha) ndio maana hajapewa msamaha, lakini je inamaanisha Mungu anapenda kuombwa ombwa na kunyenyekewa kiasi kwamba hatoi msamaha mpaka aombwe.
Na je, Hadithi za Mwana Mpotevu, Je inamaanisha siku Shetani akirudi na kupiga magoti atasamehewa ? Au kuna Muda wa kuomba msamaha ukipita ndio basi.
Au baada ya kukaa Motoni kwa karne kadhaa huenda ukapita msamaha kama wa wafungwa na kila mtu akawa huru na sio hawa tu ambao walijinyima bata huku duniani?
NB: Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili (na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency!
Wapi hapo kwenye bible naweza nikasoma pameandikwa dunia iliumbea pamoja na ulimwengu billions of years ago?Biblia imesema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. Dunia iliumbwa pamoja na ulimwengu billions of years ago. Zile siku unazoona kwenye kitabu cha mwanzo zinahesabiwa baada ya tukio la dunia kuwa ukiwa na utupu.
Na kwenye theolojia inaelezeka kwamba tukio la ukiwa tena utupu lilikuja baada ya shetani kumwasi Mungu. Ukisoma kitabu cha Ezekiel sura ya 28 unaona shetani kabla hajaasi alikuwa na ofisi hapa duniani. Alipoasi ndio Mungu aliharibu dunia pamoja na ofisi aliyokuwa anaitumia hapa duniani.
Sasa baada ya kipindi fulani ndio Mungu akarudi kuanza kuweka new life kwenye dunia hii na hapo ndio zile siku za kitabu cha mwanzo zinatajwa.
Unachanganya concept na maswali aliyokuuliza muuliza mada...of course choice yako ni vitu ulivyopangiwa, nje ya universe kuna material na vitu ambavyo hujawahi kuvisikia, kuviona wala kuvitest na mpaka kufa hutaviona, choice yako ni vitu ambavyo vipo duniani tu, ambavyo Mungu amepanga hio ni sahihi. hivyo vingine utaviona after kifo.
na hivyo alivyopanga kuna ambavyo ameruhusu na ambavyo amekataza, umepewa free will kufanya vyote, ukifanya ulivyoruhusiwa ni plus ukifanya ulivyokatazwa ni negative choice ni yako
Hizi ni hisia zako zinazoendeshwa na woga wa yajayo baada ya kifo. Kwani upande wa pili ww unauthibitisha vp kuwa utaadhibu wasio waoga kama wewe? Kuna aliye adhibiwa ukamshuhudia? By the way waoga nasikia hawataiona mbingu. Ni kweli?Basi kama unasema mawazo sio halisia in their own form itakuwa heri ubakie kwenye five senses halafu sisi tutaendelea kuamini kwenye uwepo wa vitu beyond the tangible world. Fainali inakuja mara baada ya kuuacha mwili na kuingia upande wa pili. Kila mtu atajibu mwenyewe.
Ah hiyo ni hatari[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji23][emoji1787] inakutia hofu hafu inakulimit usioji hivi ni kukufuru[emoji2960][emoji114]Hakuna kamati ninayo iogopa kama ile KAMATI iliyo kaa na kupanga mambo ya Mungu na Shetani, wale jamaa ni watu hatari sana
Niambiwa eti shetani alimuomba ampe maisha marefu ili aweze kudeal na binadamu na Mungu akasema Sawa tu endelea.... Kuna wadau wameniambia hivyo...., Who am I to Argue with People's Faith (Nachoweza kufanya ni kuvunja vunja logic zao kwa imani yao)Halafu pia kwanini Mungu hadi sasa hajaamua kumsinyasinya shetani ili tuishi kama alivyokusudia??
Ina maana kakubali kuwa miaka yote hii tuishi na matatizo alosababisha shetani wakati angeweza kumshughulikia na kufanya sisi tuishi kwa amani na salama
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Simuhukumu mtu.Hivi ni Wapi huu mjadala umegeuka kuwa Sisi ndio sahihi wao sio sahihi..., na kuwahukumu waislamu kwa matendo ya waislamu na sio kitabu chao nadhani ni kukosea sana...
Mtu anaweza kutumia kitabu chako akaona kuna Daudi kupenda wake za watu ni justification ya kufanya uzinzi, ndio maana hivi vitabu vya Imani inabidi uvimeze with a pinch of salt....
Nani kakuambia emotioms hazithibitishiki?Nafsi na roho hauzithibitishi kwa physical senses kama ambavyo huwezi kuthibitisha emotions japo zipo.
Mstari wa kwanza wa kitabu cha Mwanzo upo clear, mbingu na nchi ziliumbwa hapo mwanzo na sio siku ya kwanza.Wapi hapo kwenye bible naweza nikasoma pameandikwa dunia iliumbea pamoja na ulimwengu billions of years ago?
Mimi sina hofu, nakupa tahadhari ambayo ilitamkwa na Yesu Kristo mwenyewe juu ya hatari za kwenda kuzimu.Hizi ni hisia zako zinazoendeshwa na woga wa yajayo baada ya kifo. Kwani upande wa pili ww unauthibitisha vp kuwa utaadhibu wasio waoga kama wewe? Kuna aliye adhibiwa ukamshuhudia? By the way waoga nasikia hawataiona mbingu. Ni kweli?