Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Nioneshe tafiti iwe na wanaume wote mabwabwa, rijali, wenye dini etc wakidinda kwanza.Hiyo research ya Finland, mwanamme rijali mikidinda kwa kuwa nimemuangalia Zena, mwanamke mzuri wa kuchorwa, mwenye maumbile ya kuvutia , kwenye gazeti la SANI, hilo linamaanisha huyo katuni Zena ni mtu kweli?
Ni mtu mjinga peke yake ndiye atakaesema kuwa kifo hakitishi.Kifo kinauma na kinatisha maana ni mwanzo wa maisha ya milele kwa maana hakuna tena kufa baada ya kufa ila matukio yajayo mbeleni ndio yanatisha. Je utakuwa miongoni mwa waliofaulu ama waliofeli??Siyo kufuru.
Kwa sisi wenye mwili tunaona kama kifo ni adhabu.
Kiuhalisia kifo ni mabadiliko tu ya binadamu kutoka stage moja kwenda nyingine.
Kama Mungu anaamuru ufe ki uhalisia ni jambo jema kabisa.
Aliyekuleta anakupeleka katika dalaja lingine ambolo ni bola zaidi.
Mfano. Mtoto anapozaliwa analia sana hataki kuja diniani kwa kulizoea tumbo la mama yake na kuona ndio sehemu sahihi yakuishi.
Akisha zaliwa baada ya muda anaona kumbe kule tumboni kulikuwa hakuna maana. Maisha mazuri ni haya ya sasa ya kula samaki na maziwa.
Ndivyo kilivyo kifo, ni kizuri sana mimi nitakapo karibia kufa nitawaambia waliobaki "Sitaki mtu anililie" nitaandaa bajeti ya Kusheherekea Kifo changu na Bia zitakuwepo.
Najua naenda sehemu nzuri zaidi ya hapa nilipo.
Hapana, hujasoma links zinakuambia kwamba morality inatokea naturally tu, haihitaji Mungu?So unakubali kumuamini mungu ni morality?
Sijasema wingi wa watu msinilishe maneno pls.Kuna wakati watu wengi waliamini jua linazunguka dunia.
Je, hilo lilifanya kuwa jua linazunguka dunia kweli?
The truth is not democratic useme kwamba watu wengi tukisema jua linazunguka dunia, basi itakuwa kweli jua linazunguka dunia.
Still kiraga hujajibu utafiti wangu ninachoona hapa unahamisha tu Magoli, si watoto wote ni Moral upright, kuna watoto wamepinda vibaya mno, ila watoto kumuamini mungu ni Universal wawe wa kishua, wa uswazi, wa Marekani, wa Somalia etc.Hapana, hujasoma links zinakuambia kwamba morality inatokea naturally tu, haihitaji Mungu?
Let's say tupo katika ulimwengu ambao hauna Mungu.
Huko zamani kulikuwa na jamii zinazokubali morality, na jamii zisizokubali morality.
Jamii zisizokubali morality zikauanauana, zikamalizana. Hazikuwa na morality ya kukataza kuuana.Vizazi vyao havikuendelea kwa sababu kutoamini morality hakustawishi jamii, kunamaliza jamii.
Kwa upande mwingine, jamii ambazo ziliamini katika morality, ziliweza kustawi. Zzikarithisha watoto morality kupitia mafunzo na kwa njia ya genetics.
Baada ya miaka mingi sana, ikaonekana kwamba jamii zisizoamini morality zimetoweka, zimeuana uana, zimepotea zimebaki jamii zinazoamini morality.
Watu ambao hawakujua historia hiyo, wakawa wanajiuliza, kwa nini watu wana morality? Kwa nini wanajua hiki kibaya hiki kizuri? Wana conclude lazima Mungu yupo na kawapa hiyo moral compass.
Wakati Mungu hahitajiki kuelezea hii natural morality.
Tafiti yako wapi inasema morality inatokana na Mungu?Nioneshe tafiti iwe na wanaume wote mabwabwa, rijali, wenye dini etc wakidinda kwanza.
Hio tafiti imehusisha pande zote mbili wenye dini na wa sio na dini, ingehusisha wenye dini tu logic yako inge Apply ila hapo imehusisha wasio na dini. Na huo uwoga haujakuja voluntary upo invonluntary kuonesha kwamba miili yetu ipo programmed hivyo irespective ya akili yetu inafikiria vipi.
Nikuulize wewe uliehamisha magoli na kuingiza mambo ya morality na utafiti haujaongeleaTafiti yako wapi inasema morality inatokana na Mungu?
Sasa hapa una disprove point yako ya morality, umeileta mwenyewe, halafu unaivunja mwenyewe.Still kiraga hujajibu utafiti wangu ninachoona hapa unahamisha tu Magoli, si watoto wote ni Moral upright, kuna watoto wamepinda vibaya mno, ila watoto kumuamini mungu ni Universal wawe wa kishua, wa uswazi, wa Marekani, wa Somalia etc.
Wewe ndiye umeanza kuleta habari ya "innate religion", ambayo ndiyo hiyo hiyo ya morality.Nikuulize wewe uliehamisha magoli na kuingiza mambo ya morality na utafiti haujaongelea
Mungu haui watu.Bible hiyo inatetea wizi na uuwaj pia mungu kaua watu pia kwenye bible
Shirki (ushirikina) ni miongoni mwa madhambi makubwa! Na ni dhambi kubwa kuliko madhambi yote unayoyajua wewe.Kuiba,kuua,kuzini,kusema uongo,kusengenya n.k hakufikii ukubwa wa hii dhambi.Hii ni dhambi gani unaweza kufafanua ? Na Je Shetani alitenda hii dhambi au ni kiburi chake yaani msamaha upo ila hautaki ?
Kwahio ni kwamba kama vile watu wanakuwa brainwashed kuridha na chochote kile..., Yaani kama enzi za utumwa ambapo kuna watu walikuwa wanafurahia sana kuwatumikia Ma-Bwana zao yaani hata ukiwapa uhuru wanaona wanapungukiwa ?
Je unaona hilo ni sahihi yaani kuridhika hata kama kuna kunyonywa sio kwa utashi wako bali kwa kuondolewa utashi ?!!!
That is not how debunk worksHii logic ilishakuwa debunked na hii statemnt.
"Who paint the painter?"
Sababu picha imechorwa haimaanishi mchoraji amechorwa.
Sababu binadamu Ametengenezwa haimaanishi Mungu nae Ametengenezwa, Simple Logic.
Kwani Mungu aliumba Majini Mashetani na watu kwa sababu gani ?Kama kawaida yenu enyi mliokufuru, kufanya kejeli dhidi ya waliomuamini Mungu. Hamna jambo jipya mtakuja kulifanya ambalo baba zenu waliowatangulia ktk kukufuru hawakulifanya. Huwa mnarudi yale yale ila karibu mtakuja jua. Mwanadamu umri wako ni mchache sana.
Sasa hapa una disprove point yako ya morality, umeileta mwenyewe, halafu unaivunja mwenyewe.
Sasa Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wotte karuhusuje watoto wengine wapinde hivyo?
Umeona tafiti zinazosema kwamba morality ni natural, haihitaji Mungu?
Tafiti zako wapi zinasema morality inatokana na Mungu?
Maana ni kitu kimoja kusema watoto wanazaliwa na morality, na kitu tofauti kusema morality inatokana na Mungu.
Hata kama watoto wanazaliwa na morality, je, hilo ni uthibitisho kwamba morality hiyo inatokana na Mungu?
Unaunganishaje watoto kuzaliwa na morality na morality kutoka kwa Mungu?
Nakujua wewe mzee wa kupindisha mambo sipo hapa kubishana blah blah tafiti hupingwa na tafiti, mimi nimeleta tafiti yangu nzuri tu na kuweka Citation, sio tu imetoka university kubwa Oxford bali imetumia researcher wengi na nchi nyingi.Wewe ndiye umeanza kuleta habari ya "innate religion", ambayo ndiyo hiyo hiyo ya morality.
Au hujui Kiingereza?
Sasa wewe umeleta hoja ya "innate religion", ukasema inaonesha Mungu yupo.
Mimi nakwambia hiyo ni natural morality tu, na haihitaji Mungu kuielezea, na hizi hapa tafiti zinasema hilo.
Halafu unaniambia mimi ndiye niliyeleta hoja ya "innate religion"/ natural morality hapa?
Do you even know that unachokiita "innate religion" na natural morality ni kitu kile kile?
Wewe unayejua maandiko basi tufundishe.Wewe hujui kitu kuhusu maandiko!! Naona umenukuu andiko kutoka ktk kumbukumbu la torati ila nikikupa maandiko yahusuyo sheria kwenye biblia yako utageuka na kuyakataa kwamba yamepitwa na wakati.
1. Tafiti yako wapi imesema morality/ innate religion imetoka kwa Mungu?Nakujua wewe mzee wa kupindisha mambo sipo hapa kubishana blah blah tafiti hupingwa na tafiti, mimi nimeleta tafiti yangu nzuri tu na kuweka Citation, sio tu imetoka university kubwa Oxford bali imetumia researcher wengi na nchi nyingi.
Wewe unajibu tafiti na hoja mfu mwanzo umesema wamefundishwa kitu ambacho si sahihi sababu hio tafiti ime take into consideration hio issue, then umeleta tafiti nyengine kabisa zisizohusiana na nilicholeta mimi.
Stay on point pls
Mzee morality inarithishwa kwa genetics?Hapana, hujasoma links zinakuambia kwamba morality inatokea naturally tu, haihitaji Mungu?
Let's say tupo katika ulimwengu ambao hauna Mungu.
Huko zamani kulikuwa na jamii zinazokubali morality, na jamii zisizokubali morality.
Jamii zisizokubali morality zikauanauana, zikamalizana. Hazikuwa na morality ya kukataza kuuana.Vizazi vyao havikuendelea kwa sababu kutoamini morality hakustawishi jamii, kunamaliza jamii.
Kwa upande mwingine, jamii ambazo ziliamini katika morality, ziliweza kustawi. Zikarithisha watoto morality kupitia mafunzo na kwa njia ya genetics.
Baada ya miaka mingi sana, ikaonekana kwamba jamii zisizoamini morality zimetoweka, zimeuana uana, zimepotea zimebaki jamii zinazoamini morality.
Watu ambao hawakujua historia hiyo, wakawa wanajiuliza, kwa nini watu wana morality? Kwa nini wanajua hiki kibaya hiki kizuri? Wana conclude lazima Mungu yupo na kawapa hiyo moral compass.
Wakati Mungu hahitajiki kuelezea hii natural morality.
Mimi kifo hakinitishi.Ni mtu mjinga peke yake ndiye atakaesema kuwa kifo hakitishi.Kifo kinauma na kinatisha maana ni mwanzo wa maisha ya milele kwa maana hakuna tena kufa baada ya kufa ila matukio yajayo mbeleni ndio yanatisha. Je utakuwa miongoni mwa waliofaulu ama waliofeli??
Kwani haiwezekani kwa mtu kuwa mtu wa hasira hasira, mtu mgomvi mgomvi, mtu mwenye matatizo ya akili yanayomfanya asijali morality, matatizo yaliyo katika level ya genetics, kumrithisha mtoto wake matatizo hayo hayo ya kutojali morality kwa kupitia hizo genetics?Mzee morality inarithishwa kwa genetics?