Kwanini Mungu na Shetani wasimalize tofauti zao?

Ego!!Kumbuka shetani alishawishi 1/3 ya malaika kule mbinguni na wakamfuata,kwake yeye hawezi kwenda kurudi kunyenyekea aache ufalme wake na waasi wenzake
Ila Mungu atamuonyesha kwamba yeye ni Muumba wa yote na vyote
Kwa hiyo Mungu kajitengenezea adui wa kutunishiana misuli ili ajioneshe kuwa yeye ni mwamba?

Anapata faida gani kuhangaika na shetani?
 
Kwa hiyo Mungu kajitengenezea adui wa kutunishiana misuli ili ajioneshe kuwa yeye ni mwamba?

Anapata faida gani kuhangaika na shetani?
Jambo hilo likifanywa na binadamu tunamuita ni binadamu wa hovyo lakini huko eti ndio umashuhuri sasa kwanini sisi tusiendekeze ubabe kama ndio umashuhuri
 
Hivi ķitabu cha Ayubu ndo the book of job? Maana nina bible ya kiingereza, sijawahi kumsoma napitaga tu kumbe kuna mengi yaliendelea? Duh. Afu ni kitabu kidogo sana kukisona basi tu uvivu. Asante
Na kuna kile kitabu ambacho Mungu alimjaribu Abraham kwa kumwambia amtoe Sadaka mwanae..., Duh mimi ningekuwa Isaac ningemuitia mzazi wangu wadau wakampime akili..., pia ningehamia kwenda kulala kwa jirani ili hisia za kujaribiwa zisirudi tena akidhani ni Mungu kumbe ni Shetani...

Sasa najiuliza Mungu hakujua mpaka afanye test ?
 
Kwahio Mungu kampa uhai mpaka siku ya mwisho ili aendelee kusumbua wengine, na wakati anamuumba hakujua / hakufahamu hii tabia yake ya usaliti au ilikuja bahati mbaya
Shetani hajamsaliti mungu, anajua fika Mungu sio level zake, ndio maana amemuomba, shetani yeye yupo against na Binadamu na mission yake ni kumpoteza Binadamu.

Wewe ni kiumbe hujajiumba umeumbwa huna haki ya kusema unasumbuliwa sababu hujimiliki, its like leo wewe utengeneze robot lako uamue licheze singeli, robot litacheza singeli wewe ndo umelitengeneza.
kwamba njooni kwangu niwape vitu vizuri nendeni pengine niwachome moto, hio ni free will ?
Umepewa Free will duniani na sio baada ya dunia.
Concept ya Mungu na Sisi binadamu/Jini ni sawa na Game na Developer.

Mimi na wewe ni kama Charachter wa Game Gta V ama Witcher 3 etc. Upo free kufanya unachotaka ila ujue kuna matokeo kila unachofanya.

So dunia ilishakuwa programmed kuna rules na regulation zimewekwa, wewe uende peponi uende motoni kwa Mungu humuongezei kitu humpunguzii kitu.

Kama Vile ambavyo Charachter wa Game akiruka sarakasi, ama akipiga chenga haimuathiri chochote developer.

So usifikiri mungu kwa logic za kibinadamu rules zetu hazi Apply kwake, Huombi msamaha sababu Mungu anautaka msamaha unaomba msamaha kwa ajili yako mwenyewe, ukiomba ama usipoomba haimuongezei ama kumpunguzia Chochote.
 
Ayubu (Job) aliwahi kupresent case yake mbele za Mungu,ukisoma majibizano hayo utajifunza mengi sana,Mungu alimuuliza Ayubu maswali 77 anzia 38:4 ,Ayubu alinyoosha mikono akakiri kuwa Mungu ni muweza wa yote
 
Tumia same logic kama ya juu, Rockstar na Gta V online.

Kwenye Gta tunaita open world upo free kufanya Chochote, unaweza endesha gari, ukafungua biashara, Ukaua mtu, ukapigana na polisi etc uamuzi ni wako kufanya unachotaka.

Je kuna chochote unaweza fanya kwenye Gta online ambacho developer hakijui? Haupo free kufanya unachotaka?
 
Mfano eako nashindwa kuuelewa labda pengine kwasababu siko familiar na mambo ya tech

Ila nachoweza kusema kupitia hoja ya Mungu kujua ni kuwa

Ili mtu awe na uhuru wa kuchagua basi swala la kuchagua, Mungu hapaswi kujua nini naenda kuchagua

Mungu kujua nini naend kuchagua na kujua kwake ni lazima kutokee hivyo hivyo basi hiyo ni fate mtu ameamuliwa aje apite njia hiyo

Though katika fikra zetu tunaweza hisi tuna experience uhuru lakini kiuhalisia hatukuea na namna nyingine ya kwenda vinginevyo
 
Mfano mwengine huu kama wa Tech hujaelewa. Wa Hesabu probability.

Kwenye probability kuna kitu kinaitwa tree diagram


Mfano kwenye picha hapo una choice uchague nyekundu, bluu, kijani ama njano, ila kila rangi utakayochagua Mwenyezi mungu anaijua, una Choice ila kila choice utakayochagua outcome yake Mungu anaijua, sababu Mungu ndio alitengeneza outcome zote hizi, hivyo una matrilioni ya Choice na kila Choice Mungu anajua outcome yake.
 
Trilion of choices is just an illusion kwasababu outcome yake ishajulikana kabla hujachagua

Unacho ki experience hapo ni illusion tu kuona una machaguo mengi lakini kiukweli haukuweza kwenda kinyume na kile alichokiona umekifanya kabla

Kwasababu tayari kilishakuwa fixed
 
Kama ambavyo wewe umeletewa habari za mtume muhammad na ukazipinga ndivyo hali ilivyo na sisi kuhusu Yesu wako
Habari za muhammad ni nyepesi sana ambazo ukizihoji kidogo zinaacha matobo mengi sana ambayo yanapingana na reality.
 
Unathibitishaje hizo habari kuwa ni za kweli na sio propaganda?
Ushahidi ni uwepo wa uhai katika mwili wako na wangu. Ile life force ndani yetu inatuhakikishia ndani yetu beyond the tangible world uwepo wa maisha beyond ulimwengu huu. Ila specifics zake ndio tunazipata katika biblia.
 
The same to yours

Na ndio maana zinakubalika na waumini wa dini yako tu, nje ya mfumo huo habari hizo zina matobo
Hapana, ndani ya biblia huwezi kukuta kitu chochote kinachopingana na scientific discoveries tofauti na kwenye quran.
 
Ninataka tafsiri yako ya ushahidi kwasababu umesema sio lazima uwe perceived
Yes sio lazima uwe percieved with naked eye kwasababu zipo altenatives nyingi za kuthibitisha

Katika mfumo wa milango ya fahamu zipo organ 5

Kitu ambacho kinaweza kuwa detected na ngozi kinaweza kuwa confirmed kama ni ushahidi pia japo hakionekani kwa macho
 
Bila kutumia matamshi au maandishi unaweza kuniambia mawazo yanaexist or not? Kama yanaexist, can you measure and present them in their own form?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…