Kwa hiyo Mungu kajitengenezea adui wa kutunishiana misuli ili ajioneshe kuwa yeye ni mwamba?Ego!!Kumbuka shetani alishawishi 1/3 ya malaika kule mbinguni na wakamfuata,kwake yeye hawezi kwenda kurudi kunyenyekea aache ufalme wake na waasi wenzake
Ila Mungu atamuonyesha kwamba yeye ni Muumba wa yote na vyote
Jambo hilo likifanywa na binadamu tunamuita ni binadamu wa hovyo lakini huko eti ndio umashuhuri sasa kwanini sisi tusiendekeze ubabe kama ndio umashuhuriKwa hiyo Mungu kajitengenezea adui wa kutunishiana misuli ili ajioneshe kuwa yeye ni mwamba?
Anapata faida gani kuhangaika na shetani?
Na kuna kile kitabu ambacho Mungu alimjaribu Abraham kwa kumwambia amtoe Sadaka mwanae..., Duh mimi ningekuwa Isaac ningemuitia mzazi wangu wadau wakampime akili..., pia ningehamia kwenda kulala kwa jirani ili hisia za kujaribiwa zisirudi tena akidhani ni Mungu kumbe ni Shetani...Hivi ķitabu cha Ayubu ndo the book of job? Maana nina bible ya kiingereza, sijawahi kumsoma napitaga tu kumbe kuna mengi yaliendelea? Duh. Afu ni kitabu kidogo sana kukisona basi tu uvivu. Asante
Shetani hajamsaliti mungu, anajua fika Mungu sio level zake, ndio maana amemuomba, shetani yeye yupo against na Binadamu na mission yake ni kumpoteza Binadamu.Kwahio Mungu kampa uhai mpaka siku ya mwisho ili aendelee kusumbua wengine, na wakati anamuumba hakujua / hakufahamu hii tabia yake ya usaliti au ilikuja bahati mbaya
Umepewa Free will duniani na sio baada ya dunia.kwamba njooni kwangu niwape vitu vizuri nendeni pengine niwachome moto, hio ni free will ?
Concept ya Mungu na Sisi binadamu/Jini ni sawa na Game na Developer.kwahio anapenda kuombwa msamaha ? Wewe kama mzazi mwanao akiwa na kiburi asipoomba msamaha unaweza kuamua kumuangamiza kabisa au utaona tu hili toto halina adabu achana nalo maisha yalinyooshe na sio kwamba utalitengea moto wa milele au lifetime punishment !!!, Sasa wewe tu Binadamu weak kama unaweza kufanya hivyo sembuse superior being ndio awe na tabia za kisirani...
Tumia same logic kama ya juu, Rockstar na Gta V online.Freewill kusema binadamu ana uhuru wa kuchagua kufanya jambo lolote bado naiona ina ukakasi.
Katika utawala wa Mungu mjuzi wa yote, aliyejua kila kitu kabla hata hakijatokea, na katika kujua kwake hakutoi chance ya kitu kwenda vinginevyo basi dhana ya free will inabaki kuwa paradox
Katika jicho la kiutu, tunaweza feel some freedon kwenye choices zetu lakini uhalisia ni kwamba tuna experiece illusion
Kwasababu freewill inatakiwa iwe na options nyingi zinazowezekana, sasa Mungu kama aliona leo waziri wa uingereza atajiuzulu maana yake hiyo ishakuwa fixed hakuna option nyingine
Mfano eako nashindwa kuuelewa labda pengine kwasababu siko familiar na mambo ya techTumia same logic kama ya juu, Rockstar na Gta V online.
Kwenye Gta tunaita open world upo free kufanya Chochote, unaweza endesha gari, ukafungua biashara, Ukaua mtu, ukapigana na polisi etc uamuzi ni wako kufanya unachotaka.
Je kuna chochote unaweza fanya kwenye Gta online ambacho developer hakijui? Haupo free kufanya unachotaka?
Mfano mwengine huu kama wa Tech hujaelewa. Wa Hesabu probability.Mfano eako nashindwa kuuelewa labda pengine kwasababu siko familiar na mambo ya tech
Ila nachoweza kusema kupitia hoja ya Mungu kujua ni kuwa
Ili mtu awe na uhuru wa kuchagua basi swala la kuchagua, Mungu hapaswi kujua nini naenda kuchagua
Mungu kujua nini naend kuchagua na kujua kwake ni lazima kutokee hivyo hivyo basi hiyo ni fate mtu ameamuliwa aje apite njia hiyo
Though katika fikra zetu tunaweza hisi tuna experience uhuru lakini kiuhalisia hatukuea na namna nyingine ya kwenda vinginevyo
Trilion of choices is just an illusion kwasababu outcome yake ishajulikana kabla hujachaguaMfano mwengine huu kama wa Tech hujaelewa. Wa Hesabu probability.
Kwenye probability kuna kitu kinaitwa tree diagram
Mfano kwenye picha hapo una choice uchague nyekundu, bluu, kijani ama njano, ila kila rangi utakayochagua Mwenyezi mungu anaijua, una Choice ila kila choice utakayochagua outcome yake Mungu anaijua, sababu Mungu ndio alitengeneza outcome zote hizi, hivyo una matrilioni ya Choice na kila Choice Mungu anajua outcome yake.
Ushahidi ni nini?Nani kakuambia ushahidi lazima uwe perceived na macho?
Mwanadamu anao mwili huu mmoja ila atapewa mwingine pale Yesu atakaporudi mara ya pili.Binadamu ana pea ngapi za miili?
Unaniuliza mimi tena?Ushahidi ni nini?
Habari za muhammad ni nyepesi sana ambazo ukizihoji kidogo zinaacha matobo mengi sana ambayo yanapingana na reality.Kama ambavyo wewe umeletewa habari za mtume muhammad na ukazipinga ndivyo hali ilivyo na sisi kuhusu Yesu wako
Unathibitishaje hizo habari kuwa ni za kweli na sio propaganda?Mwanadamu anao mwili huu mmoja ila atapewa mwingine pale Yesu atakaporudi mara ya pili.
Ninataka tafsiri yako ya ushahidi kwasababu umesema sio lazima uwe perceivedUnaniuliza mimi tena?
The same to yoursHabari za muhammad ni nyepesi sana ambazo ukizihoji kidogo zinaacha matobo mengi sana ambayo yanapingana na reality.
Ushahidi ni uwepo wa uhai katika mwili wako na wangu. Ile life force ndani yetu inatuhakikishia ndani yetu beyond the tangible world uwepo wa maisha beyond ulimwengu huu. Ila specifics zake ndio tunazipata katika biblia.Unathibitishaje hizo habari kuwa ni za kweli na sio propaganda?
Hapana, ndani ya biblia huwezi kukuta kitu chochote kinachopingana na scientific discoveries tofauti na kwenye quran.The same to yours
Na ndio maana zinakubalika na waumini wa dini yako tu, nje ya mfumo huo habari hizo zina matobo
Yes sio lazima uwe percieved with naked eye kwasababu zipo altenatives nyingi za kuthibitishaNinataka tafsiri yako ya ushahidi kwasababu umesema sio lazima uwe perceived
Bila kutumia matamshi au maandishi unaweza kuniambia mawazo yanaexist or not? Kama yanaexist, can you measure and present them in their own form?Kuna sense zaidi ya macho..., harufu unanusa, sauti unasikia, upepo una-ufeel au kuona impact yake (na sio wewe tu wote waliopo pale kwa wakati husika wataona impact na kufeel huo upepo , i.e kuwapuliza) Tofauti na imani wewe unaweza ukaona kiini macho (karata tatu ukadhani hio karata ni nyekundu) kumbe ni trick of the mind wengine hawataona hivyo kama wewe...
Kuona mawazo ni kutokana na zao la mawazo yako ambayo pia tunaweza tukayapima kutokana na proof / known facts at the time....,