Ngoja na wewe nikupe hili swali ili ufahamu uwepo wa reality beyond the five senses.Yes sio lazima uwe percieved with naked eye kwasababu zipo altenatives nyingi za kuthibitisha
Katika mfumo wa milango ya fahamu zipo organ 5
Kitu ambacho kinaweza kuwa detected na ngozi kinaweza kuwa confirmed kama ni ushahidi pia japo hakionekani kwa macho
Shiriki hapa.Kuna uwepo wa kitu na nadharia. Mawazo, hisia ni nadharia zinazohitaji uthibtisho. Harufu sio nadharia ni kitu halisi na unaweza kukithibitisha kwa kukinusa. Mawazo yako ya spirit world ni nadharia katika upande wa imani, huwezi uthibitisha kwenye ulimwengu halisi. Prove me wrong.
Imani sio kuonaUnavyoaminisha watu hapa kama umewahi kuiona vile,upuuzi mtupu.
Kwanini uwepo wa uhai wangu na wako uwe ni uthibitisho wa kitu hicho?Ushahidi ni uwepo wa uhai katika mwili wako na wangu. Ile life force ndani yetu inatuhakikishia ndani yetu beyond the tangible world uwepo wa maisha beyond ulimwengu huu. Ila specifics zake ndio tunazipata katika biblia.
Umewahi kuona kinachotoka kwenye mwili wa mwanadamu mpaka tunaamua kusema amekufa na hivyo tunaenda kuzika?Kwanini uwepo wa uhai wangu na wako uwe ni uthibitisho wa kitu hicho?
Kwanini unatumia mfano wa jambo ambalo lipo kihalisia (mimi na wewe) linalothibitishika kama jaribio la kutaka kuthibitisha kitu kingine (mwili wa pili) ambacho huwezi kukithibitisha chenyewe kama chenyewe?
Nenda kosome Genisis 1:9 ambapo dunia inaelezwa iliumbwa siku ya 3Hapana, ndani ya biblia huwezi kukuta kitu chochote kinachopingana na scientific discoveries tofauti na kwenye quran.
Kinachotokea baada ya nini?Umewahi kuona kinachotoka kwenye mwili wa mwanadamu mpaka tunaamua kusema amekufa na hivyo tunaenda kuzika?
Acha ujinga wewe tafuta hela.Hizo hadithi tu usikomaze shingo kufafanua ujingaNdio aliiweka kwasababu ni mazingira pure
Hapa ndio unatakiwa kuelewa maana ya kuzaliwa mara ya pili. Unakuwa na same spirit kama Yesu hivyo huwezi tena kuasi kwasababu utakuwa na asili ya kiungu.
Yana exist na yana pimika vile vileNgoja na wewe nikupe hili swali ili ufahamu uwepo wa reality beyond the five senses.
Bila kutumia matamshi au maandishi unaweza kuniambia mawazo yanaexist or not? Kama yanaexist, can you measure and present them in their own form
Soma vizuri biblia. Mbingu na nchi ziliumbwa kwenye Mwanzo 1:1. Kutoka mstari huo wa kwanza mpaka mstari wa pili ilipita miaka zaidi ya bilioni 4.5 ndipo tukio la nchi kuwa ukiwa tena utupu likatokea.Nenda kosome Genisis 1:9 ambapo dunia inaelezwa iliumbwa siku ya 3
Biblia inasema the evening and the morning were the dashdash day. Swali lako hapa linaashiria haujasafiri sana. Kuwa jioni au asubuhi sio sawasawa na kuwa na giza na mwanga. Niliwahi kusafiri kwenda nchi za northern hemisphere nikashangaa usiku bado jua linawaka na mchana kuna giza.Kisayansi hiyo imekaaje?
Ikiwa siku hitegemea na rotation ya dunia, tuambie unawezaje kuwa na usiku na mchana pasipo kuwa na dunia?
What is it that left the body for it to be dead? Biblia inatujibu kwamba ni nafsi na roho ambazo huwezi kuziona lakini zipo. Hizo ndio life force ndani yako. Ndio inayotengeneza electrical signals zinazoufanya moyo udunde.Kinachotokea baada ya nini?
Kwa hiyo kama hatuoni hiyo ndio nafasi ya ku penetrate habari za uongo zisizopitia uthibitisho?
Don't limit your life to the bounds of your finite brain.Acha ujinga wewe tafuta hela.Hizo hadithi tu usikomaze shingo kufafanua ujinga
Hicho kipimo kinapima dalili za uwepo wa mawazo na sio mawazo yenyewe.Yana exist na yana pimika vile vile
Ubongo unaofikiria upo tofauti na ubongo ambao umelala
Unafahamu kitu kinaitwa temography scan?
Sasa kupitia hicho kifaa unaweza kupima ukajua ubongo huu una mawazo na ubongo huu hauna
Ibilisi mara baada ya kuasi amri ya Mungu .Aligoma kumsujudia Adam ,kumpa heshima yake kuwa ana elimu kumzidi yeye. Akasema kuwa yeye ni bora kuliko Adam kwakuwa ameumbwa kwa moto na Adam ameumbwa kwa udongo.Hili suala tulijadili kwa Logic..!
Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia.
Okay unaweza kusema kwamba Shetani hajarepent (kuomba msamaha) ndio maana hajapewa msamaha, lakini je inamaanisha Mungu anapenda kuombwa ombwa na kunyenyekewa kiasi kwamba hatoi msamaha mpaka aombwe.
Na Je, Hadithi za Mwana Mpotevu, Je inamaanisha siku Shetani akirudi na kupiga magoti atasamehewa ? Au kuna Muda wa kuomba msamaha ukipita ndio basi.
Au baada ya kukaa Motoni kwa karne kadhaa huenda ukapita msamaha kama wa wafungwa na kila mtu akawa huru na sio hawa tu ambao walijinyima bata huku duniani ?
NB:
Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili ( na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency...!
Kwa mujibu wa imani ya dini ya Kiislam. Mungu anasamehe madhambi yote iwapo kiumbe (mwanadamu au jini) atatubia dhambi zake kabla ya kufa kwake ila akabainisha kuwa dhambi pekee ambayo hawezi kuisamehe mara baada ya kiumbe kufa ni dhambi ya SHIRKI (kumshirikisha MUNGU) katika ibada. Dhambi ya kumfanya Mungu kuwa ana washirika katika ibada zake huwa haina msamaha mara baada ya kiumbe kufa ila ikiwa kiumbe kitatubu dhambi hii ingali hakijafa basi MUNGU anasamehe.Kwahio huyu Mungu Mpenda wote na Msamehe Makosa ambaye ni superior bila weaknesses zozote aliweka hii technicality ya kutokusamehe baadhi ya makosa?
Na huku kitaa hio spirit realm ambayo ni perfect inapatikana wapi ? Kwahio huenda na wewe mtenda mema ukishafika mbinguni baada ya miaka kadhaa ukaamua kujitia ujuaje huenda uka-end up na kina Shetani ? Yaani the Struggle Continues ? (My way or the Highway)!!!!
Nyinyi wa dunia ya tatu, mkifa mnapelekwa kufukiwa na mnasema na mnaingiza imani zenu kama sababu yakufa....Umewahi kuona kinachotoka kwenye mwili wa mwanadamu mpaka tunaamua kusema amekufa na hivyo tunaenda kuzika?
Hawawezi kumaliza tofauti zao, kwa sababu hawapo kiuhalisia, ni wahusika wa hadithi ya kutungwa tu.Hili suala tulijadili kwa Logic!
Iwapo tunaambiwa kusamehe mara sabini mara saba, inakuwaje hawa wasimalize tofauti zao sababu naona hivi vita vyao sisi nyasi tunaumia.
Okay unaweza kusema kwamba Shetani hajarepent (kuomba msamaha) ndio maana hajapewa msamaha, lakini je inamaanisha Mungu anapenda kuombwa ombwa na kunyenyekewa kiasi kwamba hatoi msamaha mpaka aombwe.
Na je, Hadithi za Mwana Mpotevu, Je inamaanisha siku Shetani akirudi na kupiga magoti atasamehewa ? Au kuna Muda wa kuomba msamaha ukipita ndio basi.
Au baada ya kukaa Motoni kwa karne kadhaa huenda ukapita msamaha kama wa wafungwa na kila mtu akawa huru na sio hawa tu ambao walijinyima bata huku duniani?
NB: Kama kuna anayeweza kunielewesha haya logically kwa kanuni za imani yake naomba tujadili (na sio kutumia kanuni za multiplication kwenye paraghraph moja na ya Pili kutumia kanuni za Addition) yaani inconsistency!
Nadhani watu wa wakati ule walikuwa na imani kupitiliza kiasi kwamba hata mungu alikuwa akijiamini kuwa myu fulani hawezi ingia ktk mtego wa shetani.Na kuna kile kitabu ambacho Mungu alimjaribu Abraham kwa kumwambia amtoe Sadaka mwanae..., Duh mimi ningekuwa Isaac ningemuitia mzazi wangu wadau wakampime akili..., pia ningehamia kwenda kulala kwa jirani ili hisia za kujaribiwa zisirudi tena akidhani ni Mungu kumbe ni Shetani...
Sasa najiuliza Mungu hakujua mpaka afanye test ?