Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Hakuna mwanadamu ambaye anapoletewa habari za Kristo na wokovu wake ambaye moyo wake hautaguswa. Ni kwamba watu wanaamua tu kukataa kuupokea wokovu.kwako wewe sawa ila kwa mwingine ambaye hakubaliani na mawazo yako huoni kumchoma moto wa milele ni kumuonea ?