Inamaana uislamu haumtreat mwanamke kama binadamu? unamtreat kama nani?Naomba mama yetu afanye ziara kwenye nchi za kiarabu ili wajifunze kws mfano kuwa mwanamke ni binaadamu kama wengine, wanaakili na busara ya uongozi kuliko wanaume, hii itawakomboa wanawake wa kiarabu wanaodungiwa ndani ,na hawaruhusiwi hata kujumuika kwenye hadhira achilia mbali kuwa kiongozi
Ktk vitabu vya Mungu kuliwahi kuwa na Mtume mwanamke?Mimi siumii, mnaoumia ndio nyie hamtaki Samia awe Rais lakini ndio hivyo tena keshakuwa
Yaani katika hili tu la uongozi wa mwanamke ndio wanataka kuurudia uislamu, ila mengine hawayaoni.Mnapotaka kutumia hizi sheria kwa sababu Samia ni Raisi au mnazipenda sheria hizi ziongoze Maisha yenu
Uislam na hayo mavyama yenu na siasa zenu ni ni mashariki na magharibi
Mnapojadili uraisi wa Samia mjadili kwa Mujibu wa katiba yenu na sio Quran
Tuendelee kugulia athari za vita vya Ukraine.Ila ndio hivyo keshakuwa Rais, na wenye huo Uislamu wanamtambua, tutafanyaje sasa?
Samia ni Mwanamke na ni RaisKtk vitabu vya Mungu kuliwahi kuwa na Mtume mwanamke?
Hivi ktk wanafunzi 12 wa Yesu,
Wangapi walikuwa wanawake?
Hivi wanawake hawakuwepo,au Yesu hakuwaona?
Maswahaba wa mtume Muhammad (SAW )
wangapi walikuwa wanawake?
Usishupaze shingo,,
Mungu ndy anatujuwa zaidi binadamu kuliko tunavyojijuwa Sisi..
♦️ Nenda nchi za kiarabu uone kama mwanamke anaduhusiwaInamaana uislamu haumtreat mwanamke kama binadamu? unamtreat kama nani?
Unatuonesha ni kiasi gani Cha ujinga unaokutawala. Aliyemuumba Samia ameshamuwekea utaratibu,ni juu yake kuufuata au kukataa. Akifuata ni faida kwake akiukataa ni hasara juu yake.Samia ni Mwanamke na ni Rais
Huyo Mungu wenu kama anaweza amzuie
Hata aweje akiacha maandiko ataadhibiwa Kama tu hakutubu dhambi zake kabla ya umautiWaislam wanatofautiana sana kwenye kushika dini. Kuna rafiki yangu Sunni visuruali vifupi lakini kila siku yuko CRDB, NMB, Faidika kutafuta mikopo. Hapa anasubiri ongezeko la mama akatop-up
Uislam ni imani kandamizi....ukihoji vitu visivyo make sense wanakuombea albadir ufe au wanakuua tu.....sijuwi kwanini wenzetu hawapendi ukweliKama ndo hivyo.... hiyo ni imani Kandamizi!
Hawa wasijekuwa walivuruga mtazamo wa Professa!He was a visiting scholar in Islamic studies at the University of Leipzig, Institute of Oriental Studies in Germany, Bayreuth University in Germany, and in Northwest College in Wyoming through the Fulbright Visiting Scholar Program
huo ni uwongoSwali la uelewa,
Kwa nini mama wa kiislamu kuwa rais ni kukiuka mafunzo ya Mtume Muhamadi?
Huu ni uelewa tu, kwa hiyo tujengeane uwezo bila jazba wala kashfa
c.c FaizaFoxy
Vipi kuhusu Bangladesh? Huyu Sheikh Hasina ni waziri mkuu huko....Hakuna really Muslim's country kiongozi wa juu ni jinsia ya kike....
Kwa hiyo saiv waislam mpo njia panda. Au mmeamua kuiweka quruan pembeni mle kwa urefu wa kamba.Sio kukiuka nguzo za uislamu,siku nyingine kabla haujazungumzia jambo jaribu kufanya utafiti angalau kidogo Ili ujue unachokizungumzia ni kitu Gani.
Nikienda kwenye hoja ya msingi ,Kwa taratibu za kimafundisho ya kiislamu mwanamke anatakiwa atulizane nyumbani kwake,na uislamu hautambui nafasi ya uongozi Kwa mwanamke kwa nafasi yoyote Ile sio tu urais bali hata mwenyekiti wa mtaa. Uislamu unawataka wanaume wawe wasimamizi wa wanawake.
Wewe ulitaka tufanye nini? Na kwanini tuwe njia panda? Kwani unadhani Kwa madhara ya kuwa na kiongozi mwanamke yakitokea yatawakumba waislamu peke Yao?Kwa hiyo saiv waislam mpo njia panda. Au mmeamua kuiweka quruan pembeni mle kwa urefu wa kamba.
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Sioni tofauti yeyote unayotaka niione.Kuna nchi ya kiislamu halafu Kuna dola ya kiislamu. Sio Kila nchi ya kiislamu inafuata kanuni kikamilifu, that's why ukifuatilia hao jamaa Wana katiba Yao waliyoiandika Kwa mikono Yao.
Ukija kwenye dola ya kiislamu ni full package, katiba Yao ni Quran na sunna. Kama ilivyo Saudi Arabia na hautakuta vitu vya ajabu ajabu namna hii.
Mwanamke anaanzaje kupaza sauti mbele ya wanaume huko saudia?
Hata uandike insha ngapi huwezi kunishawishi. Tunaelewana?Bangladesh ni inchi yenye waislam wengi,
Lakini sio inchi ya kiislam.
89% ni Muslim's.
10% Hindu na Christians.
Wanafuata Sheria za British kama makolon mengine ya British.
Wanafata Sharia za kiislam kwenye Mambo ya kijamii.
Mfano
Ndoa,
Mirathi,
Kuzikana kidini nk.
Lakini serikali haifati Sharia ya dini ya kiislam sababu kuna madhehebu mengine ndani ya Bangladesh.
Bangladesh, Pakistan zote zilikuwapo ndani ya India zamani,
Hivyo basi wana tamaduni zinazofanana ,,
za kutawaliwa na mwanamke kuanzia ndoa zao nk.
Jifunzeni kujuwa tofauti ya inchi yenye waislam wengi na inchi ya kiislam..
Duniani India ndy inchi yenye waislam wengi kuliko wote dunia na still ni Hindu country.
Mwanamke hawezi kuwa SHEHE hata ajuwe dini kwa kiasi gani..
Hakuna really Muslim's country kiongozi mwanamke.
Shehe maana yake ni KIONGOZI,au MKUU.
Hawakumaanisha mwanamke.s
Macho ninayo, tena yanaona vizuri kabisa.Hauna macho ya kuona hiyo tofauti,utaonaje sasa?
Unauthibitisho wa haya unayoyasema?Uislam ni imani kandamizi....ukihoji vitu visivyo make sense wanakuombea albadir ufe au wanakuua tu.....sijuwi kwanini wenzetu hawapendi ukweli