safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Lipi lipo kwenye Qurani ?hizo zinapatikana kwenye nguzo za Iman ambapo mojawapo ni kuamini Quran na yote hayo yamo kwenye Quran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipi lipo kwenye Qurani ?hizo zinapatikana kwenye nguzo za Iman ambapo mojawapo ni kuamini Quran na yote hayo yamo kwenye Quran
Hakuna makatazo ya Mungu yenye ukakasi,ukiona kuna ukakasi tu basi ujue hayo ni makatazo yenye mkono wa mwanadamu kwa maslahi yake binafsi.Rejea kwenye makatazo ya Mungu,,
Na sio utashi wa kibinadamu..
rudia kusoma vizuri kuendelea kuwa na utawala wa kifalme sio kwenda kinyume na uislam kwa sababu haukatazi hiloKwa Saudia pamoja na kuwa ni nchi ya kiislamu umesema wameathirika na tamaduni zao za utawala wa kifalme(that means wameenda kinyume na Sheria za kiislamu), hivyo wanakosea.
Kwanini nyie wasukuma mnakua hivi lakiniHuyo anajichanganya
Hapo kwenye nguzo 5 umeona kuna kuua? Kuiba? Kuzini? Je hivyo vinaruhusiwa kwenye uislamu?
Hiyo mjinga anajua kila kilichokatazwa kwenye uislamu kinatakiwa kiwe nguzo
Kwani nyie wasukuma hamna majibu???Sasa ndg zetu Kama ndo hivyo kuna Katazo La Namna hiyo..... nini kifanyike? Semeni Wenyewe Waislamu.
Tuyatoe wapi majibu ndg yangu wakati Makatazo yanaanzia huko huko kwenu uisilamuni...!Kwani nyie wasukuma hamna majibu???
Kwahyo ukakasi wa mwanamke kuongoza wanaume ni utashi wa binadamu?Hakuna makatazo ya Mungu yenye ukakasi,ukiona kuna ukakasi tu basi ujue hayo ni makatazo yenye mkono wa mwanadamu kwa maslahi yake binafsi.
Uislamu sio ukristo,hakuna nguzo katika nguzo za uislamu inasema mwanamke hatakiwi kuongozanimeuliza swali,au huoni alama za ulizo?
Nyie wasukuma hamuwezi kukosa majibuTuyatoe wapi majibu ndg yangu wakati Makatazo yanaanzia huko huko kwenu uisilamuni...!
Sibishani na sina haja ya kujifunza kutoka kwako.Kumbe unabishana?
Nilidhani ulitaka kujifunza
Si mumshauri akae pembeni. Au 2025 asigombeeWewe ulitaka tufanye nini? Na kwanini tuwe njia panda? Kwani unadhani Kwa madhara ya kuwa na kiongozi mwanamke yakitokea yatawakumba waislamu peke Yao?
Au unataka kuniambia dini yako inafundisha nini juu ya kuwafanya wanawake kuwa viongozi?
Dini inayobadilikabadilika ni dini yenu nyie wakristo na sio uislamuKiukweli hizi dini vitabu vyake vyapaswa kubadislishwa viendane na wakati halisi tuliopo..
Hao wazee hawakua na smartphone wanawezaje kutupangia namna ya kuishi kipindi hiki cha technology na utandawazi.
Wao walikua na punda na ngamia..sasahivi tuna electrical cars na mibombadia..halafu tuendelee kuamini upuuzi wa primitives.
#MaendeleoHayanaChama
Muone huyu msukuma
Si kweli mkuu, Zipo nchi nyingi duniani ambazo waisilamu ni majority na zimekuwa na Viongozi wanawake, Pakitani, Bangladesh, Indonesia etc.Sio kukiuka nguzo za uislamu,siku nyingine kabla haujazungumzia jambo jaribu kufanya utafiti angalau kidogo Ili ujue unachokizungumzia ni kitu Gani.
Nikienda kwenye hoja ya msingi ,Kwa taratibu za kimafundisho ya kiislamu mwanamke anatakiwa atulizane nyumbani kwake,na uislamu hautambui nafasi ya uongozi Kwa mwanamke kwa nafasi yoyote Ile sio tu urais bali hata mwenyekiti wa mtaa. Uislamu unawataka wanaume wawe wasimamizi wa wanawake.
Akili yangu sio sawa na jina langu la avatar kabisaa. Umekosea.Akili yako Sawa na jina lako la avatar.
Na kuongeza mke wa piliUnamaanisha kula kitimoto, kuzini, kuiba na kuua ni ruksa kwenye uislamu sababu havipo kwenye hizo nguzo 5??
Soma dini yako mkuu,unazungumza vitu pumba Sana na havina ushahidiSi kweli mkuu, Zipo nchi nyingi duniani ambazo waisilamu ni majority na zimekuwa na Viongozi wanawake, Pakitani, Bangladesh, Indonesia etc.
Kifupi mkuu Nchi za waisilamu zina Viongozi wengi wanawake kuliko ambazo sio za kiisilamu.
Na Mwanamke Anaweza kuwa kiongozi mfano Umar (R. A) Khalifa wa pili wa uisilamu alimteua mwanamke kuwa kiongozi wa Soko.
Role ambazo mwanamke amekatazwa kwenye Uisilamu ni
1. Jaji mkuu
2. Kiongozi wa Majeshi.
Hekima hapo mwanamke ana Emotion na Huruma sana pia ni Physical weak hivyo ngumu kuhandle hizo role kwa Haki.
Kila ushauri anaopewa mimi na wewe lazima tujue?