kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
Sawa na endelea kuumia juu ya hiloWanachuoni wa Kiislamu wapi hao? Mimi nakuambia nchi ya Kiislamu inavyotambuliwa na watu wote, Tanzania sio nchi ya Kiislamu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa na endelea kuumia juu ya hiloWanachuoni wa Kiislamu wapi hao? Mimi nakuambia nchi ya Kiislamu inavyotambuliwa na watu wote, Tanzania sio nchi ya Kiislamu,
Msyuka huyoView attachment 2220702
huyu ni wewe?
Natamani ni comment [emoji24][emoji26] ila acha nikae kimya tu.Kitu chochote ambacho dini ya Islam imekataza,,
Hilo ni katazo la Mungu.
Na chochote Mungu alichokataza kwa wanadamu, [emoji817]% kina madhara kwa binadamu au jamii husika.
Mfano,
_zinaa.
_Pombe.
_kusema uongo.
_Kula riba.
_Mwanamke kuongoza wanaume.
--mwanamke kuonyesha maungo ya mwili wake.NK.
Hilo ni katazo la Mungu.
Kwa kibinadamu hilo la mwanamke kuongoza wanaume linafanyika dunia lakini si kwa inchi za kiislam..
Hata kuna maandiko yanasema kwamba mwanamke ni dhaifu..
Hata mgawanyo wa Mali ktk dini ya kiislam,
mirathi mwanamke hupata 1/4 ya Mali atakayopata mwanaume .
Kama Baba alikuwa na watoto 2,
Na aliacha 100,000/ bank,
Basi mwanamke atapewa 25,000/Tu.
Kilichobaki 75,000/ atapewa mwanaume.
Maneno ya mwanamke haya,mwandiko unajieleza.Dini kandamizi, waarabu hao waasisi wa utumwa, hivyo sioni ajabu mwanamke kuwa mtumwa wa mume wake
Hivi ndivyo ambavyo huwa unafanya conclusion ya kujua jambo fulani limeruhusiwa au halijaruhusiwa katika dini?sasa kama wao nchi inayofata sheria za kiislam linitaka kujadili inamana hili la mwanamke kuongoza sio katazo hasa la kidini...
[emoji23]View attachment 2220702
huyu ni wewe?
basi ajijibu mwenyewe swali lake,ameshindwa nini kuweka picha yake akaweka Msyuka,amemfanyia nini anamtukuzaMsyuka huyo
Mwanamke anaruhusiwa kuwa kiongozi ila sio wa wanaume.Unaweza kunipa aya ya Quran ambayo inakataza mwanamke kuwa kiongozi?
Wewe unayesema haruhusiwi ndio unatakiwa uthibitisheMwanamke anaruhusiwa kuwa kiongozi ila sio wa wanaume.
Hebu lete aya inayomruhusu mwanamke kuwa kiongozi wa wanaume?
Mimi siumii, mnaoumia ndio nyie hamtaki Samia awe Rais lakini ndio hivyo tena keshakuwaSawa na endelea kuumia juu ya hilo
Hilo ni jambo jingineMimi siumii, mnaoumia ndio nyie hamtaki Samia awe Rais lakini ndio hivyo tena keshakuwa
kiukweli wanaume tusidanganyane hatujazoea kuongozwa na mwanamke hata wasaidizi wake wengi wanaongozwa na kumsifia kinafiki tu nafsi zao ziko mbali sana na jinsi walivyo!Mwanamke anaweza kuwa kiongozi Kwa wanawake wenzie lakini Sio kwenye mchanganyiko baina ya wanawake na wanaume
Wanaume ni viongozi wa wanawake.Wewe unayesema haruhusiwi ndio unatakiwa uthibitishe
Ila ndio hivyo keshakuwa Rais, na wenye huo Uislamu wanamtambua, tutafanyaje sasa?Wanaume ni viongozi wa wanawake.
"Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi......"(Quran 4:34)
Sisi tunaendelea kushikamana na uislamu wetu, na kuisema haki, na wala hatudhuru yule atakeye tukhalifu.Ila ndio hivyo keshakuwa Rais, na wenye huo Uislamu wanamtambua, tutafanyaje sasa?
Nyie shikeni Uislamu wenu, sisi tunashikamana na Rais wetuSisi tunaendelea kushikamana na uislamu wetu, na kuisema haki, na wala hatudhuru yule atakeye tukhalifu.
[emoji3]sawa.Nyie shikeni Uislamu wenu, sisi tunashikamana na Rais wetu
Akili A kijinga sana hizi utadhani kilichoandikwa umekifanyia uchunguzi unaona uonyeshe Uchi wa Akili yakoHizi dini ni majanga matupu..zilipaswa vitabu vyake. Vifungiwe museums au vifundishwe kama historia sio kuaminishana.
#MaendeleoHayanaChama