Jamii gani hio?,mbona ukiweka hivo vigezo ndio unaonekana kweli upon serious,......ama?Habari wadau
Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa, na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa
Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira. Jamii inamshangaa Mwanaume Anaonekana hana maturity.
Kwa nini Mwanaume anaeweka bikira kama kigezo cha mchumba wa kuoa Anaonekana mshamba na mbaguzi?
Ni kwa sababu bikea ya mwanamme Haina kipimo .Habari wadau
Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa, na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa
Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira. Jamii inamshangaa Mwanaume Anaonekana hana maturity.
Kwa nini Mwanaume anaeweka bikira kama kigezo cha mchumba wa kuoa Anaonekana mshamba na mbaguzi?
Nimelelewa ila nimeongelea hali ya sasahivi, siyo assumption za watu kufutika duniani, jambo ambalo halipoHivi umeelewa hata hoja yangu kweli, hebu tuassume hiki kizazi chote kimefutika kikaanza kingine, ambacho wanaume wote ni mabikira na wanawake wote ni mabikira
Halafu wanawake wote wakasema waweke ngumu watunze bikira zao hadi ndoa, yani mwanaume ukitaka tendo ni hadi uoe na unakuta mwanamke kuolewa ni hadi amalize kusoma, na mwanaume naye kuoa ni hadi amalize kusoma na apate shughuli yoyote ya kumuingizia kipato
Je wanaume mtakubali hili na mtakuwa tayari kuvumilia, bila kutafuta namna nyingine yoyote ya kuwashawishi wanawake, ili mfaye nao ngono au hata kuwabaka kabisa wewe unaona linawezekana hilo
Sasa kwa akili yako unaona bikira waliopo inalingana na idadi ya wanaume wanaotaka mabikira, maana sasa hivi kila mwanaume anajifanya anataka bikira ilihali bikira zenyewe ni za kusaka kwa tochi, labda kama mtakubali ndoa za mwanamke mmoja wanaume wengi hilo ndio litawezekana
We nitakutumia vocha soonMwanamke akiwa bikra aweke vigezo vya mwanaume anayemtaka..... mwanaume ukiwa na Mali weka vigezo vya mwanamke unayemtaka
Umeongea point sanaWe nitakutumia vocha soon
Dunia ya kibepari boss vigezo viendane na thamani mwanamke akitaka handsome mwenye pesa, nyumba na magari na yy pia akiambiwa awe na tAcAlL, bikra, sura na awe wife matirio asillalamike😁We nitakutumia vocha soon
Ni usherani tu uliotawala inapaswa mume aoe bikra full stopHabari wadau
Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa, na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa
Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira. Jamii inamshangaa Mwanaume Anaonekana hana maturity.
Kwa nini Mwanaume anaeweka bikira kama kigezo cha mchumba wa kuoa Anaonekana mshamba na mbaguzi?
Kama hana bikra basi awe wife material, mweupe, tako liwepo, pia asiwe njaa njaa atatufilisi, nasisi tuwawekee vigezo maana siyo kila siku wao tu.Labda bikira ni chache hau hazipo kabisa kwa wanaoitaji kuolewa ukilinganisha na wanaume wenye kazi na pesa
Asante sana kunialika hapa
Pamoja MrAsante sana kunialika hapa
Sasa ww hapo utapata tabu sana kupata mwanamke mwenye hizo sifa zoteKama hana bikra basi awe wife material, mweupe, tako liwepo, pia asiwe njaa njaa atatufilisi, nasisi tuwawekee vigezo maana siyo kila siku wao tu.
Sababu kubwa ni kampeni za ferminism. Kupitia kampeni hizi wanawake wamejipandisha thamani kwa vigezo vya kipumbavu huku wanaume wamejishusha thamani wakiwa na vigezo vya maana kabisa.Habari wadau
Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa, na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa
Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira. Jamii inamshangaa Mwanaume Anaonekana hana maturity.
Kwa nini Mwanaume anaeweka bikira kama kigezo cha mchumba wa kuoa Anaonekana mshamba na mbaguzi?
Mimalaya siitaki aiseeSasa ww hapo utapata tabu sana kupata mwanamke mwenye hizo sifa zote
Wana kisingizo chao hicho eti mapenzi hayana muongozo, wajinga sana hawa. Mwanaume ukiona unalazimika kutumia nguvu kuitetea au kuificha past ya mkeo jua tu umekosea kuoa.Wanaomponda ni wale ambao wameoa wanawake waliokwisha tumika, ni kama wanajifariji tu. Utaowaje mwanake keshakojolowa na watu kibao we ndio unaowa.
Sio kweli kabisa, mimi mpenzi wangu nilienae nilimkuta akiwa bikira na tayari mtu mzima yupo 20+, nina kaka aliniambia mkewe alimkuta bikira, kwaiyo kusema kwamba kupata mwanamke bikira ni kigezo ambacho hakina uhalisia huo ni uongo.Ni kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa
Kila upande ukiiweka msimamo na kuusimamia inawezekana kabisa. Mwanamke akikataa kurubunika mpaka aolewe na mwanaume akitakiwa kusubiri mpaka aoe inawezekana kabisa.Hivi umeelewa hata hoja yangu kweli, hebu tuassume hiki kizazi chote kimefutika kikaanza kingine, ambacho wanaume wote ni mabikira na wanawake wote ni mabikira
Halafu wanawake wote wakasema waweke ngumu watunze bikira zao hadi ndoa, yani mwanaume ukitaka tendo ni hadi uoe na unakuta mwanamke kuolewa ni hadi amalize kusoma, na mwanaume naye kuoa ni hadi amalize kusoma na apate shughuli yoyote ya kumuingizia kipato
Je wanaume mtakubali hili na mtakuwa tayari kuvumilia, bila kutafuta namna nyingine yoyote ya kuwashawishi wanawake, ili mfaye nao ngono au hata kuwabaka kabisa wewe unaona linawezekana hilo