Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Ni kwa sababu hakuna mwanamke bikra kwa miaka hii, ukiona mwanmke bikra ujue ana matatizo ya kiafya tangia amezaliwa
Bikra wapo ninavyoamini utaoa na kuolewa na wale ambao wapo kwenye cycle yako na wana tabia kama zako hata kama utazificha. Mungu hukupa unachostahili hakupi unachotaka.

Ninawajua watu kadhaa waliooa bikra ila ukifuatilia historia zao ni wachamungu wamekuzwa kiimani na hata wake zao ni wale waliokulia katika mazingira ya kidini.

N.b
Mimi ni muislamu hivyo ninaowaongelea hapo ni waislamu pia.
 
Bikra wapo ninavyoamini utaoa na kuolewa na wale ambao wapo kwenye cycle yako na wana tabia kama zako hata kama utazificha. Mungu hukupa unachostahili hakupi unachotaka.

Ninawajua watu kadhaa waliooa bikra ila ukifuatilia historia zao ni wachamungu wamekuzwa kiimani na hata wake zao ni wale waliokulia katika mazingira ya kidini.

N.b
Mimi ni muislamu hivyo ninaowaongelea hapo ni waislamu pia.
Point nzuri kunywa juisi. Nataka Malaya wote wasome hizo points mbili, waache kushupata shingo.
 
Mnavyoshupaa kutujadili 24/7, mngejikita kwenye kutafuta hela mngekuwa mbali,

Asie na bikira ni malaya maana yake hata mama zenu ni malaya tena waliokubuhu
 
Wanawake wapenda mali wanapondwa sana mbona

Bikra haina thamani yeyote, ni kipozauongo.

Yaani kwa vile umepata njia ya kujua mwanamke hajafanya ngono, basi inakuwa rahisi zaidi kuamini hatochepuka.

Ni kama kuweka dukani mtu ambaye hajawahi kuuza biashara yeyote, na usimfuatilie kabisa ukiamini hawezi kuiba
Kabisa, Dogo langu la damu lilioa Ke bikra baada ya kulizalisha Watoto wawili tu tayari limeshakuwa jamvi la wageni, mi mwenyewe huwa nalikwepa sana. Bikra haidumu milele na haihusiani kabisa na Ke kuwa Mke mwema hata kwa 0.0001%.

A virgin is an overrated value to real Men.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kama hana bikra basi awe wife material, mweupe, tako liwepo, pia asiwe njaa njaa atatufilisi, nasisi tuwawekee vigezo maana siyo kila siku wao tu.
Tangu kuumbwa kwa dunia sijawahi kuzuzuka kubabaishwa kabisa na Ke Cheupe kihisia ila Black Ladies eeeh...🙌
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hivi umeelewa hata hoja yangu kweli, hebu tuassume hiki kizazi chote kimefutika kikaanza kingine, ambacho wanaume wote ni mabikira na wanawake wote ni mabikira

Halafu wanawake wote wakasema waweke ngumu watunze bikira zao hadi ndoa, yani mwanaume ukitaka tendo ni hadi uoe na unakuta mwanamke kuolewa ni hadi amalize kusoma, na mwanaume naye kuoa ni hadi amalize kusoma na apate shughuli yoyote ya kumuingizia kipato

Je wanaume mtakubali hili na mtakuwa tayari kuvumilia, bila kutafuta namna nyingine yoyote ya kuwashawishi wanawake, ili mfaye nao ngono au hata kuwabaka kabisa wewe unaona linawezekana hilo
Una assume kitu ambacho hakiwezi kutokea
 
Kabisa, Dogo langu la damu lilioa Ke bikra baada ya kulizalisha Watoto wawili tu tayari limeshakuwa jamvi la wageni, mi mwenyewe huwa nalikwepa sana. Bikra haidumu milele na haihusiani kabisa na Ke kuwa Mke mwema hata kwa 0.0001%.

Virgin is an overrated value to real Men.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
By which standards umetumia kum rate "REAL MAN" kwamba waliooa bikra si real men na real men ndiyo waliooa wale ambao si bikra? Kwamba tukirudi miaka 200 nyuma kulikuwa hakuna real men kwa sababu asilimia kubwa walioa bikra na ilikuwa kawaida sana kuoa bikra maana utandawazi ulikuwa zero na watu waliishi in "closed communities" so kujuana ilikuwa rahisi mno kingine walioa mapema kuliko hivi sasa.

Mkuu mawazo yako si sheria yatabaki kuwa mawazo tu so usitumie insecurities zako kuwa undermine wanaume wengine kwamba wanaotaka bikra si "real men" wewe kama umeoa ambaye si bikra ni wewe na maamuzi yako wacha pia ambao wanataka bikra wapate bikra zao.

Bali bikra si kigezo cha tabia njema ila daima mwanamke atawakumbuka wanaume watatu maishani mwake.

1. Aliyemvunja bikra
2. Aliyemzalisha kwa mara ya kwanza
3. Aliyemkojoza(squirting) mara nyingi

N.B
NDOA IKIJENGWA KATIKA MISINGI YA KIIMANI BASI ITAPITIA MAPITO MENGI LAKINI ITADUMU MILELE .
 
Ni kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa

Sasa wanaume mkiambiwa nanyi mkubali kujitunza hadi ndoa hamtaki mnaleta visingizio vya kipuuzi eti nature, matokeo yake hata wanawake wakisema wakatae mtaendelea kuwashawishi tu, kumbuka nao ni binadamu siyo malaika kwahiyo mwisho wa siku msianze kulialia kwamba wanawake hawajitunzi ilihali nanyi hamko tayari

Lakini tukija kwenye kigezo cha pesa hicho kina uhalisia, kwa sababu mwanaume anapimwa kwa uwezo wake wa kubeba jukumu lake la kutunza na kuhudumia familia na hilo ndilo jukumu kubwa la mwanaume, sasa mwanaume usipokuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato huko ndoani unataka uende kufanya nini
Pointless
 
Nimelelewa ila nimeongelea hali ya sasahivi, siyo assumption za watu kufutika duniani, jambo ambalo halipo
Sasa wewe huoni kama hiyo assumption inareflect hali halisi, popote unapoona kuna mwanamke bikira basi jua kuna mwanaume bikira pia, wanaume msipokuwa tayari kujitunza bikira wanawake wazipate wapi
Siyo kila mwanaume ana hayo matakwa
Ni kwa sababu wanaume wameshakata tamaa na kuamua kukubaliana na uhalisia, kwamba siku hizi bikira hazipo kwa wanawake walio tayari kuolewa, lakini kila mwanaume ndani ya nafsi yake anatamani kuoa mwanamke mwenye bikira
 
Ni kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa

Sasa wanaume mkiambiwa nanyi mkubali kujitunza hadi ndoa hamtaki mnaleta visingizio vya kipuuzi eti nature, matokeo yake hata wanawake wakisema wakatae mtaendelea kuwashawishi tu, kumbuka nao ni binadamu siyo malaika kwahiyo mwisho wa siku msianze kulialia kwamba wanawake hawajitunzi ilihali nanyi hamko tayari

Lakini tukija kwenye kigezo cha pesa hicho kina uhalisia, kwa sababu mwanaume anapimwa kwa uwezo wake wa kubeba jukumu lake la kutunza na kuhudumia familia na hilo ndilo jukumu kubwa la mwanaume, sasa mwanaume usipokuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato huko ndoani unataka uende kufanya nini
Kujitunza maana yake ni kuruka hivyo vihunzi na kukataa ushawishi.
Ubanduliwe afu umlaumu mbanduaji kua ni mshawisi na sio wewe no legelege na umeshindwa kusimamia msimamo wako..

Hii point yako haina mashiko kabisa.
 
Back
Top Bottom