Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Kwanini Mwanaume akiweka bikira kigezo cha kuoa anapondwa, ila Mwanamke akisema anataka mchumba awe na kazi nzuri, pesa hapondwi?

Habari wadau

Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa, na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa

Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira. Jamii inamshangaa Mwanaume Anaonekana hana maturity.

Kwa nini Mwanaume anaeweka bikira kama kigezo cha mchumba wa kuoa Anaonekana mshamba na mbaguzi?
Mmoja demand yake ni nature
Mwingine ni artificial, kama huna akili hutaweza kutofautisha.
 
Mwanamke yeyote hua anaolewa na mwanaume toleo la tatu

Toleo la kwanzw mtoa bikraa huyu sio muaji kabisa ila ndo kuna true love kutoka kwa mwanamke kumuacha sio rahisi labda kifo...

Toleo la pili huyu ni yule anaye mpeleka mjini mwanamke yaani kumtoa ushamba wa mapenz na kuumpa vibe hapa wengi hua wanafirwa sana cos toleo la pili hua ni makatili sana tena asipokua makini anaweza akawa single Maza hapa mwanamke anaachiwa makovu ya mapenz na kumfanya awe Makin sana........

Toleo la tatu ndo la ndoa huku mwanamke anatafuta pakupumzikia apate pumziko la milele mara nyingi wanatafuta wale wanaume maboya ambayo wataweza kuyaendesha kwenye pumziko la milele........
Dah! hoja umezimwaga kikatili sana mkuu, ila kweli tupu
 
Wanaume wenye hela na kazi nzuri wapo kwa umri huo wa kuoa ila upande wa pili ni nanhii yaani....nitarudi
 
Ni kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa

Sasa wanaume mkiambiwa nanyi mkubali kujitunza hadi ndoa hamtaki mnaleta visingizio vya kipuuzi eti nature, matokeo yake hata wanawake wakisema wakatae mtaendelea kuwashawishi tu, kumbuka nao ni binadamu siyo malaika kwahiyo mwisho wa siku msianze kulialia kwamba wanawake hawajitunzi ilihali nanyi hamko tayari

Lakini tukija kwenye kigezo cha pesa hicho kina uhalisia, kwa sababu mwanaume anapimwa kwa uwezo wake wa kubeba jukumu lake la kutunza na kuhudumia familia na hilo ndilo jukumu kubwa la mwanaume, sasa mwanaume usipokuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato huko ndoani unataka uende kufanya nini
Uchumi na bikira ni mifano ambayo haindani hata kidogo.

Mabinti Bikira wapo wengi sana. Mwanamme ambaye yupo tiyari kuoa hawezi kosa binti bikira.

Wapo mabinti safi kabisa, wamejitunza wako tiyari kutunza familia.

Tatizo la nyie wanawake ambao mshaharibika kwakushindwa kujitunza, mnaona kila mwanamke ni mbovu kama nyie.

Pili mnatulazimisha sisi wanaume tuwavumilie na kuwachukua hivyo hivyo na ubovu wenu.

Ni mwanamme mpumbavu anayeweza kubaliana na huo ujinga wenu.

Na hasiri ilivyo kiboko, simp yeyote atakayekubali kumchukua mwanamke aliyepotea, ndoa au mahusiano yao huwa hayadumu na Huwa hawafiki mbali.
 
Sasa kwa akili yako unaona bikira waliopo inalingana na idadi ya wanaume wanaotaka mabikira, maana sasa hivi kila mwanaume anajifanya anataka bikira ilihali bikira zenyewe ni za kusaka kwa tochi, labda kama mtakubali ndoa za mwanamke mmoja wanaume wengi hilo ndio litawezekana
Bikira za kutosheleza idadi ya wenye uhitaji wa kuoa zipo, ni suala la mwanume kufanya vetting tu
 
Mwanamke yeyote hua anaolewa na mwanaume toleo la tatu

Toleo la kwanzw mtoa bikraa huyu sio muaji kabisa ila ndo kuna true love kutoka kwa mwanamke kumuacha sio rahisi labda kifo...

Toleo la pili huyu ni yule anaye mpeleka mjini mwanamke yaani kumtoa ushamba wa mapenz na kuumpa vibe hapa wengi hua wanafirwa sana cos toleo la pili hua ni makatili sana tena asipokua makini anaweza akawa single Maza hapa mwanamke anaachiwa makovu ya mapenz na kumfanya awe Makin sana........

Toleo la tatu ndo la ndoa huku mwanamke anatafuta pakupumzikia apate pumziko la milele mara nyingi wanatafuta wale wanaume maboya ambayo wataweza kuyaendesha kwenye pumziko la milele........
Nimeupenda huu ujumbe, naomba ruhusa yako niuongezee nyama kidogo niuandikie thread
 
Wanawake wapenda mali wanapondwa sana mbona

Bikra haina thamani yeyote, ni kipozauongo.

Yaani kwa vile umepata njia ya kujua mwanamke hajafanya ngono, basi inakuwa rahisi zaidi kuamini hatochepuka.

Ni kama kuweka dukani mtu ambaye hajawahi kuuza biashara yeyote, na usimfuatilie kabisa ukiamini hawezi kuiba
Exception ipo kwenye kila kitu lakini uwezekano wa mwanamke uliemkuta bikira kutulia au kuwa na maadili mazuri ni mkubwa sana ukilinganisha na mwanamke mapepe uliemuokota mtaani
 
Mwanamke yeyote hua anaolewa na mwanaume toleo la tatu

Toleo la kwanzw mtoa bikraa huyu sio muaji kabisa ila ndo kuna true love kutoka kwa mwanamke kumuacha sio rahisi labda kifo...

Toleo la pili huyu ni yule anaye mpeleka mjini mwanamke yaani kumtoa ushamba wa mapenz na kuumpa vibe hapa wengi hua wanafirwa sana cos toleo la pili hua ni makatili sana tena asipokua makini anaweza akawa single Maza hapa mwanamke anaachiwa makovu ya mapenz na kumfanya awe Makin sana........

Toleo la tatu ndo la ndoa huku mwanamke anatafuta pakupumzikia apate pumziko la milele mara nyingi wanatafuta wale wanaume maboya ambayo wataweza kuyaendesha kwenye pumziko la milele........
Ukikubali kuwa toleo la 3 Umeisha mzee.
 
Ni kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa

Sasa wanaume mkiambiwa nanyi mkubali kujitunza hadi ndoa hamtaki mnaleta visingizio vya kipuuzi eti nature, matokeo yake hata wanawake wakisema wakatae mtaendelea kuwashawishi tu, kumbuka nao ni binadamu siyo malaika kwahiyo mwisho wa siku msianze kulialia kwamba wanawake hawajitunzi ilihali nanyi hamko tayari

Lakini tukija kwenye kigezo cha pesa hicho kina uhalisia, kwa sababu mwanaume anapimwa kwa uwezo wake wa kubeba jukumu lake la kutunza na kuhudumia familia na hilo ndilo jukumu kubwa la mwanaume, sasa mwanaume usipokuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato huko ndoani unataka uende kufanya nini
😂😂😂
 
Ni kwa sababu hakuna mwanamke bikra kwa miaka hii, ukiona mwanmke bikra ujue ana matatizo ya kiafya tangia amezaliwa
Si kweli.
Ukweli ni kwamba wasio mabikra ni cheap na low value. Ukimuoa usije sema mtoto si wako.
Walio mabikra ni valuable na wameonyesha nidhamu ya hali ya juu. Mabikra wanaotoka katika familia zinazomheshimu Mungu ndo wanawake bora kuliko wote duniani.
 
Back
Top Bottom