Hivi umeelewa hata hoja yangu kweli, hebu tuassume hiki kizazi chote kimefutika kikaanza kingine, ambacho wanaume wote ni mabikira na wanawake wote ni mabikira
Halafu wanawake wote wakasema waweke ngumu watunze bikira zao hadi ndoa, yani mwanaume ukitaka tendo ni hadi uoe na unakuta mwanamke kuolewa ni hadi amalize kusoma, na mwanaume naye kuoa ni hadi amalize kusoma na apate shughuli yoyote ya kumuingizia kipato
Je wanaume mtakubali hili na mtakuwa tayari kuvumilia, bila kutafuta namna nyingine yoyote ya kuwashawishi wanawake, ili mfaye nao ngono au hata kuwabaka kabisa wewe unaona linawezekana hilo