let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
ONGEZA SAUTI,UKO NYUMA KUNA WENGINE HAWASIKII.Wanaomponda ni wale ambao wameoa wanawake waliokwisha tumika, ni kama wanajifariji tu. Utaowaje mwanake keshakojolowa na watu kibao we ndio unaowa.
Mmoja demand yake ni natureHabari wadau
Kwenye swala la kuoa. Jamii inataka mwanaume awe na kazi, pesa, na wengine nyumba na hata gari awe nayo. Kabla hajaoa
Lakini mwanaume akisema anataka kuoa mwanamke ambaye ni bikira. Jamii inamshangaa Mwanaume Anaonekana hana maturity.
Kwa nini Mwanaume anaeweka bikira kama kigezo cha mchumba wa kuoa Anaonekana mshamba na mbaguzi?
π€£π€£π€£πMwanamke akiwa bikra aweke vigezo vya mwanaume anayemtaka..... mwanaume ukiwa na Mali weka vigezo vya mwanamke unayemtaka
π€£π€£π€£ππNi kwa sababu hakuna mwanamke bikra kwa miaka hii, ukiona mwanmke bikra ujue ana matatizo ya kiafya tangia amezaliwa
Dah! hoja umezimwaga kikatili sana mkuu, ila kweli tupuMwanamke yeyote hua anaolewa na mwanaume toleo la tatu
Toleo la kwanzw mtoa bikraa huyu sio muaji kabisa ila ndo kuna true love kutoka kwa mwanamke kumuacha sio rahisi labda kifo...
Toleo la pili huyu ni yule anaye mpeleka mjini mwanamke yaani kumtoa ushamba wa mapenz na kuumpa vibe hapa wengi hua wanafirwa sana cos toleo la pili hua ni makatili sana tena asipokua makini anaweza akawa single Maza hapa mwanamke anaachiwa makovu ya mapenz na kumfanya awe Makin sana........
Toleo la tatu ndo la ndoa huku mwanamke anatafuta pakupumzikia apate pumziko la milele mara nyingi wanatafuta wale wanaume maboya ambayo wataweza kuyaendesha kwenye pumziko la milele........
ID yako ina maana mbaya sana
Mda unarudi upitie skaniπ€£π€£π€£π
Napita
Uchumi na bikira ni mifano ambayo haindani hata kidogo.Ni kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa
Sasa wanaume mkiambiwa nanyi mkubali kujitunza hadi ndoa hamtaki mnaleta visingizio vya kipuuzi eti nature, matokeo yake hata wanawake wakisema wakatae mtaendelea kuwashawishi tu, kumbuka nao ni binadamu siyo malaika kwahiyo mwisho wa siku msianze kulialia kwamba wanawake hawajitunzi ilihali nanyi hamko tayari
Lakini tukija kwenye kigezo cha pesa hicho kina uhalisia, kwa sababu mwanaume anapimwa kwa uwezo wake wa kubeba jukumu lake la kutunza na kuhudumia familia na hilo ndilo jukumu kubwa la mwanaume, sasa mwanaume usipokuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato huko ndoani unataka uende kufanya nini
Bikira za kutosheleza idadi ya wenye uhitaji wa kuoa zipo, ni suala la mwanume kufanya vetting tuSasa kwa akili yako unaona bikira waliopo inalingana na idadi ya wanaume wanaotaka mabikira, maana sasa hivi kila mwanaume anajifanya anataka bikira ilihali bikira zenyewe ni za kusaka kwa tochi, labda kama mtakubali ndoa za mwanamke mmoja wanaume wengi hilo ndio litawezekana
Nimeupenda huu ujumbe, naomba ruhusa yako niuongezee nyama kidogo niuandikie threadMwanamke yeyote hua anaolewa na mwanaume toleo la tatu
Toleo la kwanzw mtoa bikraa huyu sio muaji kabisa ila ndo kuna true love kutoka kwa mwanamke kumuacha sio rahisi labda kifo...
Toleo la pili huyu ni yule anaye mpeleka mjini mwanamke yaani kumtoa ushamba wa mapenz na kuumpa vibe hapa wengi hua wanafirwa sana cos toleo la pili hua ni makatili sana tena asipokua makini anaweza akawa single Maza hapa mwanamke anaachiwa makovu ya mapenz na kumfanya awe Makin sana........
Toleo la tatu ndo la ndoa huku mwanamke anatafuta pakupumzikia apate pumziko la milele mara nyingi wanatafuta wale wanaume maboya ambayo wataweza kuyaendesha kwenye pumziko la milele........
Exception ipo kwenye kila kitu lakini uwezekano wa mwanamke uliemkuta bikira kutulia au kuwa na maadili mazuri ni mkubwa sana ukilinganisha na mwanamke mapepe uliemuokota mtaaniWanawake wapenda mali wanapondwa sana mbona
Bikra haina thamani yeyote, ni kipozauongo.
Yaani kwa vile umepata njia ya kujua mwanamke hajafanya ngono, basi inakuwa rahisi zaidi kuamini hatochepuka.
Ni kama kuweka dukani mtu ambaye hajawahi kuuza biashara yeyote, na usimfuatilie kabisa ukiamini hawezi kuiba
ππππ na bado kijana akipeleka posa atatakiwa kutoa mahari.Bikra 2024 itoke wapi siku hizi wakipanua miguu unaona mpaka maini na huyo ni msichana hajafika miaka 24.
Ukikubali kuwa toleo la 3 Umeisha mzee.Mwanamke yeyote hua anaolewa na mwanaume toleo la tatu
Toleo la kwanzw mtoa bikraa huyu sio muaji kabisa ila ndo kuna true love kutoka kwa mwanamke kumuacha sio rahisi labda kifo...
Toleo la pili huyu ni yule anaye mpeleka mjini mwanamke yaani kumtoa ushamba wa mapenz na kuumpa vibe hapa wengi hua wanafirwa sana cos toleo la pili hua ni makatili sana tena asipokua makini anaweza akawa single Maza hapa mwanamke anaachiwa makovu ya mapenz na kumfanya awe Makin sana........
Toleo la tatu ndo la ndoa huku mwanamke anatafuta pakupumzikia apate pumziko la milele mara nyingi wanatafuta wale wanaume maboya ambayo wataweza kuyaendesha kwenye pumziko la milele........
πππNi kwa sababu hicho kigezo chenu hakina uhalisia, ili wanawake wajitunze hadi ndoa maana yake na wanaume nao itabidi wakubali kujitunza hadi ndoa, wanawake wote wakisema wakitongozwa wakatae ili wajitunze maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao tendo la ndoa
Sasa wanaume mkiambiwa nanyi mkubali kujitunza hadi ndoa hamtaki mnaleta visingizio vya kipuuzi eti nature, matokeo yake hata wanawake wakisema wakatae mtaendelea kuwashawishi tu, kumbuka nao ni binadamu siyo malaika kwahiyo mwisho wa siku msianze kulialia kwamba wanawake hawajitunzi ilihali nanyi hamko tayari
Lakini tukija kwenye kigezo cha pesa hicho kina uhalisia, kwa sababu mwanaume anapimwa kwa uwezo wake wa kubeba jukumu lake la kutunza na kuhudumia familia na hilo ndilo jukumu kubwa la mwanaume, sasa mwanaume usipokuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato huko ndoani unataka uende kufanya nini
Si kweli.Ni kwa sababu hakuna mwanamke bikra kwa miaka hii, ukiona mwanmke bikra ujue ana matatizo ya kiafya tangia amezaliwa