Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mnapenda dezo sana kutumia watu watu watake chances,risk because of you guysNikisema siyo wote mtasema najisifu kuwa mi ni handsome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapenda dezo sana kutumia watu watu watake chances,risk because of you guysNikisema siyo wote mtasema najisifu kuwa mi ni handsome
Kwa tuhuma hizi Kwanzia leo nimejitoa kwenye kundi la ma handsomeMnapenda dezo sana kutumia watu watu watake chances,risk because of you guys
Eiwaaaa!! ndio maana mwanamke ili adumu na huyo kaka lazima awe na vitu vingine vya ziada zaidi ya uchi wake, matiti yake, mapaja yake, matako yake, sauti yake , miguu yake, kucha zake na hata nywele zake. Na baadhi ya sifa hizo ni kuwa na watoto na huyo mume, kuvumilia na kusamehe sana, kumpunguzia mume matumizi ya hovyo, usafi, kupika vizuri, kumsaidia mwanaume kukamilisha miradi/mambo yake kwa wepesi zaidi, nk.
Kuna mtu anavutiwa na matako makubwa na mapaja yakiwa yamefichwa kwenye baibui, dera, gauni au tight. Moyoni anawaza sijui itakuwaje leo nikifika nae chumbani, ghafla chumbani paaaa! Anawasha taa mwanga mkubwa ili aone na kufaidi matako kwa karibu, lahaulah!!!!! anakutana na makunyanzi, makovu na mishipa ya damu imetambaa juu ya ngozi (varicose veins) hadi kiu yote inakata ghafla. Hatasema pale lakini atasema hee kumbe ni hivi, harudi tena huyu humu, hayo ni macho tu, bado kunusa, bado kupapasa, bado kusikia na bado kutiana.Sawa wameshasikia rambaramba
ajaribu kufanya hivyo aone. Kumpenda sana mume wako sio kumwambia ninyoe mavuz£, ninuse, nirambe ukeni na kuchungulia mkund* kwenye mwanga mkali. Sisi huwa tunasemaga kwenye masomo ya ndoa kuwa mumeousimpe yote ili kila siku achuchumie ili afike mwisho, yaani mtengenezee kiu ya kufika mwisho wa starehe. kama mke atampa mumewe kila kitu kwa siku moja atakuwa amefilisika, hatakuwa na jipya tena kesho na hata mume atajua kuwa sina jipya kwa mke yule. Anatakiwa afanye rotation ya kikosi, leo hivi, kesho vile kisho kutwa kile na sio siku hiyohiyo unalala chali, kifudifudi, chuma mboga kwenye kochi, bafuni, sitting room, matakani, umeramba, umefanya vile, loooooh!!! unajifilisi mwenyewe kwa kukosa maarifaNimejifunza kitu humu !
Sasa Mleta mada mbona wanasema Eti mwanamke awe malaya kwa Mwanaume wake? Including kuji-expose kuwa uchi Karibu yake?
Chakuzingatia mkeo lazima umfikishe kileleni kila unaposex nae. Na hakikisha kuwa husex nae kila siku kila wakati, lakini kila ukisex lazima afike kileleni.Umenikumbusha “ The theory of marginal utility “
Ulichoandika Mleta mada ni kweli kabisa hata kupitia studies mbali.
Isipokuwa Kwa wachache ambao wanakutana mara chache na wale walorogwa kama kina brother Pond.
Aisee umejuaje Mkuu?Wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume mara nyingi ndo huwa wanatatizo la kuwachoka wanawake
Kila mtu lazima afahamu kuwa sex ni kwaajili ya kuzaa tu, sio starehe. hamu ya kupenda sex itapungua kama utafanya sex mara mojamoja na mkeo huyo. Mke haondoki kama ukimzalisha watoto wengi, 3 na zaidi na haondoki kabisaa kama utamzalisha watoto 5 na zaidi.Sex is overrated
Nyie mnaoangaika na ngono ni Kwamba mnafukuza upepo at my age 26yrs I will never respect sex Anymore
Huu ni uongo, ambaye hajitumi ni yeye binafsi na sababu zake atakuwa nazo.Wanaume wazuri called handsome hawataki kujituma wanataka kutumia so ningumu kusonga nao
Johari windowHiyo njoo inbox, lakini njoo ukishamaliza kusoma vitu vifuatavyo: Johari Windows, Abraham Maslow's hierarchy of needs, Motivation theories, Operant conditioning ya BF. Skinner na Schedules of reinforcements,