Kwanini mwanaume anamchoka mwanamke Haraka?

Kwanini mwanaume anamchoka mwanamke Haraka?

Wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume mara nyingi ndo huwa wanatatizo la kuwachoka wanawake
Uzi ufungwe...kiuhalisia ndomana kuna kitu kinaitwa NYEGE...yaan kwa mwanaume aliyekamilika hana tatizo la nguvu za kiume akipata nyege akili huvurugika yaan hata kama mwanamke kamtumia miaka nenda rudi lkn nyege hufanya yule mwanamke aonekane wa thamani na mpya....na hyo inatokana na uwepo wa nguvu za kiume!
 
Kwa sababu mwanamke anapo olewa au kua na mwanaume ambae anajua hawezi kumuacha kirahisi, kiu yake inaisha hivyo anaacha kufanya yale mambo ambayo kila siku ataonekana mpya kwa mumewe.. unakuta alikua smart kabla ya kuolewa akisha olewa anakua rafu hadi kwenye kunyoa zile sharubu za kwenye naniliu...
 
Kila mtu lazima afahamu kuwa sex ni kwaajili ya kuzaa tu, sio starehe. hamu ya kupenda sex itapungua kama utafanya sex mara mojamoja na mkeo huyo. Mke haondoki kama ukimzalisha watoto wengi, 3 na zaidi na haondoki kabisaa kama utamzalisha watoto 5 na zaidi.



Hasa akiwa ni tegemezi au kuwa na kipato kidogo lazima avumilie vyovyote vile hata vipigo!

Maana anafikiria akiondoka aende wapi?

Ataenda kushika wapi na hao watoto?

Kwenda kupanda appartement ya Nyumba ya familia ya vyumba 3 na kuendelea walau, kuwe na chumba cha mama, watoto wa kiume, watoto wa kike, Yaya (this is optional) n.k.

Wanawake wangapi wanaweza kumudu kuyafanya hayo?

Na kumpata Mwanaume mwingine wa kukulelea wewe wanao nani atakubali kujichanganya kiasi hicho?!

Inabidi tu kubaki kuishi nyumbani na kuvumilia yote hata Kwa kutengana vyumba , kununiana, kunyimana n.k.
 
Huu ni uongo, ambaye hajitumi ni yeye binafsi na sababu zake atakuwa nazo.
hakuna mwanaume mzuri duniani, uzuri ni mtizamo wa mtu tu, ila kuna wanaume wagonjwa na wenye afya, wachapakazi na wavivu, wafupi na warefu, weusi na weupe. Mwanaume safi na bora ni yule mwenye afya njema, mchapakazi na mwenye tabia inayokubalika na wengi kwenye jamii baaaasi.
 
Johari window
I know myself others know me, i dont know myself others know me
I know myself others dont know me, i dont know me others dont know me
Sasa anzia hapo, anza kwa kuwauliza rafiki zako wakwambie kwa uwazi na ukweli tabia yako ambazo wewe mwenyewe huzijui ili zile nzuri uziendeleze na zile mbaya uziache, kisha zifungue sifa na vipaji vyako ulivyonavyo ambavyo watu wengine hawajui kama unavyo na kisha tafuta sifa ambazo hujui kama unazo na hata wengine hawajui kama unazo ili uzifanyie kazi kuziibua (vumbua vipaji vyako) ili kujishangaza wewe mwenyewe na wengine pia, wewe na wao mseme waow!!!!! hii itakufanya ung'are ndani na nje ya jamii.
 
Uzi ufungwe...kiuhalisia ndomana kuna kitu kinaitwa NYEGE...yaan kwa mwanaume aliyekamilika hana tatizo la nguvu za kiume akipata nyege akili huvurugika yaan hata kama mwanamke kamtumia miaka nenda rudi lkn nyege hufanya yule mwanamke aonekane wa thamani na mpya....na hyo inatokana na uwepo wa nguvu za kiume!
Tofautisha kati ya chakula na chakula cha njaa. Kuna vyakula vinaliwa wakati ukiwa na njaa kali lakini ukishiba huvitaki kuviona. Kuna wakati wanaume wanatembea na vichaa, vilema, vikongwe na watoto wachanga kabisa, hizo ni nyege tu ambazo hata bata na mbuzi unaweza kusex navyo. Hatuongei nyege.

Mfano, wanaume huwa kuna wanawake ambao wanataka wasex nao tu lakini sio kuwaoa kabisa wawe wake zao. hata wanawake wako hivyohivyo, kuna wanaume wanataka watembee nao lakini hawako tayari wawe waume zao. Mfano, 95% ya wanaume wako tayari kutembea na wanawake wanaojichubua, waliojitoboa kila mahali mwilini, wenye tatoo lakini hawako tayari kuwaoa wawe wao wa kudumu.
 
Bahati mbaya mwanamke huwa anamkubalia mwanaume amchungulie, amnuse, amrambe na ampapase kokote akidhani kuwa hiyo ndiyo itamfanya Mwanaume ampende na kumfurahisha zaidi ili asipanduke kwake, kumbe ni kinyume chake, tumia mwanga hafifu kabisa unapofanya mapenzi, Vaa kanga yako hata kama uko 2 TU ndani. Uchi hauna harufu nzuri na Wala sio mtamu usiruhusu anuse na kuuramba atakinai haraka, maana hutakuwa na jipya la kumpa Wala kumuonyesha,
Hee Uchi hauna harufu nzuri??

Unakutana na wanawake wa aina gani?
 
Kwa sababu mwanamke anapo olewa au kua na mwanaume ambae anajua hawezi kumuacha kirahisi, kiu yake inaisha hivyo anaacha kufanya yale mambo ambayo kila siku ataonekana mpya kwa mumewe.. unakuta alikua smart kabla ya kuolewa akisha olewa anakua rafu hadi kwenye kunyoa zile sharubu za kwenye naniliu...
Kuna wakati mke anaiona ndoa yake ni kama gereza. hana furaha na hafurahii kuwa na wewe, amekinai kila kitu chako, sex hakuna, raha hakuna, pesa hakuna na maendeleo hakuna.
 
Sasa anzia hapo, anza kwa kuwauliza rafiki zako wakwambie kwa uwazi na ukweli tabia yako ambazo wewe mwenyewe huzijui ili zile nzuri uziendeleze na zile mbaya uziache, kisha zifungue sifa na vipaji vyako ulivyonavyo ambavyo watu wengine hawajui kama unavyo na kisha tafuta sifa ambazo hujui kama unazo na hata wengine hawajui kama unazo ili uzifanyie kazi kuziibua (vumbua vipaji vyako) ili kujishangaza wewe mwenyewe na wengine pia, wewe na wao mseme waow!!!!! hii itakufanya ung'are ndani na nje ya jamii.
Kazi nzito hiyo
 
Hee Uchi hauna harufu nzuri??

Unakutana na wanawake wa aina gani?
ukikutana na mwanamke ana uchi una harufu nzuri ujue ameuharibu kwa kuusugua na magunzi kutoa shombo yake. Afya nzuri ya uchi, ngozi, nywele ni wakati ikabakia na uasili wake. Tunawashauri wanawake wasiweke sababu, dawa wala povu la aina yoyote ukeni ili kulinda wanyama wanaoishi ukeni (normal flora) kwaajili ya afya ya ukeni. Yaani kila kiumbe na kila kiungo kina harufu yake, izoee hiyo kwa mkeo, mtaishi milele. Nilikuwa na hawara yangu mzungu akawa ananishangaa nikioga na kunawa kila wakati mchana na jioni, akaniambia utazeesha ngozi haraka kama unaoga na kunawa kila wakati. Yeye anajifuta (pant) tu na kitambaa. Huko ukeni ndio kabisaa anapitisha maji kidogo tu, wana harufu yao ni lazima uizoee.
 
Binadamu ni kama viumbe wengine tu, ana wivu kama wanyama wengine lakini hana shida kuchangia mwanamke au mwanaume kama walivyo wanyama wengine. Ndiyo maana mwanaume na mwanamke wanaweza kutembea na mke au mume wa jirani, rafiki, boss au mtu mwingine tu wanaemfahamu au wasiomfahamu, ila hawako tayari mke au mume wake yeye aliwe na mtu mwingine. Huu ni wivu tu walionao viumbe wote wakiwemo jogoo, fisi na beberu. Mwanaume wa kweli hamuachi mkewe au mumewe kwa kutembea na mke au mume mwingine, bali atalipiza kwa kutembea na mke au mume mwingine ili kutuliza roho na kumaliza 'kosa'. Msemo wa kitanda hakizai haramu ulianzia hapo, yaani kesi ya mapenzi inamalizwa kwa mapenzi, na kesi ya kucheat inamalizwa kwa kucheat, kesi ya kuzaa nje inamalizwa kwa kuzaa nje, na kesi ya masikini hakimu wake ni Mungu pekee.



Tit for tat [emoji123]
 
ukikutana na mwanamke ana uchi una harufu nzuri ujue ameuharibu kwa kuusugua na magunzi kutoa shombo yake. Afya nzuri ya uchi, ngozi, nywele ni wakati ikabakia na uasili wake. Tunawashauri wanawake wasiweke sababu, dawa wala povu la aina yoyote ukeni ili kulinda wanyama wanaoishi ukeni (normal flora) kwaajili ya afya ya ukeni. Yaani kila kiumbe na kila kiungo kina harufu yake, izoee hiyo kwa mkeo, mtaishi milele. Nilikuwa na hawara yangu mzungu akawa ananishangaa nikioga na kunawa kila wakati mchana na jioni, akaniambia utazeesha ngozi haraka kama unaoga na kunawa kila wakati. Yeye anajifuta (pant) tu na kitambaa. Huko ukeni ndio kabisaa anapitisha maji kidogo tu, wana harufu yao ni lazima uizoee.
Duuu hii kali[emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]
 
Mbona mamaJ mwaka wa 4 huu
Kila Akikaa uchi mnara unasoma 5G
Haipiti siku 2 sijaibabua mbususu yake,
Leo kaanza P,mpk amalze nyege ztaniua
Wee mzee huyo mwanamke si mligombana baada ya yeye kukudai sjui nyumba umjengee ama kitu gani vile??

Kwahiyo umeshakabidhi nyumba kwa huyo Mamajay wako?[emoji23][emoji23][emoji23].

Daa kwel nyie mapenzi yenu yaajabu hamuachani tu[emoji23][emoji23]
 
Wee mzee huyo mwanamke si mligombana baada ya yeye kukudai sjui nyumba umjengee ama kitu gani vile??

Kwahiyo umeshakabidhi nyumba kwa huyo Mamajay wako?[emoji23][emoji23][emoji23].

Daa kwel nyie mapenzi yenu yaajabu hamuachani tu[emoji23][emoji23]
Tusharudiana mda mrefu tu mkuu[emoji16]
 
Kuna mtu anavutiwa na matako makubwa na mapaja yakiwa yamefichwa kwenye baibui, dera, gauni au tight. Moyoni anawaza sijui itakuwaje leo nikifika nae chumbani, ghafla chumbani paaaa! Anawasha taa mwanga mkubwa ili aone na kufaidi matako kwa karibu, lahaulah!!!!! anakutana na makunyanzi, makovu na mishipa ya damu imetambaa juu ya ngozi (varicose veins) hadi kiu yote inakata ghafla. Hatasema pale lakini atasema hee kumbe ni hivi, harudi tena huyu humu, hayo ni macho tu, bado kunusa, bado kupapasa, bado kusikia na bado kutiana.
Imenikuta sana iyo Kwa wanawake wanene,Sina hamu nao kabisa[emoji4]
 
Back
Top Bottom