Kwanini mwanaume anamchoka mwanamke Haraka?

Kwanini mwanaume anamchoka mwanamke Haraka?

Bro kuna watu humu ndani hawaelewi hicho unachosema. Infact inasikitisha sana kwa kuwa kiasi kikubwa cha wanaume hawana nguvu za kiume
Nguvu za kiume ni changamoto ndio maana watu wanarukaruka kama pop corns na matangazo mengi kwenye nguzo za umeme ya kuongeza nguvu za kiume. Kama wewe unahisi kuwa una nguvu kidogo za kiume jaribu yafuatayo: Kula vizuri ugali/wali/viazi/mihogo/tambi, nyama/samaki/dagaa/mayai, matunda/mboga za majani/karanga, kunywa maji mengi; lala masaa 8/punzika; tibu ugonjwa mapema (malaria, maumivu, upungufu wa damu, homa); usivae nguo za kubana mwili (chupi, suruali, bukta) kuepuka joto kwenye korodani; acha kuvuta sigara, kunywa pombe sana na kuendesha gari/bodaboda/lori kwa muda mrefu; epuka vinjwaji vya energy na kahawa nyingi; na maliza matatizo yako.
 
Mkuu
Mke wangu ana nitosha sana sioni SABABU....

Sioni sabb ya kujifananisha na madume ya kuku, Bata,mamba, jongoo, Mbuzi, kondoo, Ngo'mbe, nguruwe, punda....E.t.c
😊🤓

Mbona huja msemea NJIWA na ndege wengine....

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Wasalaam
Kwa Sasa
+267
Mungu alikuumba dhaifu kwenye upande huo, na Wala hauko peke yako.
 
Mungu alikuumba dhaifu kwenye upande huo, na Wala hauko peke yako.
Mkuu,
Mimi ni mtu mzima kidogo....Nawaza nitumie busara kukujibu....maana una Anza nivunjia heshima....Umenipima na nani ukagundua Mimi ni dhaifu...........
Hapa ningeweza kuandika SHIT....kama ulizo nituhumu....
Itoshe kusema sisi tumesha achana na harakati za ujana na umalaya.......

Stay blessed 🙏
 
Mkuu,
Mimi ni mtu mzima kidogo....Nawaza nitumie busara kukujibu....maana una Anza nivunjia heshima....Umenipima na nani ukagundua Mimi ni dhaifu...........
Hapa ningeweza kuandika SHIT....kama ulizo nituhumu....
Itoshe kusema sisi tumesha achana na harakati za ujana na umalaya.......

Stay blessed 🙏
Kupunguza ngono umri unavyoongezeka sio udhaifu mkuu, viumbe wote wako hivyo. Umri mkubwa unapunguza sio TU hamu na uwezo wa kusex bali hata macho kuona, meno kung'oka, masikio kusikia, kukimbia na mambo mengine. Kwakuwa umesema wewe umri umekwenda naona ni sawa, lakini Ile kauli yako ya kutembea na wanawake chini ya 10 kwenye maisha yako ni udhaifu wa mwili, huna experience kubwa kwenye eneo la ngono na wanawake. Yaani kutoka shule ya msingi, sekondari, advance, chuoni, kazini na mtaani wewe ni chini ya 10 kaka, kijana shubabe hawi hivyo, wanawake wanaweza kukuendesha watakavyo.
 
Kupunguza ngono umri unavyoongezeka sio udhaifu mkuu, viumbe wote wako hivyo. Umri mkubwa unapunguza sio TU hamu na uwezo wa kusex bali hata macho, meno, masikio, kukimbia na mambo mengine. Kwakuwa umesema wewe umri umekwenda naona ni sawa, lakini Ile kauli yako ya kutembea na wanawake chini ya 10 kwenye maisha yako ni udhaifu wa mwili, huna experience kubwa kwenye eneo la ngono na wanawake. Yaani kutoka shule ya msingi, sekondari, advance, chuoni, kazini na mtaani wewe ni chini ya 10 kaka, kijana shubabe hawi hivyo, wanawake wanaweza kukuendesha watakavyo.
Sio kwel,

Wew wamefika wangap..
 
Sio kwel,

Wew wamefika wangap..
Kwangu mm sex sio starehe hivyo siko tayari kusex na mwanamke ambae hataki kuzaa au hazai, anaenyonyesha, amekoma kuzaa, anatumia uzazi wa mpango, anableed, ana mimba au mwenye umri mkubwa sana. Tabia yangu hii imenifanya niwe na wanawake na watoto wengi. Maana sijawahi kukataa mimba au mtoto Wala kuutoa mimba. Yaaani situpi mbegu zangu kipumbavu kwa mwanamke ambae hataki kuzaa au hawezi kuzaa,
 
Kwangu mm sex sio starehe hivyo siko tayari kusex na mwanamke ambae hataki kuzaa au hazai, anaenyonyesha, amekoma kuzaa, anatumia uzazi wa mpango, anableed, ana mimba au mwenye umri mkubwa sana. Tabia yangu hii imenifanya niwe na wanawake na watoto wengi. Maana sijawahi kukataa mimba au mtoto Wala kuutoa mimba. Yaaani situpi mbegu zangu kipumbavu kwa mwanamke ambae hataki kuzaa au hawezi kuzaa,
Nimecheka kama mazur ila for sure uki Toka kuchakata lazima uwe na ka diary kurekod maana wanawake hawakawii kubambika mimba Kwa mwanaume mwenye unafuu na maisha....🤓🤓
 
Macho, pua, masikio, ulimi na Ngozi ya mwili huwa vina tabia ya kuchoshwa na kukinaishwa na kuona, kunusa, kusikia, kuonja na kugusa kitu cha aina moja tu kilekile kukiona, kukinusa, kukisikia, kukionja na kukigusa kila mara kwa muda mrefu.

Mfano, mtu huwa anaishangaa na kulipenda vazi jipya kwa muda tu, anakipenda chakula kwa muda tu kabla hajataka kula chakula cha aina nyingine, akiingia chooni anaisikia harufu mbaya ya chooni kwa muda mfupi, anaekaa karibu na dampo hasikii harufu, kelele za kwenye bar unazisikia kwa muda mfupi tu wa kwanza baadae unazizoea, na hata nguo au saa ya mkononi unaihisi mwilini wakati wa kuivaa tu, baada ya muda kidogo mwili unaizoea na kusahahu kama umevaa nguo au sasa au mkufu au pete.

Hali ni hiyohiyo hata kwenye mapenzi. Wanaume huwa wanasisimka kwa kuona mapaja, matiti, uchi; kusikia sauti, harufu; kunyonywa na kupapaswa sehemu mbalimbali za mwili na mtu mpya machoni na masikioni.
Hivyo kama mwanamke ataruhusu mwanaume kuona mapaja, matiti, matak, uchi na nywele mara kwa mara kwa muda mrefu; kusikia sauti yake mara kwa mara kwa muda mrefu; atanusa kila sehemu ya mwili wake kwa muda mrefu mara kwa mara, ananyonya na kuramba uchi wako, matiti na masikio mara kwa mara kwa muda mrefu na kukupapasa na kukutia vidole kwenye uchi na matakon kwako kila mara kwa muda mrefu na kama utampa mbele na nyuma kila mara kwa muda mrefu mwanaume huyo atakuchoka haraka sana kwakuwa ameshakuona sana, ameshakusikia sana, ameshakunusa sana, ameshakulamba sana na kupapasa sana na ameshatia sehemu zako zote. Yaani amekinai. Macho, pua, masikio, ulimi, na hata ngozi ya mwili wake vimekinai, hasisimki tena kwa kukuona, kukusikia, kwa harufu, ladha na hata kukupapasa hakumsisimui teeeena!!. Hapo umekwisha.

Hapa nakusudia kukuambia wewe mwanamke kuwa hakikisha kuwa mwanaume haoni mara kwa mara mapaja, matako, uchi, matiti na nywele zako, hakikisha kuwa mwanaume hakunyonyi popote wala kukurambaramba kama nyoka kwenye mwili wako, husemi/kupayuka/kugomba/ na kutia stori kwingii za simba na yanga, hakutii vidole sehemu za siri na humpi kwampalange. Hii itamfanya huyu mwanaume awe na hamu na wewe ya kukuona, kukusikia sauti, kukupapasa na kila kitu chako ni kipya na kigeni kwake kila siku.

Wazee wetu waliishi na wake zao kwa muda mrefu kwakuwa wanawake walikuwa wanajisitiri sana maungo yao, wanawake hawasemi sana mbele za watu na hata kitandani, sex ilikuwa ni usiku tu gizani, walikuwa hawarambi nyuchi za wake zao wala kujua harufu na ladha yake mdomoni.

Ukiona mwanaume anataka akuone kila sehemu, asikie sauti zako mbalimbali, akurambe kila kona na akutie kwenye matundu yake shituka, akishamaliza kukuona, kukuona, kukuramba na kukutia sehemu zote ataanza kusepa kwa kuponguza polepole idadi ya kukutana, kuonana, kutianam kurambana,m kusaidiana na kuwasiliana hadi pale atakapotokomea kabisa.
Ushauri mavi yenye minyoo huu
 
Nimecheka kama mazur ila for sure uki Toka kuchakata lazima uwe na ka diary kurekod maana wanawake hawakawii kubambika mimba Kwa mwanaume mwenye unafuu na maisha....🤓🤓
Nalijua hilo, zamani ilikuwa kitanda hakizai haram, lakini sasa kuna DNA test. Unapommiminia mbegu zako hai na bora mwanamke ambae unajua hatapata mimba au hutaki apate mimba kwakuwa tayari ni mjamzito, ananyonyesha, yuko kwenye siku zake, anatumia njia za kupanga uzazi, ni mzee, au ni mgonjwa utakuwa huna akili, maana hata mbuzi hawafanyi hivyo. Sex zote ni kwaajili ya kuzaa tu basi, ndio maana mm mke wangu akiwa na mimba, amechoka, ananyonyesha au yuko kwenye menopause sifiki kiunoni kwake, naweza kucheza nae hadi akaridhika lakini sio kummwagia mbegu zangu ukeni wakati najua hazitaota au hazitakiwi kuota kwakuwa tayari ana mtoto mchanga. Hii ni sawa na kusema kumeza vidoge, kuchoma sindano, kuweka vijiti, kutumia kondom, kuweka kitanzi au kumwagia nje mbegu ili kupanga uzazi ni upumbavu mtupu unaotusababishia maladhi. Mungu ameweka njia zake tayri tumia hizo. Wanawake wako wengi kwanini utembee na mtu asiyetaka kupata mimba, anaenyonyesha au mzee. mbaya zaidi baada ya kumaliza kumfurahisha kikamilifu hadi akaridhika utampa tena nauli, chakula na vinywaji, utalipa hela ya guest na usafiri wake na hela atataka umpe tena ya kutosha. Utafanya hivyo kila siku hadi lini wakati yeye hazai?
 
ISIYOCHOSHA NI TABIA SIO SEX, TOFAUTISHA KATI YA SEX NA MAPENZI, MAPENZI UNAWEZA KUMPENDA HATA MAMA YAKO LAKINI SEX NI TOFAUTI KABISA. upendo kwa mwamke ni yale matendo mengine yanayoizunguuka sex kama heshima na adabu, uchapakazi, kusema sorry, kupika vixzuri na usafi, kuhurumiana na kuchukuliana mizigo, nk. Hivi hakuna mtu anavichoka, ndio maana sijawahi kusikia mtu kachoka kuitikia shikamoo, kukaa sehemu safi, kuvaa shati safi, kula chakula kizuri, kusaidiwa kulipa ada za watoto, nk
 
Nalijua hilo, zamani ilikuwa kitanda hakizai haram, lakini sasa kuna DNA test. Unapommiminia mbegu zako hai na bora mwanamke ambae unajua hatapata mimba au hutaki apate mimba kwakuwa tayari ni mjamzito, ananyonyesha, yuko kwenye siku zake, anatumia njia za kupanga uzazi, ni mzee, au ni mgonjwa utakuwa huna akili, maana hata mbuzi hawafanyi hivyo. Sex zote ni kwaajili ya kuzaa tu basi, ndio maana mm mke wangu akiwa na mimba, amechoka, ananyonyesha au yuko kwenye menopause sifiki kiunoni kwake, naweza kucheza nae hadi akaridhika lakini sio kummwagia mbegu zangu ukeni wakati najua hazitaota au hazitakiwi kuota kwakuwa tayari ana mtoto mchanga. Hii ni sawa na kusema kumeza vidoge, kuchoma sindano, kuweka vijiti, kutumia kondom, kuweka kitanzi au kumwagia nje mbegu ili kupanga uzazi ni upumbavu mtupu unaotusababishia maladhi. Mungu ameweka njia zake tayri tumia hizo. Wanawake wako wengi kwanini utembee na mtu asiyetaka kupata mimba, anaenyonyesha au mzee. mbaya zaidi baada ya kumaliza kumfurahisha kikamilifu hadi akaridhika utampa tena nauli, chakula na vinywaji, utalipa hela ya guest na usafiri wake na hela atataka umpe tena ya kutosha. Utafanya hivyo kila siku hadi lini wakati yeye hazai?
Asante sana mkuu Kwa haya maarifa🤓
DNA test ni mchakato mrefu pia utatumia pesa na gharama....
Ina semwa kua mkemia mkuu alisema Ili kuondoa Sinto fahamu mara zote husema mtoto ni wako Ili kuondoa migogoro....
Sina uhaakika lakini
 
Asante sana mkuu Kwa haya maarifa🤓
DNA test ni mchakato mrefu pia utatumia pesa na gharama....
Ina semwa kua mkemia mkuu alisema Ili kuondoa Sinto fahamu mara zote husema mtoto ni wako Ili kuondoa migogoro....
Sina uhaakika lakini
Mkuu kama unapewa mtoto kabisa kisheria awe wako kabisa na kwelikweli usimkatae, mpende kwa moyo wako wote maada watoto ni baraka na hujui atakuja kuwa nani na atakusaidia nini. Kuna mfanyakazi mwenzangu nilimpa mimba bila mumewe kujua, tulikuwa tunajua sisi tu 2 jambo hilo na mimi niliahidi kuwa sintasababisha ndoa yake kuvunjika kwa kwa kudai mtoto wa kwenye ndoa ya mtu. My friend, ni mtoto yule tu kati ya watoto wake 4 aliyekuwa na akili nyingi darasani na alikuwa anajivunia nae, mtoto yule kamaliza chuo kikuu cha Ardhi na ana ajira nzuri na kazi zake binafsi zinampa kipato kikubwa. Wale watoto wake wengine wapowapo tu hata kuolewa hawaolewi na mwingine wa kiume kasomea U DJ kichuo fulani pale Sinza anapiga mziki kwenye bar moja kule Ukonga. Nataka kusema kuwa wazee wetu hawakuwa wajinga kusema kitanda hakizai haramu ilimradi tu hakuna atakaekuja kumdai. Kwani hata angekuwa umemzaa wewe huwezi kumuuza, wala kumchinja kupata kitoweo. faida pekee ya mtoto ni kumtuma na akusaidie basi.
 
Back
Top Bottom