SureMiaka hii kuoa wake wengi ni kujitafutia presha na magonjwa tu.
Jibu lako bwanamdogo ni kua wanawake kuvurugana ni dakika 0 tu, kwa akili ya kawaida tu huwezi waweka pamoja watazinguana.
Na wewe kipato kitashuka mno maana ukifanya hilo kwa huyu na yule atataka papo hapo bila kusubiri, wivu wivu wivu , kama hamuoni hawez jua mnaishije atajua tu ana mke mwenza.
Kuna wakati katika safari ya mwanadamu wote walikuwa mahala fulani, and it’s not an issue any longer.unataka kusema mabibi zetu wa kale walikuwa na vinasaba vya mifugo?
madam kwani kila siku lazima wafanye? Mbona ni kawaida mwanaume siku akitoka kazini kachoka analala bila kufanya? 😂😂 Kwanini asilale nao pamoja?
Mkuu unashauri ni wakati sahihi sasa kuachana na mila hizo kwamba dini na mila za mababu zetu zilikuwa za hovyo kama vile mila za kukeketa watoto wakike?Kuna wakati katika safari ya mwanafamu wote walikuwa mahala fulani, and it’s not an issue any longer.
Dunia imesha evolve sana, lakini kuna watu hawajabadilika, wamekomea palepale kwenye enzi za mabibi na mababu, hai ni more than a story.
mkuu hili ni kweli Embu tupe data Mimi sifahamu!Nje ya mada....
99.99% ya wanaume wa mashariki ya kati (Arabs) wanaishi na mke mmoja au wao dini imewapitia pembeni
Ngumu sana wanawake wote aliolala nao hapo kwa bed kuwa na mood sawa kila leo.aseeemadam kwani kila siku lazima wafanye? Mbona ni mwanaume siku akitoka kazini kachoka analala bila kufanya? 😂😂 Kwanini asilale nao pamoja?
Thubutu yale ya Dk mwaka yalikuwa ni maigizo kwenye vyombo vya habari tu aonekane ana furaha kumbe moyoni anakonda kwa presha.Si ndio hapo sasa, mie huo utaratibu wa kulala mbali mbali siuelewi...
Ingekua tunalala room moja ningetafuta wake wenzangu wawili chap sana
Kama hapo kwenu unaishi na waarabu wachunguze utagundua....mkuu hili ni kweli Embu tupe data Mimi sifahamu!
mmh waarabu hapana. ILA wapo masheikh Watanzania nawafahamu wameoa wake wawili.kwanni umesema Arabs hawana wake wengi wakat dini imeanzia huko?Kama hapo kwenu unaishi na waarabu wachunguze utagundua....
Nimekwambia miaka hii wewe unasema mila za zamani ..mkuu unataka kusema dini au mila zetu za zamani zilikosea kufanya hivyo?
Nilipata kuwa na classmate mmoja wa kiarabu kiufupi alikuwa jirani yetu. Kwao kulikuwa na mama yake, Mzee wake, wadogo zake na ndugu zao wengine. Kuna muda nikamuuliza kwanini Mzee wake anamke mmoja ilihari dini imeanzia kwao.. akanijibu Kwa data na kusema 95% ya nchi za kiarabu aziruhusu mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.mmh waarabu hapana. ILA wapo masheikh Watanzania nawafahamu wameoa wake wawili.kwanni umesema Arabs hawana wake wengi wakat dini imeanzia huko?
wanavurugana kivipi wakati mmeshakubaliana? Kipato kinashuka kwa sababu zipi? Yaani umefika kutoa hitimisho bila sababu?!Nimekwambia miaka hii wewe unasema mila za zamani ..
Zamani sio sasa, mambo yamebadilika.
alisema ni Kwanini aziruhusu au alivyokupa tu hilo jibu wewe ukahitimisha ni kweli?Nilipata kuwa na classmate mmoja wa kiarabu kiufupi alikuwa jirani yetu. Kwao kulikuwa na mama yake, Mzee wake, wadogo zake na ndugu zao wengine. Kuna muda nikamuuliza kwanini Mzee wake anamke mmoja ilihari dini imeanzia kwao.. akanijibu Kwa data na kusema 95% ya nchi za kiarabu aziruhusu mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.
Nilifanya utafiti pia nakugundua ni ukweli... Mwisho wa study yangu nikajakugundua motives za hizi dini ni kumpoteza mwafricaalisema ni Kwanini aziruhusu au alivyokupa tu hilo jibu wewe ukahitimisha ni kweli?
Ukiwa na wake zaid ya mmoja, wanatakiwa wakae nyumba moja. Lakn kila mtu na chumba chake hata mume awe na chumba chake. Kama mwenye zamu ya kulala na mume wake ndio anaingia kwenye Chumba cha mwanaume. Baada ya tendo anatakiwa kurud kulala chumbani kwake.wakuu wasaalamu.
Kama kichwa cha Habari kinavyosema. Nimeona wanaume wengi sana wenye wake zaidi ya mmoja, Lakini kitu kinachonishangaza Hawa wanaume utakuta Mke mkubwa anaishi wilaya hii mwingine wilaya nyingine, au wilaya moja lakini mbali mbali! Na kabla hajaoa alimtaarifu Mke wake.
Nichukulie mfano hapa ninapoishi kuna sheikh mmoja hivi ana wake wawili. Hii nyumba ya hapa ni nyumba kubwa tu yenye nafasi.
Lakini Alipo oa Mke wa pili akaenda kumtafutia sehemu nyingine huko maeneo ya chanika.
sasa kwa wajuzi naomba kujua Kwanini kama ni halali dini inaruhusu na uwezo anao Kwanini asilale nao chumba kimoja?
Kwanin wengi huwa hawakai pamoja?
Karibuni
Achana na mambo ya huyo dokta manyau kuna mi kama mimi sasaThubutu yale ya Dk mwaka yalikuwa ni maigizo kwenye vyombo vya habari tu aonekane ana furaha kumbe moyoni anakonda kwa presha.