Kwanini mwanaume mwenye wake wengi halali nao sehemu moja?

Sure
 
unataka kusema mabibi zetu wa kale walikuwa na vinasaba vya mifugo?
Kuna wakati katika safari ya mwanadamu wote walikuwa mahala fulani, and it’s not an issue any longer.
Dunia imesha evolve sana, lakini kuna watu hawajabadilika, wamekomea palepale kwenye enzi za mabibi na mababu, hai ni more than a story.
 
Kuna wakati katika safari ya mwanafamu wote walikuwa mahala fulani, and it’s not an issue any longer.
Dunia imesha evolve sana, lakini kuna watu hawajabadilika, wamekomea palepale kwenye enzi za mabibi na mababu, hai ni more than a story.
Mkuu unashauri ni wakati sahihi sasa kuachana na mila hizo kwamba dini na mila za mababu zetu zilikuwa za hovyo kama vile mila za kukeketa watoto wakike?
 
madam kwani kila siku lazima wafanye? Mbona ni mwanaume siku akitoka kazini kachoka analala bila kufanya? 😂😂 Kwanini asilale nao pamoja?
Ngumu sana wanawake wote aliolala nao hapo kwa bed kuwa na mood sawa kila leo.aseee
Watamuua mwanaume wawatu aseee

Cc Smart911
 
Si ndio hapo sasa, mie huo utaratibu wa kulala mbali mbali siuelewi...

Ingekua tunalala room moja ningetafuta wake wenzangu wawili chap sana
Thubutu yale ya Dk mwaka yalikuwa ni maigizo kwenye vyombo vya habari tu aonekane ana furaha kumbe moyoni anakonda kwa presha.
 
mmh waarabu hapana. ILA wapo masheikh Watanzania nawafahamu wameoa wake wawili.kwanni umesema Arabs hawana wake wengi wakat dini imeanzia huko?
Nilipata kuwa na classmate mmoja wa kiarabu kiufupi alikuwa jirani yetu. Kwao kulikuwa na mama yake, Mzee wake, wadogo zake na ndugu zao wengine. Kuna muda nikamuuliza kwanini Mzee wake anamke mmoja ilihari dini imeanzia kwao.. akanijibu Kwa data na kusema 95% ya nchi za kiarabu aziruhusu mwanaume kuwa na mke zaidi ya mmoja.
 
Nimekwambia miaka hii wewe unasema mila za zamani ..
Zamani sio sasa, mambo yamebadilika.
wanavurugana kivipi wakati mmeshakubaliana? Kipato kinashuka kwa sababu zipi? Yaani umefika kutoa hitimisho bila sababu?!
Wanavurugana sababu zipi wakati mlikubaliana?
 
alisema ni Kwanini aziruhusu au alivyokupa tu hilo jibu wewe ukahitimisha ni kweli?
 
Ukiwa na wake zaid ya mmoja, wanatakiwa wakae nyumba moja. Lakn kila mtu na chumba chake hata mume awe na chumba chake. Kama mwenye zamu ya kulala na mume wake ndio anaingia kwenye Chumba cha mwanaume. Baada ya tendo anatakiwa kurud kulala chumbani kwake.
Kulala kitanda kimoja na mwanamke ndio mwanzo wa Dharau na kutaka mambo ya Haki sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…