Kwanini mwanaume mwenye wake wengi halali nao sehemu moja?

Kwahiyo kwenye ndoa ya wake wengi dini iliteleza?
 
Soma hizo data vizuri Kuna swali nitakuuliza
nimezisoma ndio maana nikakueleza hivyo.
ndio maana nikasema walisema wamepitisha hiyo sheria ili kusitiri wanawake wajane. Kwahyo sababu ilikuwa ni kuwasitiri wanawake wajane na sio rasilimali za afrika kama wengi tujavyosema. Au sababu ilikuwa ni kuja kuchukua rasilimali.
 
Hizo ni propaganda zao kaka
 
Mkuu unapewa majibu ya maana ya swali lako unaishia kutukana!

Ukiwalaza chumba kimoja ikifika saa ya kula mzigo unamtoa mmoja nje? Au mmoja anasikilizia hapo pembeni ukila mzigo! In short haijakaa vizuri, jenga boma mbili hata kama ni karibu karibu, mapenzi ni faragha sio jambo la kushuhudiwa na mtu wa tatu!
 
natamani uelewe swali lakn mgumu!
Kama ni swali halali na mume na mke wamekubaliana na dini imeruhusu kuna ugumu gani wa kulala nao pamoja? Yaani kunatokea ugumu wapi wakat tayari mlishakubaliana sijui kama unaelewa au bado?
 
Siyo hiyo Dini uliyosema wameruhusu kuoa wake Zaidi ya mmoja.😅
kwani si wake zake ? Au wametoa na kanuni za kuishi nao baada ya kuwaoa kwamba usilale nao chumba kimoja?
Kwanini kama kuna matatizo dini iliruhusu?
 
Mmoja akipumua huku mwingine anapumua kule! Kuna kulala tena hapo!? Katika hili dini iliteleza sana.
 
natamani uelewe swali lakn mgumu!
Kama ni swali halali na mume na mke wamekubaliana na dini imeruhusu kuna ugumu gani wa kulala nao pamoja? Yaani kunatokea ugumu wapi wakat tayari mlishakubaliana sijui kama unaelewa au bado?
Sijajua
 
lak
Mmoja akipumua huku mwingine anapumua kule! Kuna kulala tena hapo!? Katika hili dini iliteleza sana.
lakini dini ilitoa maelezo kwamba hiyo ilikuwa kutokana na kipindi kilichokuwepo. Wanawake wengi walikuwa wajana kutokana na vita iliyokuwapo wakati huo. Hivyo ili kuwasitiri ilibidi ipitishwe sheria ya kuwasitiri wanawake hao.
 
Kwa hiyo kipimo cha uhalali wa kuoa wake wengi ni kulala chumba kimoja?

Wanawake, pamoja na yote, yatupasa sisi wanaume tuishi nao kwa akili.

Hata kama mila na/au dini zinaruhusu bado sisi kama binadamu tuna hulka zetu zinazotofautiana.

Kinachozingatiwa hapo ni kanuni za maumbile na sio kwamba ukiwaoa basi wote watakuwa wanafanana katika hulka zao. Ni bora uwaweke tofauti inapobidi ili kila mmoja umtendee uadilifu kwa namna itakayomfaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…