Kwanini mwanaume mwenye wake wengi halali nao sehemu moja?

Mbona mwaka alikuwa analala nao kitanda kimoja?
 
Ungeoa wake wawili halafu ndio ungejua.

Ulale na mama mwajuma, anataka ukuni, halafu kidawa hana mpango na yupo kwenye siku zake, umejiuliza hilo?

Sawa uwagonge wote, si vema wao kutizamana maumbile yao, haipendezi, wanawake wenye akili zao timamu hawawezi kubali.
 
Tatizo la watu mmeulizwa swali nanyi nauliza maswali. Kama una majibu toa sio unauzliza oh, mtume alikula 3some mara vijana mnaangalia ngono.

Mtoa mada kauliza kwanini hawalali pamoja? Yaani kama vile dini ilivyokubali kuoa wake zaidi ya mmoja na ikaandika, sasa je kwanini wasilale pamoja? Je, ileandikwa wasilale pamoja? Au ni utashi wa binadamu?. Acheni kurula ruka kama una majibu toa
 
Hukumwona shekhe Dr mwaka?
 
Jibu maswali acha kurukia mambo, achia sisi wakubwa wako, au mama yako ndio baba huja kulala mara chache.
Sio mama yangu hata mama yako alitombw.... ndio maana ukatoka wewe.
Kwahyo hao wote waliojibu hawana akili ? Au hao wote wameoa? Ujuaji mwingi kumbe umejaa mavi mpaka kwenye boksa .kama ulikuwa hujui si ungekaa kimya tu
 
Kua kwanza then uoe halafu urudi hapa we pimbi. Tuachie wakubwa mambo yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…