Binafsi huwa nikipata namba ya gari huwa sihangaiki na madalali bali naangalia usajili ni nani mmiliki ila changamoto huwa inakuwepo iwapo aliyeuza mwanzo hakubadilisha jina, ila huwa kafanikiwa kuunganishwa na huyo mwenye jina lililopo kwa kadi ya gari hilo.
NB: Hii si kwa kila mtu anaweza kufanya hivi
Na ktk hao madalali wa hapo mitaa ya Mlimani city Kuna mmoja nimemuona amechangia kwny hii thread kwa kirefu tu.
[emoji3516]
MKUU,
BILA SHAKA EMETUMWA NA WASUKUMA KUJA KUTUVURUGIA MICHONGO SISI MADALALI WA DAR.
[emoji51][emoji51][emoji51]
1: watu wengi kule hawapendi kununua vitu vya mkononi...kwahyo wateja wachache..
2: Madalali wa kule huongeza pesa ndogo sana tofaut na huku Kinondoni /tegeta..
3: Mwanza sio kubwa sana..ukinunua gari ukiwa unatembea nayo unaanza kuitwa mzee X au unaulizwa ww ni dereva wa mzee X.
4: shimo likitema kwa wachimbaji...wanakuja na magari yao wanataka yabaki mwanza na wao warudi na mengine, hapa huuzwa kwa bei chee sana
jerryempire[/USER] huyo 😃Na ktk hao madalali wa hapo mitaa ya Mlimani city Kuna mmoja nimemuona amechangia kwny hii thread kwa kirefu tu.
Kuna gari ya jamaa yangu naona wameipost jana Mwanza. Yeye aliinunua kwa mtu milioni 7 kamili mwezi January, lakini nimeiona kwenye instagram inauzwa mil 9.5.
Nikiokota hela safari ya kwanza mwanzaaaaaaa[emoji23][emoji23]Mwanza inaweza ikawa kimbilio wa wazee wa kuunga unga,maana zanzibar baada ya kuona watu wengi wanaenda kununua magari kule nao wakapandisha bei na hapo ulipie meli na ukifika bara ulipie ushuru,crown kama hii inauzwa m 7 mwanza kweli kucheleView attachment 2285065
Hili nalo ni nenoMagari ya Mwanza mengi yamechoka sana ukilinganisha na ya Dar..magari yanayouzwa Mwanza yametumika Dar kisha yakauzwa huko..inasemekana 70% ya magari yanayoingizwa nchini hubaki Dar..na yanapochoka huuzwa huko mikoani
Mawazo yako kama yangu tuNikiokota hela safari ya kwanza mwanzaaaaaaa[emoji23][emoji23]
Kwa mtazamo huo ni bora kununua used kagera kuliko kununua Mwanza...tupe uzoefu ndugu dalali mstaafu..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji2][emoji2][emoji2][emoji854]mimi nilikua dalali kwa miaka 10 nina uzoefu wa hiyo biashara trendi imebadilika kwabb kuu moja kwa 90% mkoa wa kagera Geita hununua magari yao kampala, ya kichoka kdgo kuyapeleka mwz kuyauza ndo maana bei zimeshuka sanaa ya used mwz
Huko ndo kimbilio bhnaMawazo yako kama yangu tu
Halafu hizi mambo zako za Kubadili hizi...Heshima yako dada yangu.. maroon 😎