Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

1: watu wengi kule hawapendi kununua vitu vya mkononi...kwahyo wateja wachache..
2: Madalali wa kule huongeza pesa ndogo sana tofaut na huku Kinondoni /tegeta..
3: Mwanza sio kubwa sana..ukinunua gari ukiwa unatembea nayo unaanza kuitwa mzee X au unaulizwa ww ni dereva wa mzee X.
4: shimo likitema kwa wachimbaji...wanakuja na magari yao wanataka yabaki mwanza na wao warudi na mengine, hapa huuzwa kwa bei chee sana
 
Binafsi huwa nikipata namba ya gari huwa sihangaiki na madalali bali naangalia usajili ni nani mmiliki ila changamoto huwa inakuwepo iwapo aliyeuza mwanzo hakubadilisha jina, ila huwa kafanikiwa kuunganishwa na huyo mwenye jina lililopo kwa kadi ya gari hilo.

NB: Hii si kwa kila mtu anaweza kufanya hivi

Nashukuru sana mkuu naomba utupatie maujanja unafanyeje aiseh
 
1: watu wengi kule hawapendi kununua vitu vya mkononi...kwahyo wateja wachache..
2: Madalali wa kule huongeza pesa ndogo sana tofaut na huku Kinondoni /tegeta..
3: Mwanza sio kubwa sana..ukinunua gari ukiwa unatembea nayo unaanza kuitwa mzee X au unaulizwa ww ni dereva wa mzee X.
4: shimo likitema kwa wachimbaji...wanakuja na magari yao wanataka yabaki mwanza na wao warudi na mengine, hapa huuzwa kwa bei chee sana

Mkuu Shukran sana kwa maarifa haya

Mpaka sasa nimepata jawabu la swali langu
 
Mwanza inaweza ikawa kimbilio wa wazee wa kuunga unga,maana zanzibar baada ya kuona watu wengi wanaenda kununua magari kule nao wakapandisha bei na hapo ulipie meli na ukifika bara ulipie ushuru,crown kama hii inauzwa m 7 mwanza kweli kuchele
Screenshot_20220709-100745_Instagram.jpg
 
Mwanza inaweza ikawa kimbilio wa wazee wa kuunga unga,maana zanzibar baada ya kuona watu wengi wanaenda kununua magari kule nao wakapandisha bei na hapo ulipie meli na ukifika bara ulipie ushuru,crown kama hii inauzwa m 7 mwanza kweli kucheleView attachment 2285065
Nikiokota hela safari ya kwanza mwanzaaaaaaa[emoji23][emoji23]
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji854]mimi nilikua dalali kwa miaka 10 nina uzoefu wa hiyo biashara trendi imebadilika kwabb kuu moja kwa 90% mkoa wa kagera Geita hununua magari yao kampala, ya kichoka kdgo kuyapeleka mwz kuyauza ndo maana bei zimeshuka sanaa ya used mwz
Kwa mtazamo huo ni bora kununua used kagera kuliko kununua Mwanza...tupe uzoefu ndugu dalali mstaafu..[emoji119][emoji119][emoji119]
 
1.Mwanza mzunguko wa pesa si kama dsm, so ukiweka bei kubwa wengi hawanunui.

2. Dsm gari ni almost basic need but mwanza ni luxury.. uhitaji wa gari mwanza si wa lazima sana kwasababu usafiri ausumbui sana na hauna kero, pia trip za mwanza ni fupi fupi tofauti na DSm

3. Utanzaji wa gari kanda ya ziwa ni mbovu sana kulinganisha na dsm.. ukienda gereji za mwanza ukaona jinsi wanavofanya service za magari, oil wanazotumia, transmission fluid wanazotumia yaan unakuta wanaweka mi lubex kwenye transmission wakat mwingine wanaongezea na mioil eti iwe nzito dah.. nilishangaa sana..

So ukija nunua wakati mwingine you buy a time bomb so mtu anakua anatafuta namna ya ku dispose gari mapema kabla halijamfia.
 
Back
Top Bottom