No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
1: watu wengi kule hawapendi kununua vitu vya mkononi...kwahyo wateja wachache..
2: Madalali wa kule huongeza pesa ndogo sana tofaut na huku Kinondoni /tegeta..
3: Mwanza sio kubwa sana..ukinunua gari ukiwa unatembea nayo unaanza kuitwa mzee X au unaulizwa ww ni dereva wa mzee X.
4: shimo likitema kwa wachimbaji...wanakuja na magari yao wanataka yabaki mwanza na wao warudi na mengine, hapa huuzwa kwa bei chee sana
2: Madalali wa kule huongeza pesa ndogo sana tofaut na huku Kinondoni /tegeta..
3: Mwanza sio kubwa sana..ukinunua gari ukiwa unatembea nayo unaanza kuitwa mzee X au unaulizwa ww ni dereva wa mzee X.
4: shimo likitema kwa wachimbaji...wanakuja na magari yao wanataka yabaki mwanza na wao warudi na mengine, hapa huuzwa kwa bei chee sana