jameson567
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 536
- 3,289
Asilimia 99(99%), ya watu ambao hawanaga machogo hawanaga akili. Hii ni research ilifanyika kabisa, ndo maana siku hizi wazanzibar wameshtuka hawabamizi tena watoto ukutani kuondoa chogo wakizaliwa..Machogo hamjasema bado, mpaka mseme.
Huu muungano wa kishirikina wananufaika vioñgozi wa ccm tu, solution ni kuiondowa ccm kwanza.
Hao ni walowezi wa Zanzibar kama Brigedia Mwakanjuki.Nakumbuka mchaga mmoja huko Zanzibar aliwahi kuwa mbunge katika baraza la wawakilishi anaitwa Remedius Kisasi.
Yaani wenyewe mmeona ndio point ya kushikilia hapo!Hili ni swali lenye lengo la kuhitimisha Mjadala wa kero za Muungano .
Tunataka kujua kama Micheweni, Kikwajuni, Chakechake au labda Kizimkazi kama ameonekana DC yeyote mwenye vinasaba vya Tanganyika.
Maana huku Tanganyika wapo Wazanzibar waliopewa hivyo vyeo, akiwemo Shaka Hamdu Shaka ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa.
Kwa Heshima na Taadhima Naomba kuwasilisha.
Unatia aibu, ni bora ukae kimya wananchi tupambanie Taif letu.Yaani wenyewe mmeona ndio point ya kushikilia hapo!
Wewe mwenye pointi ya maana ya kuishikilia ianzishie Uzi.Yaani wenyewe mmeona ndio point ya kushikilia hapo!
Sasa kile kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi kakitoa wapi?Raisi wa Zanzibar wa sasa, Dr. Hussein Mwinyi ni raia wa wilaya ya Mkuranga na baba yake aliamuru akifa azikwe Mkuranga wakaona aibu(karma itawalipa). Ila point yako imeeleweka vizuri, huu muungano ni feki hata wao wanajua tu.
Eee bhana eeeeHao ni walowezi wa Zanzibar kama Brigedia Mwakanjuki.
Yani swali hawa kina Makonda wanaweza kuteuliwa Zanzibar?
Jibu lake haiwezekani, hata Rais wa JMT ni kama hana mamlaka yoyote Zanzibar kwa sababu hawezi kuteuwa mtu wa cheo chochote kwenda serikali ya SMZ.
Yani ukifuatilia kwa makini Rais wa muungano madaraka yake yanaishia pale ferry tu
Huyo kaongeza maneno tu tumemzowea , tabia Za ki Mkuranga kudanganyaHiyo nchi naskia rais wao ameongeza kima cha chini cha mshahara (50,000) kwa kila mtumishi wa umma
Kakitoa kwa Magufuli aliyemteuwa kinyume cha KatibaSasa kile kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi kakitoa wapi?
Kwa CCM lolote linawezekana, kuna raia wa Somalia wana vyeo vikubwa serikalini..Sasa kile kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi kakitoa wapi?
Unalipambania kutoka kutoka kwa nani!Unatia aibu, ni bora ukae kimya wananchi tupambanie Taif letu.
Sasa kwa mfano Muungano ukivunjika itakuaje,watamrudisha Hayati Mzee Mwinyi kwao Mkuranga?Raisi wa Zanzibar wa sasa, Dr. Hussein Mwinyi ni raia wa wilaya ya Mkuranga na baba yake aliamuru akifa azikwe Mkuranga wakaona aibu(karma itawalipa). Ila point yako imeeleweka vizuri, huu muungano ni feki hata wao wanajua tu.
Mbona hata siyo hoja ni kijiswali tu uchwara kinachohitaji majibu au labda na majina tu , kwamba Mwakifwamba DC chakechake, Mwita Chacha DC Mchambawima, Mkude DC MicheweniHii ni Hoja ya kijinga kutoka kwa mtu asiyejitambua na mwenye upeo finyu.
Wanasema alizaliwa Zanzibar hivyo ni mzanzibari ila wazazi wake ni wa baraRaisi wa Zanzibar wa sasa, Dr. Hussein Mwinyi ni raia wa wilaya ya Mkuranga