Kwanini nashauriwa nioe?

Kwanini nashauriwa nioe?

Habari wana Jf.
Hapa ninapoishi ni mimi pekee ambae sina mke na nilishawahi kuleta uzi hapa [emoji3591] Thread 'Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa' Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Sasa imekuwa kawaida mwenye nyumba kunitania kila siku kwamba nioe (mwenye nyumba wangu ni mtani wangu kikabila), Maneno haya yamekuwa yakirudia kila wakti jambo ambalo linaanza kunifanya nione au ni kweli sasa napaswa kuoa...

Tuachane na hilo kuna mpangaji mwenzangu leo kanikuta nafanya zangu viusafi akanimbia "Kaka inabidi uoe sasa" huku anacheka (kiumri jamaa kanizidi na anaishi na pisi yake, Jamaa ni dokta na pisi yake ni nurse) Me nikamjibu tu kwamba asijali siku akipatikana mwanamke sahihi kwa muda sahihi nitaoa.

(Wazazi wangu hawajawahi kuniambia chochote kuhusu kuoa tena mama ndo huniambia nitulize kiherere cha kuharakia me bado m-little)

Sasa maswali ninayojiuliza kichwani "Hivi ni kigezo kipi cha kuoa?, Je ni kwamba nina vigezo vyote vinavyoonekana ila mimi ndo nafeli au?, Au je, ni kwamba ki-Africa kijana ukishakuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yako muhimu unapaswa kuoa?, Au umri wangu ni mkubwa vya kutosha? (naelekea 23 sasa), Au ni kwasababu ya wanavyoniona najifanyia zile shughuli zangu kama kupika, Kufua na kujioshea vivyombo vyangu? Au wanahofia nitatafuna pisi zao?

Ebu wakuu nishaurini hapa hawa watu wakirudia tena haya maneno niwajibuje? Au kama ni kweli ni muda wa kufaa kuoa niambieni? Ila kiukweli kabisa najiona bado nauhitaji huu wepesi hadi baada ya kama 5 years + hivi maana nikiwa hivi naona inanifanya niwe mwepesi ku-risk maisha popote nitakapo.

Tiririka chochote chenye tija kunijenga...
Nna mdogo wangu wa kiume ana 22 years.
Alikua anamhudumia demu wake.
Ilibid niingilie kati maana mtu umepanga, huna akiba yoyote na hujaweza kusimama mwenyewe unaanzaje kuoa .
 
Habari wana Jf,

Hapa ninapoishi ni mimi pekee ambae sina mke na nilishawahi kuleta uzi hapa [emoji3591] Thread 'Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa' Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Sasa imekuwa kawaida mwenye nyumba kunitania kila siku kwamba nioe (mwenye nyumba wangu ni mtani wangu kikabila). Maneno haya yamekuwa yakirudia kila wakti jambo ambalo linaanza kunifanya nione au ni kweli sasa napaswa kuoa.

Tuachane na hilo kuna mpangaji mwenzangu leo kanikuta nafanya zangu viusafi akanimbia "Kaka inabidi uoe sasa" huku anacheka (kiumri jamaa kanizidi na anaishi na pisi yake, jamaa ni dokta na pisi yake ni nurse). Me nikamjibu tu kwamba asijali siku akipatikana mwanamke sahihi kwa muda sahihi nitaoa.

Wazazi wangu hawajawahi kuniambia chochote kuhusu kuoa tena, mama ndio huniambia nitulize kiherere cha kuharakia me bado m-little.

Sasa maswali ninayojiuliza kichwani "Hivi ni kigezo kipi cha kuoa? Je, ni kwamba nina vigezo vyote vinavyoonekana ila mimi ndo nafeli au? Au je, ni kwamba ki-Africa kijana ukishakuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yako muhimu unapaswa kuoa?

Au umri wangu ni mkubwa vya kutosha (naelekea 23 sasa)? Au ni kwasababu ya wanavyoniona najifanyia zile shughuli zangu kama kupika, kufua na kujioshea vivyombo vyangu? Au wanahofia nitatafuna pisi zao?

Ebu wakuu nishaurini hapa, hawa watu wakirudia tena haya maneno niwajibuje? Au kama ni kweli ni muda wa kufaa kuoa niambieni? Ila kiukweli kabisa najiona bado nauhitaji huu wepesi hadi baada ya kama 5 years + hivi maana nikiwa hivi naona inanifanya niwe mwepesi ku-risk maisha popote nitakapo.

Tiririka chochote chenye tija kunijenga.
Kwasasa ni bado sana, hujatulia na kujua mishe zako zitakupeleka wapi maana wengi mwanzo hufikiria tutasettle Dar au mahali tulipolelewa ila mishe ya kukutuliza unaweza ikuta ipo Katavi uko. Mke atakupa mzigo mkubwa sana na atakuwa factor kubwa kwenye kufanya maamuzi yako huku akikulimit kwenda to your maximum capacity kwasababu ndoa ni majukumu sio kulalana tu. Jenga maisha yako na zifuate fursa popote pale zilipo maana it's you as you. Hata ukiamua kwenda kuanza upya kokote kule Tanzania au duniani unaflow tu sasa jichanganye uoe sasaivi uone jinsi fursa nyingine utakuwa unaziona zinavyokupita hivihivi kwasababu ya majukumu ya ndoa. Yaani acha na usiwaze kabisaaa, bado mno!
 
Nna mdogo wangu wa kiume ana 22 years.
Alikua anamhudumia demu wake.
Ilibid niingilie kati maana mtu umepanga, huna akiba yoyote na hujaweza kusimama mwenyewe unaanzaje kuoa .
kwamba wanaoolewa hawana akili ya kujua hilo?
 
Kwasasa ni bado sana, hujatulia na kujua mishe zako zitakupeleka wapi maana wengi mwanzo hufikiria tutasettle Dar au mahali tulipolelewa ila mishe ya kukutuliza unaweza ikuta ipo Katavi uko. Mke atakupa mzigo mkubwa sana na atakuwa factor kubwa kwenye kufanya maamuzi yako huku akikulimit kwenda to your maximum capacity kwasababu ndoa ni majukumu sio kulalana tu. Jenga maisha yako na zifuate fursa popote pale zilipo maana it's you as you. Hata ukiamua kwenda kuanza upya kokote kule Tanzania au duniani unaflow tu sasa jichanganye uoe sasaivi uone jinsi fursa nyingine utakuwa unaziona zinavyokupita hivihivi kwasababu ya majukumu ya ndoa. Yaani acha na usiwaze kabisaaa, bado mno!
Shukrani kwa advice ya nguvu mkuu
 
Habari wana Jf,

Hapa ninapoishi ni mimi pekee ambae sina mke na nilishawahi kuleta uzi hapa ➡️ Thread 'Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa' Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Sasa imekuwa kawaida mwenye nyumba kunitania kila siku kwamba nioe (mwenye nyumba wangu ni mtani wangu kikabila). Maneno haya yamekuwa yakirudia kila wakti jambo ambalo linaanza kunifanya nione au ni kweli sasa napaswa kuoa.

Tuachane na hilo kuna mpangaji mwenzangu leo kanikuta nafanya zangu viusafi akanimbia "Kaka inabidi uoe sasa" huku anacheka (kiumri jamaa kanizidi na anaishi na pisi yake, jamaa ni dokta na pisi yake ni nurse). Me nikamjibu tu kwamba asijali siku akipatikana mwanamke sahihi kwa muda sahihi nitaoa.

Wazazi wangu hawajawahi kuniambia chochote kuhusu kuoa tena, mama ndio huniambia nitulize kiherere cha kuharakia me bado m-little.

Sasa maswali ninayojiuliza kichwani "Hivi ni kigezo kipi cha kuoa? Je, ni kwamba nina vigezo vyote vinavyoonekana ila mimi ndo nafeli au? Au je, ni kwamba ki-Africa kijana ukishakuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yako muhimu unapaswa kuoa?

Au umri wangu ni mkubwa vya kutosha (naelekea 23 sasa)? Au ni kwasababu ya wanavyoniona najifanyia zile shughuli zangu kama kupika, kufua na kujioshea vivyombo vyangu? Au wanahofia nitatafuna pisi zao?

Ebu wakuu nishaurini hapa, hawa watu wakirudia tena haya maneno niwajibuje? Au kama ni kweli ni muda wa kufaa kuoa niambieni? Ila kiukweli kabisa najiona bado nauhitaji huu wepesi hadi baada ya kama 5 years + hivi maana nikiwa hivi naona inanifanya niwe mwepesi ku-risk maisha popote nitakapo.

Tiririka chochote chenye tija kunijenga.
Mhhh 23 bado sana aiseh subili ukue kwanza.
 
Habari wana Jf,

Hapa ninapoishi ni mimi pekee ambae sina mke na nilishawahi kuleta uzi hapa [emoji3591] Thread 'Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa' Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa

Sasa imekuwa kawaida mwenye nyumba kunitania kila siku kwamba nioe (mwenye nyumba wangu ni mtani wangu kikabila). Maneno haya yamekuwa yakirudia kila wakti jambo ambalo linaanza kunifanya nione au ni kweli sasa napaswa kuoa.

Tuachane na hilo kuna mpangaji mwenzangu leo kanikuta nafanya zangu viusafi akanimbia "Kaka inabidi uoe sasa" huku anacheka (kiumri jamaa kanizidi na anaishi na pisi yake, jamaa ni dokta na pisi yake ni nurse). Me nikamjibu tu kwamba asijali siku akipatikana mwanamke sahihi kwa muda sahihi nitaoa.

Wazazi wangu hawajawahi kuniambia chochote kuhusu kuoa tena, mama ndio huniambia nitulize kiherere cha kuharakia me bado m-little.

Sasa maswali ninayojiuliza kichwani "Hivi ni kigezo kipi cha kuoa? Je, ni kwamba nina vigezo vyote vinavyoonekana ila mimi ndo nafeli au? Au je, ni kwamba ki-Africa kijana ukishakuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yako muhimu unapaswa kuoa?

Au umri wangu ni mkubwa vya kutosha (naelekea 23 sasa)? Au ni kwasababu ya wanavyoniona najifanyia zile shughuli zangu kama kupika, kufua na kujioshea vivyombo vyangu? Au wanahofia nitatafuna pisi zao?

Ebu wakuu nishaurini hapa, hawa watu wakirudia tena haya maneno niwajibuje? Au kama ni kweli ni muda wa kufaa kuoa niambieni? Ila kiukweli kabisa najiona bado nauhitaji huu wepesi hadi baada ya kama 5 years + hivi maana nikiwa hivi naona inanifanya niwe mwepesi ku-risk maisha popote nitakapo.

Tiririka chochote chenye tija kunijenga.
Kaka km una ulaji sahihi namaanisha sehem ya uhakika ya kukuingizia kipato fanya hivyo mi sitofautiani sana na umri na wewe ila wanafamilia wamekua wakinihimiza ilo jambo kila siku cha kushangaza ht ndugu wadogo walio form four na wenye uelewa kidogo utasikia anakuuliza unaoa lini? Wakati ukifika wenyewe unaongea hivyo hizo ni ishara tosha kwamba muda umefika.
 
Miaka 23 ni umri wa kuwa shule, mimi nina 30+ na bado sina hata wazo la kuoa
 
🎶niko na mawili. Kwenye kichwa. Mapenzi au pesa. Na siwezi kupoteza vyote uh la la. Hunipi amani. Hunipi pressure. Acha nitafte pesa
 
Kaka km una ulaji sahihi namaanisha sehem ya uhakika ya kukuingizia kipato fanya hivyo mi sitofautiani sana na umri na wewe ila wanafamilia wamekua wakinihimiza ilo jambo kila siku cha kushangaza ht ndugu wadogo walio form four na wenye uelewa kidogo utasikia anakuuliza unaoa lini? Wakati ukifika wenyewe unaongea hivyo hizo ni ishara tosha kwamba muda umefika.
🤜🤛
 
Back
Top Bottom