shibekijijini
JF-Expert Member
- May 26, 2015
- 358
- 478
Kumbuka hata mtu akijamba, moshi hutokea nyuma, inategemeana na mkao pia.Apana mm nakataa bana, sio km ulivyo sema km ni joto mbona moshi unatokea nyuma kwann usitokee mbele uje nyuma????? [emoji108]
Na wewe si uandike kiswahili, mavocabulary meengi mpaka yanaboa
jibu sawa na unapokuwa sehemu ya baridi kali ukiongea moshi unaonekana unatoka mdomoniMnatuchosha mimi mwenyewe mimacho kodoo kupata maujuzi lakini holaa.
Amesema kwa ndege zenye injini ya jetiSasa mbona kuna baaadhi ya ndege zinapita juu sana lakini hazito huo mvuke? Au ndi hivo vyombo vya hao watafiti tu ndo vyenye mtindo huo?
Kwani wewe ukijamba ushuzi unatokea mbele?Apana mm nakataa bana, sio km ulivyo sema km ni joto mbona moshi unatokea nyuma kwann usitokee mbele uje nyuma????? [emoji108]
Kumbe hata wewe hukijui?
Inavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).
Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.
Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?
Asee kuna siku ilipita tukaambiwa eti inaenda kutua uwanjani( kuna shule ya secondary iko mbali kidogo na home!!)eti tukaambiwa tukimbie tukawahi kuona inavyotua asee tulikimbia umbali kama wa kilomita 20 eti yukaione..tulienda ila hakuna hata mmoja alofika maana ilifika sehemu tukawa hatuiioni tena hadi tukarudi kila mtu hoiTulipokuwa wadogo tuliaminishwa kwamba hizo ndio roketi.
Tuliambiwa kwa afrika zinatua Misri na Afrika kusini tu.
Tuliambiwa kama kama umeiona ukiwa arusha(kwa mfano) ujue ipo misri.
Hata hivyo waliotuambia habari hizo hawakuwa na lengo la kutupotosha; huo ndio ulikuwa uelewa wao.
Nimewasamehe wote.
Tudadavulie basi ile ndege huwa inabeba watu mizigooo au nini na mbona inapita mbali sanaUle siyo moshi, bali ni mvuke. Mafuta yanapochomwa ndani ya injini hubadilika kuwa joto, linalosababisha hewa inayovutwa kutoka mbele kupanuka na "kulipuka" kwa kutokea kwenye exsozi nyuma huku ikisukuma ndege kwenda mbele. Kuungua kwa mafuta pia hutoa gesi ya Kaboni diokasaidi, na mvuke ambavyo vyote huchanganyika na kutokea kwenye eksozi. Mvuke ule unapokutana na baridi kali chini digrii sifuri huko je huganda mara moja na kuonekana kama moshi.
Jibu lako ni sahihi zaidi kuliko mengine yaliyotolewa, ule sio moshi bali ni water vapour inayotokana na kuungua kwa hydrocarbons ndani ya combustion chambers za jet engine, jet aircraft karibu zote zinatumia paraffin fuel ambayo ni kerosene ya kawaida tu. Unapounguza hydrocarbon matokeo ni carbondioxide (colourless) and water vapour (visible) hayo ma-exhaust gases ndio yanayoisukuma ndege iende mbele na kwa sababu ya baridi kule juu mvuke unatengeneza mawingu meupe tunayoyaona. Advantage ya jet ni kwamba inaweza kuruka hata kwenye outer space.Hiyo ndege unayoisema inaitwa jet aircraft.
Na hiko kitu kama moshi kinaitwa contrails yaani condensation trails.
Wengi tunadhani huo ni moshi unaotoka kwenye injini.They are not smoke from the engines,they are contrails,formed when the water in jet exhaust.
ule sioKwanza mkuu inaweza kuwa ndege yoyote yenye engine aina ya jet. Pili ule sio moshi ila ni sawa na kitendo cha wewe uwe sehemu yenye hali ya ubaridi utoe hewa kuptia mdomo utaona kama moshi moshi au wingu jepesi.
So jet engine ikiwa inapita juu kama ujuavyo jinsi unavyopanda joto linapungua na kuna unyevu nyevu kwente hewa.
Na jet engine inafanya kaz kwa kuvuta hewa kiasi kikubwa ndani kisha kuigandamiza, ikaichanganya na mafta kisha ikaiunguza na kuachia itoke kwa nyuma ikiwa n speed kubwa na joto.
Kwa hiyo inapotokea nyuma inakuwa pia na joto kubwa na unyevunyevu ikikutana na ubaridi wa nje ndipo inatengeneza ka wingu hilo unaloliona ndege inaaca nyuma.
Nimejitahidi kueleza japo kiswahili kigumu unapojaribu ongelea mambo technical
ule sioInavyoeleweka huku angani kuna upepo wenye kasi kubwa (marekebisho kama siko sahihi).
Mara nyingi nimeona zile ndege zinazopita juu sana zamani tukiziita 'roketi' zinaacha mstari mweupe wa moshi na mstari huu unachukua muda kupotea/kutawanyika unaweza kuchukua hata dakika 10 au zaidi.
Je, kwa nini hali hiyo inatokea au inawezekana kuwa si kweli kuna upepo mkali huko angani?
Hata ndege nyingine zinapita (international air area) Anga ya kimataifa tatizo hauzioni kwa sababu hazitoi moshiOh, shukrani mkuu,
Sasa kwanini watumie engine ya jet tuseme ndio madhubuti sana, au ni bei nafuu au hakuna aina ya engine inayoweza kufunction kwa umbali huo?
Internatonal airspaces ni anga z juu za international waters( seas ), juu ya anga la kila nchi duniani ni sehemu ya nchi husika no matter ni juu kiasi gani kwa hiyo hakuna ndege inayoweza/kuruhusiwa kupita hapo bila kibali cha mwenye eneo.Hata ndege nyingine zinapita (international air area) Anga ya kimataifa tatizo hauzioni kwa sababu hazitoi moshi