matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Hakika...maana khaaaMwenye maono ya lini na nani wa kuoa ni mwanaume ila ndoa ni ya mwanamke
Mwenye kujenga mjengo wa kuishi ni mwanaume ila nyumba ni ya mwanamke
😅😅😅😅😅
Hile comment uliyofuta ilikuwa yenyewe sasa[emoji55],,,sijaelewa mada[emoji28]
Au sio?Mwenye maono ya lini na nani wa kuoa ni mwanaume ila ndoa ni ya mwanamke
Mwenye kujenga mjengo wa kuishi ni mwanaume ila nyumba ni ya mwanamke
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mmmmh huyo ni wa kufumuliwa ubongo,Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
Mmmmh huyo ni wa kufumuliwa ubongo,Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
Na bahati mbaya haimwachi.....miaka minne kapoteza watoto wawili na huyu bwana....akizaa tu wanarudi walikotoka 😥Mmmmh huyo ni wa kufumuliwa ubongo,
Roho mbaya tu.
Uko vzrWanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
Mambo?Uko vzr
Kuna mwingine hadi mwanamke kwa zengwe lake tu mama mkwe mgonjwa asikae kwake, alipelekea mama kafa kwa presha. Jamaa hadi kesho anajua alitesababisha kifo cha mama yake ni mke wake.Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
Heeeeee nyie mbingu mtaisikia kwa mambo kama haya [emoji38] [emoji23]Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters