Kwanini ndugu wa mwanamke mara zote hukaa kwenye familia kuliko ndugu wa mwanaume?

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Uzoefu unaonyesha katika familia nyingi ndugu wa mwanamke ndio anaweza kutoboa na kuishi kwa amani kwenye familia nyingi. Ndugu wa mwanaume ni mara chache sana, tena wanaishi kwa kufosi.

Tatizo huwa ni nini?
 
Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
 
Mmmmh huyo ni wa kufumuliwa ubongo,

Roho mbaya tu.
 
Mmmmh huyo ni wa kufumuliwa ubongo,

Roho mbaya tu.
 
Kuna mwingine hadi mwanamke kwa zengwe lake tu mama mkwe mgonjwa asikae kwake, alipelekea mama kafa kwa presha. Jamaa hadi kesho anajua alitesababisha kifo cha mama yake ni mke wake.
Ukiona mwanamke haelewi bora uwaweke mbali tu ndugu.
Vyanamke vingine unakuta dini ulokole hashikiki wala hakaambiliki lakini kana roho mbaya kama koboko.
 
Heeeeee nyie mbingu mtaisikia kwa mambo kama haya [emoji38] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…