GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
Poa mzima wewe?Mambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mzima wewe?Mambo?
Ogopa sana mwanamke anayejiita mlokole 😭😭Kuna mwingine hadi mwanamke kwa zengwe lake tu mama mkwe mgonjwa asikae kwake, alipelekea mama kafa kwa presha. Jamaa hadi kesho anajua alitesababisha kifo cha mama yake ni mke wake.
Ukiona mwanamke haelewi bora uwaweke mbali tu ndugu.
Vyanamke vingine unakuta dini ulokole hashikiki wala hakaambiliki lakini kana roho mbaya kama koboko. Ndugu wa mume hagusi. Anakata na ukoo wako usipojitambua.
😔Heeeeee nyie mbingu mtaisikia kwa mambo kama haya [emoji38] [emoji23]
Duuuh ndugu wa mume wafanye maombi kumkomboa ndugu yao haliache hilo pepo.Na bahati mbaya haimwachi.....miaka minne kapoteza watoto wawili na huyu bwana....akizaa tu wanarudi walikotoka [emoji26]
Poa kabisaPoa mzima wewe?
Mama mtu nasikia ndo huwa anamsihi mwanae amwache huyu mwanamkeDuuuh ndugu wa mume wafanye maombi kumkomboa ndugu yao haliache hilo pepo.
Na kupikapika mavyakula hovyo na kumwaga yakibaki,ukiongea unaambiwa kaka yetu anavitafuta,wanajisahau kwasababu wanaona ndugu yao ndo mwenye nyumba hivyo wanapata kiburi
Halafu,hivi kwa nini wachawi wengi ni wanawake?Au mna vipaji vya uchawi?Wanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
Na ndo maana Adam alipotoa gap tu Hawa kwa ubinafsi wake akaimbishwa na nyoka akakolea Adam naye kwa kumpenda mkewe akaingizwa king aisee God fundi hakukosea alipotuagiza tuishi nanyi kwa akili. Na mnavyotuwaziaga kuanza kufa 🤣🤣🤣 dah yaanWanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
Hoja nzuri, ila tunajiuliza kwa nini kama wakiamua kuja. Watakaotoboa ni wa upande wa mama mwenye nyumba zaidiHao ndugu wanatafuta nini kwenye familia za watu?
Unauliza tatizo nini, tatizo ni hao ndugu! Ukihamia kwenye familia ya watu lazima ujue wewe ndo tatizo, maana unaenda kuvuruga utaratibu wao waliojiwekea!
Sent using Jamii Forums mobile app
.....duu! comment ya kibabe na kinyanyasaji!!, ingawa ni kweli.....Mwenye maono ya lini na nani wa kuoa ni mwanaume ila ndoa ni ya mwanamke
Mwenye kujenga mjengo wa kuishi ni mwanaume ila nyumba ni ya mwanamke
😅😅😅😅😅