Kwanini ndugu wa mwanamke mara zote hukaa kwenye familia kuliko ndugu wa mwanaume?

Kwanini ndugu wa mwanamke mara zote hukaa kwenye familia kuliko ndugu wa mwanaume?

Mama ndo afisa mtendaji mkuu wa kila siku kwenye nyumba. Asipokuwa imara familia itayumba. Ndugu wa mume huwa kiukweli hatuwezi vumilia mapungufu ya mke wa ndugu yetu. Pia kwa sababu hatuna uoga wowote kwa ndugu yetu hali inakuwa mbaya kwa mama mwenye nyumba. Mke lazima apaniki kwasababu hata akisema akatae upuuzi wa baadhi ya ndugu lazima lawama zimrudie kwamba hapendi ndugu wa mume.

Kwanini ndugu wa mke wanadumu? Kwanza wanatambua wapo pale kwa hisani ya mke kwahiyo kumheshimu ni lazima. Pili lazima wawe na tahadhari kubwa sana na mume vinginevyo wanaweza sababisha matatizo kwa ndugu yao ambaye ni mama mwenye nyumba. Kwahiyo kwa hizo hali wanajikuta hata kwa mume wa ndugu yao wanakubalika.

Mimi nadhani wanaume tuwasaidie ndugu zetu wakiwa makwao sio kuja kuishi nao. Mke ni lifetime partner kwahiyo usijaribu avurugwe na chochote kile. Kwa ustawi wa familia yako lazima Mke wako kwanza ndugu baadae. Yeyote atakayeshindwa kuelewana na mkeo aondoshwe tu maana hakuna namna.
 
Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
😀😀😀
 
Mama ndo afisa mtendaji mkuu wa kila siku kwenye nyumba. Asipokuwa imara familia itayumba. Ndugu wa mume huwa kiukweli hatuwezi vumilia mapungufu ya mke wa ndugu yetu. Pia kwa sababu hatuna uoga wowote kwa ndugu yetu hali inakuwa mbaya kwa mama mwenye nyumba. Mke lazima apaniki kwasababu hata akisema akatae upuuzi wa baadhi ya ndugu lazima lawama zimrudie kwamba hapendi ndugu wa mume.

Kwanini ndugu wa mke wanadumu? Kwanza wanatambua wapo pale kwa hisani ya mke kwahiyo kumheshimu ni lazima. Pili lazima wawe na tahadhari kubwa sana na mume vinginevyo wanaweza sababisha matatizo kwa ndugu yao ambaye ni mama mwenye nyumba. Kwahiyo kwa hizo hali wanajikuta hata kwa mume wa ndugu yao wanakubalika.

Mimi nadhani wanaume tuwasaidie ndugu zetu wakiwa makwao sio kuja kuishi nao. Mke ni lifetime partner kwahiyo usijaribu avurugwe na chochote kile. Kwa ustawi wa familia yako lazima Mke wako kwanza ndugu baadae. Yeyote atakayeshindwa kuelewana na mkeo aondoshwe tu maana hakuna namna.
Uzii ufungwee.
 
Uzoefu unaonyesha katika familia nyingi ndugu wa mwanamke ndio anaweza kutoboa na kuishi kwa amani kwenye familia nyingi. Ndugu wa mwanaume ni mara chache sana, tena wanaishi kwa kufosi.

Tatizo huwa ni nini?
Huwa nikikaa nawaza sana uwezekano wa mwanamke kuingia mbinguni[emoji28][emoji28]ni kama haupo, wana harakati mingi sana za uovu ,ule uovu konki,
 
Kuna watu wana moyo. Mimi mtu akija kwangu siku chache tu nimemchoka awe ndugu yangu au wa mume. Kukaa uncomfortable nyumbani kwangu kisa mgeni siwezi kabisa
Selfishness.

Unakosa baraka sema hujui.

Nyumba inayotembelewa na wageni mara kwa mara huwa na baraka na neema.

Na hiyo tabia yako ni uchawi tosha sio hadi upae na ungo usiku.
 
Selfishness.

Unakosa baraka sema hujui.

Nyumba inayotembelewa na wageni mara kwa mara huwa na baraka na neema.

Na hiyo tabia yako ni uchawi tosha sio hadi upae na ungo usiku.
Hizo baraka ni za namna gani? Hapo hamna ukweli wowote. Kila mtu akae kwake ukienda kwa watu sio uhamie unakwaza. Sio selfishness nimesema ukweli si bora yangu kuliko mnaobagua wageni.
 
Hizo baraka ni za namna gani? Hapo hamna ukweli wowote. Kila mtu akae kwake ukienda kwa watu sio uhamie unakwaza. Sio selfishness nimesema ukweli si bora yangu kuliko mnaobagua wageni.
Usipokuwa na taa ya Mungu rohoni hali ndo huwa kama hivi,

Kuwachukia ndugu na jamaa pasipo na sababu ya msingi. Roho ya choyo ni machukizo kwa mwenyezi Mungu.
 
Mwenye maono ya lini na nani wa kuoa ni mwanaume ila ndoa ni ya mwanamke
Mwenye kujenga mjengo wa kuishi ni mwanaume ila nyumba ni ya mwanamke
😅😅😅😅😅
Ndiyo maana bimkubwa namuitaga boss wangu! Wake zetu ni maboss wetu. Sababu mojawapo ya michepuko kukithiri ni pale mwanaume anapotaka kuwa na angalau pahala anaweza kuwa boss.
 
Back
Top Bottom