Hapo ndo umeongeaWanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo umeongeaWanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
Kunywa soda nalipaMama ndo afisa mtendaji mkuu wa kila siku kwenye nyumba. Asipokuwa imara familia itayumba. Ndugu wa mume huwa kiukweli hatuwezi vumilia mapungufu ya mke wa ndugu yetu. Pia kwa sababu hatuna uoga wowote kwa ndugu yetu hali inakuwa mbaya kwa mama mwenye nyumba. Mke lazima apaniki kwasababu hata akisema akatae upuuzi wa baadhi ya ndugu lazima lawama zimrudie kwamba hapendi ndugu wa mume.
Kwanini ndugu wa mke wanadumu? Kwanza wanatambua wapo pale kwa hisani ya mke kwahiyo kumheshimu ni lazima. Pili lazima wawe na tahadhari kubwa sana na mume vinginevyo wanaweza sababisha matatizo kwa ndugu yao ambaye ni mama mwenye nyumba. Kwahiyo kwa hizo hali wanajikuta hata kwa mume wa ndugu yao wanakubalika.
Mimi nadhani wanaume tuwasaidie ndugu zetu wakiwa makwao sio kuja kuishi nao. Mke ni lifetime partner kwahiyo usijaribu avurugwe na chochote kile. Kwa ustawi wa familia yako lazima Mke wako kwanza ndugu baadae. Yeyote atakayeshindwa kuelewana na mkeo aondoshwe tu maana hakuna namna.
Hayakuhusu waachie wenyeweJirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
AiseeJirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
Ujumbe umefika mama naniii, umeandika simpo but straight foward....wameskiaUmaskini ndo chanzo cha hii migogoro kiukweli. Sioni jipya hapa. Na hapa namaanisha umaskini wa roho sio vitu. Maana ukiwa tajiri wa roho utaona mambo yote ya kupita tu. Hakuna la kudumu hapa duniani. Lakini jambo moja tunalotakiwa kulijua, neno linasema ndoa na IHESHIMIWE na watu wote. Haijabagua mtu yeyote be it parents or siblings au ndugu matembele.
Nakukaribisha kwangu kiroho sayona, ishi katika mipaka yako. Tunaamka, tutafanya kazi kwa ushirikiano, saa ya kupumzika kila mtu achague chimbo lake. Matumizi ndani ya nyumba anayeoversee ni mama. Nobody anatakiwa kumpangia kwamba wifi/shem tunataka upike hiki leo, maana yeye ndo anayejua budget. Suala la jiko la mwanamke si la kuingiliwa. Unapofika kwenye nyumba ya mtu, heshimu hilo. Lakini na sisi maza mijengo, omba utajiri katika roho yako. Sio wageni wanakuja unakumbuka choroko na maharage yalipo...it doesnt hurt kuvunja kibubu kwa timeframe ndogo ambayo umepata wageni katika malango yako. Kwani kuku nyama ni bullshit gani za kukugombanisha na watu??
Ninachoona pia mara nyingi ni watu kutaka kuishi katika mifumo yao waliyozoea kwao na kutaka kuihamishia kwa kaka/dada yao. Binafsi napenda wageni lakini nina principles za kuishi kwangu. Either uzifate kwa upendo au nionekane mkorofi. Though kugombana sio prospect yangu. Nitafanya mwenyewe nikikuona sikuelewi..dunia itakufundisha one day. All in all, tuheshimu ndoa na familia ama kila mtu abaki kwake. Nina kaka zangu wameoa na dada zangu wameolewa. In few times, pamoja na utu uzima wangu nimeshawahi kuwatembelea. Naishi kuendana na mifumo ya nyumba yao. Nikiwakuta wana utaratibu wa kusali nimo, nikiwakuta wana utaratibu wa kuamka saa kumi na moja kuokota mayai nimo.
Kwanini niwe kwazo kwenye nyumba za watu? Wifi akisema flani naomba unisaidie hiki ni sawa. Maana hata kwangu si ninafanya. Heshima heshima heshima...kama huwezi utaona wifi/shem mbaya.
na mlivyo na midomoWanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
well said mkuuMwenye maono ya lini na nani wa kuoa ni mwanaume ila ndoa ni ya mwanamke
Mwenye kujenga mjengo wa kuishi ni mwanaume ila nyumba ni ya mwanamke
😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣na mlivyo na midomo
well said mkuu
na hiyo midomo ndio inadhihirisha yaliyomo ndani ya mioyo yenu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣Ni kweli kabisana hiyo midomo ndio inadhihirisha yaliyomo ndani ya mioyo yenu.
Wanawake wanaogopa siku wakitengana kusije kukawa na ndugu wa kumzidi nguvu na kumpora mali.Jirani yangu hapa yupo na mkewe tuseme....I mean huyu alimkimbia mume na mwingine mke..... mwanamke ana watoto watatu na mwanaume watoto Wawili huko walikoacha ndoa zao....mke kachukua watoto wote anaishi nao na bwana hapa na dada yake yupo hapa....ila kamzuia mume kuleta watoto Wala ndugu hapa....Wana 4years pamoja ila ndugu wote wa mke twawafahamu ila wa mume hakuna...aliwahi jitutumua mama wa mume kuja lakini ikawa vita kwanini mama yako haondoki.........Nina roho mbaya lakini jirani ana masters
Mnakufa mapema mno🤣🤣Wanawake wanaogopa siku wakitengana kusije kukawa na ndugu wa kumzidi nguvu na kumpora mali.
Afadhali wawe mbali huko kuepusha sintofahamu hii.
Pia Wanawake huw wanaamini mume atakufa atamwacha. Sijui kwanini
Kweli mwastahili pole aiseeWanawake wanaogopa siku wakitengana kusije kukawa na ndugu wa kumzidi nguvu na kumpora mali.
Afadhali wawe mbali huko kuepusha sintofahamu hii.
Pia Wanawake huw wanaamini mume atakufa atamwacha. Sijui kwanini... lakini kuna kaukweli hivi. Wanaume wengi hufa na kuwaacha wake wakiendelea na maisha na hata kuolewa tena.
Zaidi, wanawake hupata muda mwingi wa kujishughulisha na kazi za nyumbani. Watawalinda ndugu zao kuliko hao wa mume. Ndugu wa mume atajiona mgeni na hata huyo aliyekuja kwake mara nyingi hayupo nyumbani.
Poleni wanaume wenzangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeamua kuwa mkweli eti?Wanawake tutabisha tu...lakini wanawake ni wabinafsi mchawi akasome
🤣🤒[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeamua kuwa mkweli eti?