Kwanini ndugu wa mwanamke mara zote hukaa kwenye familia kuliko ndugu wa mwanaume?

Kwanini ndugu wa mwanamke mara zote hukaa kwenye familia kuliko ndugu wa mwanaume?

Nazan weng hujistukia na ata wakiambiwa kitu huwa wanahisi wameonewa au wanateswa apo ndo ttzo huanzia

Ntakupa mfano mm nmezaliwa ad nmekua kufka umri huu sijawai kuosha vyombo , sjawai kupika wala sjawai kufagia uwanja ila nkutokana na shule nlijikuta nkienda Musoma kwa ba mdgo kusoma advance Musoma tech nlipofka apo wakat nangoja kwenda shule bas pale kwa ba mdg wanakaa watu wawili tu ba mdgo na mke wake bas mke wa ba mdg akaanza nipa kaz za kuosha vyombo yeye anapika mm naosha vyombo na asubui nkiamka natakiwa kufagia uwanja kwakwel bila unafiki mke wa ba mdg nlimchukia sana na nlimuona mbaya sana ila baada ya kukaa na kuwaza sana nlikuja kujiona mm ndo nlkua na makosa tena sana

Sasa vtu km ivyo ndo hufanya ndg weng wa mwanaume kushindwa kukaa kwa ndg zao sabu mara nying wakiambiwa kitu huwa wanaona km wanaonewa au wanateswa
Umemaliza shule?
 
Mbona unabadilisha maneno? Kuna mahali nimesema nachukia ndugu? Tabia mbaya sana kubadilisha maneno ya mtu na kujitungia yako [emoji4][emoji4] hii ndio wale tunasema umbea ambao watu wanasutwa
We ungeolewa na tajiri ingekuwa balaa!

Una ROHO MBAYA! hapunguzi chochote wala haongezi chochote anayekuja kwako, hata akiishi. Kubali kuwa daraja la mtu kupiga hatua maishani. "TABLE TURNS!" utaona aibu! Maisha ni ya ajabu sana!

Binafsi sinaga neno na ndugu kuja nyumbani kwangu... wenyewe wanaelewa, kila weekend watoto tele kwa Uncle Hohehahe kula pilau na vipande vya mdalasini! Kesho na keshokutwa atakayenikumbuka sawa asiyenikumbuka sawa ila ndugu wasiadhirike na ndugu zao wapo sio Ubinadamu. Badilika ndugu tunaishia kufukiwa tu! Be humble!
 
Huoni huko juu wanaume wanasema muache ujamaa kila mtu akae kwake? Kwahiyo na hao wanaume wana roho za korosho?
Wana ushoga ndani yao! Mwanamume anayejua maisha hayupo hivyo!

Katoka maisha ya umeme huyo. Kila kitu under-control, wali njegere na juisi ya passion na wengi wanaishiaga kuharabikiwa na kuwa na maisha ya kawaida labda warithi ushua. Sisi tuliopambana wenyewe na kuishi huku na kule mpaka tukaona mwanga huwa na nidhamu kidogo.

Binadamu yoyote ni Servant wa mungu tu, wekeni pembeni ego zenu. Tunaishia kufa huzikwi hata na bikini kwa taarifa yako!

BE HUMBLE!
 
Aloo kumbe kuna muda huwa mnakubali wenyewe kwamba mwanamke kwenye ngono hafaidi bali anahenyeshwa tu, sasa zile lawama za kusema mbona wanawake kwenye mapenzi wanatanguliza pesa wakati ngono mnafaidi wote zinatoka wapi, acheni tu watangulize pesa na msilalamike maana kwenye ngono mnawahenyesha tu
Vyovyote vile🤣
 
Hayo niliyosema huwa ni maneno yenu wenyewe siyo yangu na huyo si wa kwanza kuona kaandika hivyo wengi mnatumia kauli zinazoonesha ni kama vile anayefaidi kwenye tendo ni mwanaume, mwanamke anatakiwa kufanya ili amridhishe mwanaume kwahiyo hii kitu inawajengea wanawake mentality ya kwamba lazima nao walipwe kwa kuwaridhisha ninyi ndio maana wao hutanguliza pesa, mwanamke huwa anafaidi tendo akifanya na mwanaume anayempenda tu mkuu hicho ndicho zinachomaanisha hizo tafiti
Sasa hapa umepinga nini?
Kisayansi Mwanamke huinjoy zaidi na hili limethibitishwa na watafiti na Sayansi imekubali.

Afanye na ampendae au lah utamu ni ule ule.
 
Tuache Ujamaa kila mtu akae kwa wazazi wake.

Wazazi ndiyo wenye jukumu la kulea na kusomesha.

Ndoa changa ziachwe zenyewe

NB: Umasikini mbaya sana
Hili la ndoa changa ni vema watu wakalizingatia, watu wanaoana na kuanza kuishi na mashemeji jamani sio poa.
 
Hili la ndoa changa ni vema watu wakalizingatia, watu wanaoana na kuanza kuishi na mashemeji jamani sio poa.
Mazingira yetu ni ya kuinuana.
Kumbukeni halafu hao wanawake hawaachi kusaidia kwao.

Wewe watabaki na vinyongo wakwenu ila sio wakwao.

Kumbukeni hili
 
Nyumba ni ya mwanamke.... yeye ndio anaamua nani aishi kwa amani au kwa tabu kwenye nyumba. Same case na wazazi wa kambo, lini umewahi kusikia baba wa kambo katesa watoto wa mke wake?
 
Wanawake wana gubu sana kwa ndugu za mume.

Wanaume huwa hatuna gubu kwa ndugu za wake

Kiasili wanawake wana roho mbaya sana, wabinafsi na wachoyo

Ukitaka kujua wanawake wana roho mbaya wakati wa uchumba au hata ndani ya ndoa ni hadimu sana kupata mwanamke atakulizia wazazi wako au ndugu zako wa karibu wanaendeleaje na kuguswa na hali zao

Wanawake ni viumbe wa hovyo sana
 
Sasa hapa umepinga nini?
Kisayansi Mwanamke huinjoy zaidi na hili limethibitishwa na watafiti na Sayansi imekubali.

Afanye na ampendae au lah utamu ni ule ule.
Hakuna kitu kama hicho labda useme unalazimisha mawazo yako yawe uhalisia, mwanamke akifanya na mwanaume ambaye hampendi hafaidi chochote na ndio maana mnachunwa hela, kwa mwanamke lile tendo liko kihisia zaidi kuliko kimwili kama ilivyo kwa mwanaume
 
Hakuna kitu kama hicho labda useme unalazimisha mawazo yako yawe uhalisia, mwanamke akifanya na mwanaume ambaye hampendi hafaidi chochote na ndio maana mnachunwa hela, kwa mwanamke lile tendo liko kihisia zaidi kuliko kimwili kama ilivyo kwa mwanaume
Humu si Kuna Wanawake si tuwaite wake wa clarify hii issue.
 
Back
Top Bottom