Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume hatuna mambo hayo kabisa. Ila wanawake mnajulikana kwa roho za korosho…Akiongea hivyo mwanaume haitwi mbinafsi wala mchoyo
Huoni huko juu wanaume wanasema muache ujamaa kila mtu akae kwake? Kwahiyo na hao wanaume wana roho za korosho?Wanaume hatuna mambo hayo kabisa. Ila wanawake mnajulikana kwa roho za korosho…
Wafukuze tuuUzoefu unaonyesha katika familia nyingi ndugu wa mwanamke ndio anaweza kutoboa na kuishi kwa amani kwenye familia nyingi. Ndugu wa mwanaume ni mara chache sana, tena wanaishi kwa kufosi.
Tatizo huwa ni nini?
Binafsi siwezi ishi na mtu mzima hivyoSitosahau ndugu yake mkewangu alikuja huku kwangu nikajua kaja kututembelea tu sasa nashangaa tu siku zinaenda hatoki,nikinunua hata papai kwa ajili ya mwanangu na yeye anakula bila aibu,halafu ukifikiria ana miaka 28 nambaya zaidi ni mwanaume, kuna siku dogo akajichanganya akafumaniwa na mke wa mtu chooni kwahao wanandoa aisee walimpiga sana wakampeleka ofisini tukaongelea sana akatozwa laki 8 nikiwapigia kwao mama yake anadai sina pesa kama vipi wamfanye chechote kile
Unaendekeza ujinga.Hizo sio mila zetu ni mila za wazungu. Waafrica kukaa pamoja na kutembeleana ni mila tumedumu nazo tokea tuje duniani
Mfano mi ndugu na shemeji zangu wote tuko hapa hapa mjini, kutembeleana yawezekana ila kulala kwa mtu hapana maana hakuna anayeishi mbali na 20km radiusHatukatai kutembeleana, issue inakuja unataka ukae kwa watu permanent, Bora angalau uende kimasomo, au kusikilizia mchongo Fulani, lakini hii unakuja kukaa kwa ndugu permanent kama kwenu sio poa.
Midomo ya wanawake.Uzoefu unaonyesha katika familia nyingi ndugu wa mwanamke ndio anaweza kutoboa na kuishi kwa amani kwenye familia nyingi. Ndugu wa mwanaume ni mara chache sana, tena wanaishi kwa kufosi.
Tatizo huwa ni nini?
Mkuu mbona majambazi wengi wanaokaba na kupora mali za watu kisha kukatakata watu mapanga au kuwapiga shaba kabisa ni wanaume, au ndio kusema siku hizi maovu yashakuwa na madaraja, kwamba kujeruhiwa mwili kuna afadhali kuliko kurogwa siyoHalafu,hivi kwa nini wachawi wengi ni wanawake?Au mna vipaji vya uchawi?
Women get married for their own reasons other than love and unionification. In fact women are parasitic beings
Hilo lako tutalijadili kama familia hapo baadaye.Tuanze na wanawake kujinasibisha zaidi na uchawi.Mkuu mbona majambazi wengi wanaokaba na kupora mali za watu kisha kukatakata watu mapanga au kuwapiga shaba kabisa ni wanaume, au ndio kusema siku hizi maovu yashakuwa na madaraja, kwamba kujeruhiwa mwili kuna afadhali kuliko kurogwa siyo
Aloo kumbe kuna muda huwa mnakubali wenyewe kwamba mwanamke kwenye ngono hafaidi bali anahenyeshwa tu, sasa zile lawama za kusema mbona wanawake kwenye mapenzi wanatanguliza pesa wakati ngono mnafaidi wote zinatoka wapi, acheni tu watangulize pesa na msilalamike maana kwenye ngono mnawahenyesha tuHuwa wanakaa hapo sana ili watumike kama substitute ya ndugu yao anayehenyeshwa usiku kuhudumia mahari wsliyopokea.
Hayo tu mkuu[emoji1787]
Tofautisha ukatili na roho mbayaMkuu mbona majambazi wengi wanaokaba na kupora mali za watu kisha kukatakata watu mapanga au kuwapiga shaba kabisa ni wanaume, au ndio kusema siku hizi maovu yashakuwa na madaraja, kwamba kujeruhiwa mwili kuna afadhali kuliko kurogwa siyo
Hii yako umeitoa kutoka tafiti ipi?Aloo kumbe kuna muda huwa mnakubali wenyewe kwamba mwanamke kwenye ngono hafaidi bali anahenyeshwa tu, sasa zile lawama za kusema mbona wanawake kwenye mapenzi wanatanguliza pesa wakati ngono mnafaidi wote zinatoka wapi, acheni tu watangulize pesa na msilalamike maana kwenye ngono mnawahenyesha tu
Sasa huo mfano wako unarudi pale pale niliposema kwamba mnalazimisha kuutenga uovu katika madaraja, maana sijaona mantiki ya kusema tofautisha kati ya ukatili na roho mbaya, kana kwamba kuna kimoja ni kizuri na kingine ni kibayaTofautisha ukatili na roho mbaya
Tofautisha necessity na asili
Nyoka tunamsema ana roho mbaya kwa sababu anaweza mgonga nyati na asimle ila Simba ni lazima ili maisha yake yaende.
Hivyo Simba atamuua nyati sio roho mbaya ila Nyoka ni roho mbaya.
Hayo niliyosema huwa ni maneno yenu wenyewe siyo yangu na huyo si wa kwanza kuona kaandika hivyo wengi mnatumia kauli zinazoonesha ni kama vile anayefaidi kwenye tendo ni mwanaume, mwanamke anatakiwa kufanya ili amridhishe mwanaume kwahiyo hii kitu inawajengea wanawake mentality ya kwamba lazima nao walipwe kwa kuwaridhisha ninyi ndio maana wao hutanguliza pesa, mwanamke huwa anafaidi tendo akifanya na mwanaume anayempenda tu mkuu hicho ndicho zinachomaanisha hizo tafitiHii yako umeitoa kutoka tafiti ipi?
Maana kiutafiti Mwanamke anafurahia zaidi kuliko Mwanaume.
Inaudhi sana mtu anaoa/kuolewa tayari ndugu washajazanaTuache Ujamaa kila mtu akae kwa wazazi wake.
Wazazi ndiyo wenye jukumu la kulea na kusomesha.
Ndoa changa ziachwe zenyewe
NB: Umasikini mbaya sana
Kuna watu wana moyo. Mimi mtu akija kwangu siku chache tu nimemchoka awe ndugu yangu au wa mume. Kukaa uncomfortable nyumbani kwangu kisa mgeni siwezi kabisa
Ujamaa hauna msaada kwa wana ndoa, sana sana kujenga chuki.Inaudhi sana mtu anaoa/kuolewa tayari ndugu washajazana