Kwanini Nelson Mandela hakumsamehe Winnie Mandela

Mpaka kufikia kukubali kuwasamehe beers na kukataa kumsamehe winnie basi ndio mjue maumivu ya kuchapiwa ni makali sana

Lakini mbona inasemekana ndoa ilishavunjika tangu Mandela alipokuwa bado kifungoni?
Shida winnie alikuwa anabanjuliwa hovyo

Aliwahi kutoka na kijana mdogo wa ANC kisha akatuma wahuni wamuue kijana huyo kuficha siri
Hili lilimuumiza sana bwana Mandela kuliko hata hilo la mpofu
 
Aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…