Dah! Umenikumbusha mbali sana. Enzi hizo za utoto tulikuwa tunakusanyika tunatengeneza mduara halafu mmoja anakaa katikati kuimbisha:
Maziwa ya mbuzi pia ni Tiba kwa wenye vidonda vya tumbo.Matam sana na pia ni dawa ya kifua.
Hata kifua kikuu cha early stage unapona kwa maziwa ya mbuzi.
Maziwa ya nguruwe ni tiba nzuri sana dhidi ya nguvu zankishirikina lakini pia kupatikana kwake ndio mtihani kwa sababu mengi hutumiwa na watoto wake kunyonya hadi hayatoshi , kuyapata hadi nguruwe awe amezaa halafu watoto mtafute namna ya kuwa feed.Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
Hata nyoka anatisha ila analiwa kama kawa, kambare ana sura mbovu ila analiwa.Anavyotisha vile? Kweli nyie majasiri 😹😹
Nanukuu: "Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?"Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
Sahihi mkuu.Maziwa ya mbuzi pia ni Tiba kwa wenye vidonda vya tumbo.
Nyama ya nguruwe inayo athari japo athari yake sio ya haraka.Nanukuu: "Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?"
Umeuliza maswali 3:-
1.Kwa nini nguruwe hakamuliwi maziwa kama ng'ombe?
Jibu: Hatuna sababu ya kumkamua kwani hatuna hitajio la maziwa yake.
2.Je, maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu?
Jibu: Athari chanya i.e. +ve effects unajipatia nutrients mwilini mwako na Afya yako itaimarika. Athari hasi i.e. -ve effects Hakuna.
3.Kwa nini nyama yake inaliwa? Nimejibu hapo Na.2 kwamba maziwa yake hayana Athari zozote -ve. Kwa hiyo nyama pia haina shida. Hata Serikali imeridhia uliwaji wake au ww hujaona mizoga(carcass)imegongwa mhuri wa Govt. Inspected carcass?
Nyama ya nguruwe haina athari yoyote ikipikwa na kuiva sawasawa. Sio kuchoma au kuroast. Ipikwe kwanza kwa kuchemshwa halafu ndipo utaratibu mwingine wa mapishi uendelee.Nyama ya nguruwe inayo athari japo athari yake sio ya haraka.
Japo maziwa sijajua ngojea tufuatilie.
Ooh ook. Wa wapi hawa?Kuna kondoo wa maziwa ila hawapatikani huku
Ndivyo mnavyokariri na kujidanganya mkuu!?Nyama ya nguruwe haina athari yoyote ikipikwa na kuiva sawasawa. Sio kuchoma au kuroast. Ipikwe kwanza kwa kuchemshwa halafu ndipo utaratibu mwingine wa mapishi uendelee.
We ndo mwenye akili fupi,kwa sababu tayari una sababu zako kwenye hilo fuvu lakoLook at this dunderhead.
Usikute hata essay wewe ulikua unapata 2/20.
Jibu halijitoshelezi.
Hata ng'ombe wa kawaida hutoa maziwa hafifu.
Watu wakaja na mbinu ya kufuga ng'ombe wa maziwa tu ili atoe maziwa mengi.
Kwanini kwa nguruwe wasifanye hivyo!?
Akili fupi kama mkojo wa asubuhi.
Elewa hoja kwanza, pia Biolojia ulisomea vichochoroni? kwani ndege sio mnyama?.Kuku ni ndege Na nguruwe ni mnyama usijitoe akili bro
hujazuiwa, we nenda kamkamue tu uyachemshe unywe. au?Najua wapo wanaokula na wasiokula nyama ya nguruwe, lakini pia wanaokula nyama ya nguruwe wanaisifia kuwa ni tamu sana hasa iki rostiwa vizuri ichanganywe na kamchicha kwa mbali ni full burudani.
Swali langu ni je? kwanini nguruwe hakamuliwi maziwa kama Ng'ombe? je maziwa ya nguruwe yana athari zozote kwa binadamu? kama ni ndiyo kwanini nyama yake inaliwa?
Mwenye majibu atujuze tafadhali.
View attachment 3044191
Pita pembeni dunderhead wewe usiyeweza kujiongeza kifikra.We ndo mwenye akili fupi,kwa sababu tayari una sababu zako kwenye hilo fuvu lako