Kwanini ni lazima nioe Mwanamke wa Kaskazini?

Shida karne hii unakuta tayari kuna muingiliano....labda sijui uende huko interior
 
Wabongo wengi wanapenda mbwembwe hapa ofisi kwangu wapo baadhi wanakelele sana eti mi mchaga bhanaπŸ˜‚πŸ˜‚ Biashara kweny damu ila nakuambia kuna watu wapo kimya wanapiga business...

Kuna janja mmoja nilimshtukia mara anapost magari mara duka la vinjwaji ila kuna siku eti anataka kunikopa laki 4 ni pesa ndogo na mshahara ni mkubwa sana kwa pesa hiyo na ni siku chache tu baada ya kupokea mshahara sasa kama sio utapeli ni nn? kelele kibao then unakosa akiba au anataka kunitapeli.


Eti hustling ni zaidi ya utoto wa wanawake tu kwa vile hata awe 35 years still ana utoto ila wanaume wanahustling ile real na wapo kimya .
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapa una hoja nzuri. Inshu mwanaume anatakiwa akae ktk nafasi yake kama kichwa cha familia. Kila siku tunaona matukio ya wanandoa kufumaniana, kuuuana, kujeruhiana etc.
Haya matukio hutokea sehemu mbalimbali ktk nchi yetu. Haimanishi kwakuwa kaskazini ndo mnapasema basi hayo matukio yangeongoza kutokea huko.

Mwaka jana wilaya ya Temeke ilitoa ripoti ya talaka kuwa kulikuwa na ndoa 3000+ zimevunjika. Lakini hapa hatujadili suala la kabila. Sitetei kuwa kaskazini hakuna matukio hapana ila nataka mfanye haki na kwa makabila mengine pia isije ikaleta kutengwa kwa wanawake wa jamii za kaskazini kumbuka mitandao ni sehemu ya kubadilisha mtazamo wa jamii. Hofu tusitumie vibaya tuje kujilaumu baadaye.
 
Kumbe taikon hujaoa, ?
 
Wanawake wa kaskazini? Bora ninyamaze tu. Hasa Wameru.

Nimekaa kwenye mahusiano na Mwanamke wa Kimeru kwa Mda wa Miaka mi tano. Ila Itoshe tu kusema nilijifunza mengi, na sitokuja kurudia kua na Mwanamke wa huko hata aweje.
 
Yote kwa yote!
Wanaume WEAK hawapendi
Kuoa ladies ambao wana challenge, wanahoji, wanaleta arguments na mawazo mbadala!

Sema kila mtu ashinde mechi zake!
 
Aisee sasa nimeelewa. Pole sana. Ndiyo maana tunasema siyo wote wako hivyo unaweza ukampata wa huko kaskazini na ukaenjoy maisha. Huyo alikuwa ana element za umalaya.

Na kwa wanawake nafkiri akiwa hakutaki Cha kwanza anachofikiria ni kukupiga virugu ili umuache.
 
Mimi pia ningewaoa ila sipendi ongea yao ya kindezi BABAA DADAAA ANTIII
 
Yote kwa yote!
Wanaume WEAK hawapendi
Kuoa ladies ambao wana challenge, wanahoji, wanaleta arguments na mawazo mbadala!

Sema kila mtu ashinde mechi zake!
Kati ya madem 6 ambao nilikua nao kwenye mahusiano kwa nyakati tofauti kabla sijaoa 4 ni wachaga na wote wamelelewa na single maza baba zao walishakufaga. Jiulize!
 
Wanawake wa kaskazini? Bora ninyamaze tu. Hasa Wameru.

Nimekaa kwenye mahusiano na Mwanamke wa Kimeru kwa Mda wa Miaka mi tano. Ila Itoshe tu kusema nilijifunza mengi, na sitokuja kurudia kua na Mwanamke wa huko hata aweje.

Tupe short story Mkuu
 
Yeah sure
 
nothing else to contribute in this thread.
Just sit in back stage have some nice weed, 🚬🚬. listen to amapiano 🎡


.......Kush master......
 
Maana Kuna Demu wa Kasikazini alikimbia na jembe langu na akaacha kazi yenye Mshahara wa maana kisa Jamaa wa zamani alipata kazi nzuri huko UGHAIBUNI.
Hapo hapo unang'ata hapo hapo inapuliza, sawa mkuu Manyanza nimekupata hio ni ipo kwenye damu sio maigizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…