Kwanini nyumba yako unaiita "kakibanda kangu"? Mungu hapendi kujishusha sana. Having too much humility is self destructive

Wewe na familia yako kura zenu mkimpa msaliti wa Nchi haitaathiri kitu kwa sababu Dr Magufuli ni kipenzi cha Watanzania na tutampigia kura kwa 98% Vijana wachache wa Chadema mwaka huu mtajiua sana.
 
Watu wanasema kibada ili kukidhi haja ya walimwengu, kwani akisema nyumba yangu atashabuliwa kwa maneno na kejeli utasikia dah si kwamajivuno hayo kijumba chenyewe chumba kimoja ila utasikia nyumba yangu n.k hivo hatuna jince lazima tujishushe ili watu walidhike
 
Watu wanasema kibada ili kukidhi haja ya walimwengu, kwani akisema nyumba yangu atashabuliwa kwa maneno na kejeli utasikia dah si kwamajivuno hayo kijumba chenyewe chumba kimoja ila utasikia nyumba yangu n.k
Sawa mkuu...
 
Cha msingi mtu aite nyumba yake kadri apendavyo maana ni yake. Na kusema anenavyo mtu ndivyo atakavyokuwa ni uongo, ukitaka kuamini jinenee kuwa wewe ni tajiri wa Afrika then baada ya miaka kumi utajiona
Sawa mkuu
 
Shida sio kujishusha maana kuna watu wana midomo michafu sana isitoshe hatulingani uwezo.
Hivi ni mara ngapi watu wamekuja kuposti wanauza nyumba zao humu wakaishia kupata response za kejeli kama "We unauza nyumba au kibanda kwenye shamba?"...."Hapo sijaona nyumba zaidi ya kiwanja kitupu"...."Kuwa serious ukiongelea nyumba, hilo kwangu ni banda la mbwa tu" hizi ndio aina za member humu ambao ndio wabongo hao.

Kuepukana na dharau hizi mtu anai undervalue nyumba yake ili kuwafunga midomo kijanja hawa walimwengu.
 
Ninadhani kusimamia kilicho sahihi ndio suala la msingi zaidi badala ya kufuata wakisemacho watu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…